Kitendo cha Shilawadu ni cha kulaaniwa

Kitendo cha Shilawadu ni cha kulaaniwa

naungana na wewe! vipindi vingi sasa hivi vya TV vimeanza kukosa maadili, kama mamlaka husika haitochukua hatua zitasababisha mmomonyoko wa maadili kwa kiasi kikubwa! jana nilijiuliza maswali mengi sana

1. Je kama mtu unaangalia kile kipindi na familia yako halafu mtoto mdogo akauliza kibamia ni nini? au kwanini wamevaa bamia?

2. Pili najiuliza tu je Kuwa na maumbile madogo ni hali ambayo mtu anajitakia au ni sababu za kimaumbile tu? kimtizamo wangu hii hali inatokana na maumbile ya mtu, na haipaswi kuchukuliwa kimzaa hivi! kama ni ugonjwa basi ni ugonjwa kama mwingine hauhitaji fufanyiwa mzaha kiasi hiki!

3. je hivi vituo vya luninga wanafanya uhakiki wa vipindi kabla havijarushwa hewani?
Hivi kwa maisha tuliyonayo sisi Watanzania mnategemea hao wanahabari uchwara wafanye kitu cha maana kwa jamii yetu?
Kwanza kile kitendo tu cha ofisi ya serikali kukubali kipindi kama Shilawadu kiwepo ni kosa kubwa sana. Kitendo cha wamiliki wa kituo kukubali kipindi kile kirushwe na chombo chao ni kosa kubwa sana.
Leo tunazungumza maadili gani wakati kuwepo kwa kipindi tu tumevunja maadili?
 
Mitandao ya kijamii hii na baadhi ya vyombo vya habari visivyokuwa na miiko na maadili vitasababisha baadhi ya wenzetu ambao hawatakuwa na uvumilivu wa kutosha kuishia kuwapoteza.

Tunaweza kuchukulia poa bullying hii lakini ukivaa viatu vya mhusika lazima kichwa kipoteze .
 
Kitendo cha Shilawadu jana kufanya neno "kibamia" kieleweke hata kwa watoto wa primary ni cha kulaaniwa.
LEO nimeshuhudia vitoto vikielezana maana ya kibamia baada ya mama muuza mbogamboga kupita mtaani.
Kiukweli neno kibamia ilikua ni tafsida ambayo haikupata kuwekwa hadharani kila mtu ajue.
Sasa hivi vitoto tena vya kike vilikua vinacheka kuona vibamia vidogo, ukubwani mwao watataka mtu mwenye maumbile gani!?
Huu si mmomonyoko wa maadili ambao unachangia na vyombo vya habari, bila kujua.
Kumbe na wewe ni shilawadu
 
Kitendo cha Shilawadu jana kufanya neno "kibamia" kieleweke hata kwa watoto wa primary ni cha kulaaniwa.
LEO nimeshuhudia vitoto vikielezana maana ya kibamia baada ya mama muuza mbogamboga kupita mtaani.
Kiukweli neno kibamia ilikua ni tafsida ambayo haikupata kuwekwa hadharani kila mtu ajue.
Sasa hivi vitoto tena vya kike vilikua vinacheka kuona vibamia vidogo, ukubwani mwao watataka mtu mwenye maumbile gani!?
Huu si mmomonyoko wa maadili ambao unachangia na vyombo vya habari, bila kujua.
Pole sana
 
Mawazo yangu

Hao watu hawajamtaja mtu, wamevaa tu nguo
Hao watoto wadogo wamejiongeza wenyewe
 
Mamalaka husika isipowalima fine nitashangaa
ukweli ni kwamba huo ni aina ya unyanyapaa
kama vile kumnyanyapalia mlemavu wa ngozi
 
Kitendo cha Shilawadu jana kufanya neno "kibamia" kieleweke hata kwa watoto wa primary ni cha kulaaniwa.
LEO nimeshuhudia vitoto vikielezana maana ya kibamia baada ya mama muuza mbogamboga kupita mtaani.
Kiukweli neno kibamia ilikua ni tafsida ambayo haikupata kuwekwa hadharani kila mtu ajue.
Sasa hivi vitoto tena vya kike vilikua vinacheka kuona vibamia vidogo, ukubwani mwao watataka mtu mwenye maumbile gani!?
Huu si mmomonyoko wa maadili ambao unachangia na vyombo vya habari, bila kujua.
Kama ukiwasilisha hoja hii kwenye Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) naamini watalifanyia kazi
 
Wanaume wenye vitambi tuandame kupinga udhalilishaji wa Mange kwetu. Jana nimepita mahali na Likitambi langu mtu akanambia wewe kakaake Lemutuz kwema.
[emoji23][emoji28][emoji23]
 
Back
Top Bottom