Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Endelea kukariri hivyo hivyo, wakati huu ni wakati muhimu kwa watanzania kuliko wakati wowote hakuna atakaye ib a kura wara kutangaza matokeo ya kub umba au ya kupika mm nipo kanda ya ziwa upepo uMEbadilika.
Labda Mijini, lakini Wilayani na vijijini Machief wenu wana influence kubwa sana. Victoria Confederation of Chiefdoms assiciation.
Wakiliamsha tuu wote mnaungama na mchezo kwisha. Sisi huku tulisha jifungua katika minyororo yao kitamboooo. Tuliona 2015 na ninaona script inarudiwa.