Uchaguzi 2020 Kitendo cha Tundu Lissu kukubalika Kanda ya Ziwa kwa kiwango hiki inaashiria nini?

Uchaguzi 2020 Kitendo cha Tundu Lissu kukubalika Kanda ya Ziwa kwa kiwango hiki inaashiria nini?

Tumeshawaambia hadi tumechoka picha zenu za kuchakachua za kitengo chenu cha uchakahuaji CHADEMA tumezichoka.Mwacheni Lowasa apumzike picha zake za mikutano yake mlizochakachua inatosha.
Yaonekana hata usingizi wa 'piriton' hauji. Muone dakitari kwa ushauri.
 
Nimetafakari na kujiuliza sana jambo hili , huyu mtu tuliyeaminishwa kwamba ni msaliti wa Taifa , akashambuliwa kinyama na kutelekezwa ili akafie mbali , kama haitoshi akavuliwa ubunge bila huruma na akatishwa asirudi nchini , bali pamoja na lundo la vitisho Lissu amerudi nyumbani kishujaa.

Cha ajabu ni kwamba kila anapopita kwenye kampeni zake za kuomba Urais watu wanajaa kupita kiasi , na cha kushangaza zaidi ni huko kanda ya ziwa ambako tuliaminishwa kwamba ni ngome ya watu wengine ndiko ilikovunjiwa rekodi ya umati kwenye mikutano yake , Katoro , Sengerema na Geita ni mifano hai ya hoja yangu

Swali langu ni hili , kwa umati huu unaojitokeza kwenye mikutano ya Lissu huko kanda ya ziwa ni kiashiria cha jambo gani ?

Hizi hapa ni picha za Geita , Mkoa unasemekana alizaliwa Mgombea Urais wa CCM , jioneeni wenyewe .

Tusali Sana tumuondoe one way. Ccm na vyama vyote vya upinzani wekeni nguvu pamoja kumngoa huyu mtu.
 
Anakubalika kwa percentage ngap?
Fuatilia statistics zilizotolewa na IPSOS juu ya wingi wa watu waliohudhuria kwenye vikao vya Kampeni vya CDM na CCM kanda ya ziwa hasa Mwanza.
Ni asilimia 90% kwa CCM na 10% kwa CDM. Ww huko kukubalika kwako umepima kwa metric gani?
Kama hauna data hauna haki ya kuzungumza.!
subirini wazee mtakuja kujua hamjui
 
Mimi naomba tarehe 29 na 30 mwezi ujao muwepo humu! Nina kuhakikishia hapa hakuna mkoa wowote wala jimbo lolote ambalo Lissu atashinda kwa ujumla wa Kura dhidi ya Magufuli tena uko kanda ya Ziwa ndio usiseme kabisa!

Mimi naomba usije ukalimbia jukwaa!
Kamwe Lissu awezi mshinda Magufuli kwenye jimbo lolote wala mkoa wowote hapa Tanzania!

Najua sasa hivi utonielewa lakini tarehe 30 utanielewa! Kamwe Kamwe tena uko kanda ya Ziwa Lissu hatoweza kupanda ushindi hata ule unao mkaribia Magufuli hata chembe!

Naomba tuombe Mungu atuweke hai hadi tarehe 28 hakika tutaona na tutarudi hapa kusimuliana!
Kama kawaida mungu mtu, ujuaye yajayo! Ila ujue mmebakisha dola na nec ccm tu! Bila hivyo ni Kama samaki nje ya maji
 
Umesema kweli kabisa. Niko na jamaa moja hapa kaja kunifanyia kazi toka Mbeya anasema huko ni JPM tu hakuna cha Lisu.

Ukweli no kwamba Lisu hapasui hapo EU juzi wanetoa matokeo ya utafiti wait na hiyo ndio habari ya mjini.

Bahati nzuri zile nchi zote viherehere hawataruhusiwa kuja kuangalia uchaguzi wakiwemo shieika la UN wenyewe.

Naipongeza sana serikali ya JPM kukataa pesa za UNDP, hivyo hawataleta kiherehere
Mpe njaa safi mnafiki wa kima cha juu.
 
Pana Taarifa zina sambaa kuwa Polisi wanapiga Watu Mabomu ya Machozi baada ya Fujo iliyozuka kwa kukutana wafuasi wa Chadema na CCM ,huko huko Geita.Mwenye Taarifa zaidi atujuze.

Walipiga wakati Lisu alipofika mjini. CCM waliandaa vijana, wakashambulia msafara kwa mawe, bahati vijana waliokuwa na Lisu wakajibu mashambulizi. Barabara kuu ilikuwa na mawe nyakati za saa 11 jioni.
 
Ujinga mlionao ni mkubwa kuliko mlima Kilimanjaro...mhaini wa nchi huyo nani ampeleke Ikulu?

Hatutaki kuongozwa na mtu mropokaji wa kila kitu,mtu gani kila kitu kwake kibaya ilihali sisi kama wananchi tunaona wazi jinsi President anavyo tupambania..pisha mbali wewe
wacha we wazalendo safari hii CCM aibu sana
 
Hivi jamani na nyie mnafikiri geita kabisa geita wampigie Kura Tundu lissu half wamwache magu
Kama wamepata uthubutu wa kumlaki,kumshangilia na kuhudhuria mikutano yake kwa maelfu mchana wa jua na mwanga, hawawezi kushindwa kuweka tiki kwenye kiboma pembeni ya picha yake kwa siri.
 
Mimi naomba tarehe 29 na 30 mwezi ujao muwepo humu! Nina kuhakikishia hapa hakuna mkoa wowote wala jimbo lolote ambalo Lissu atashinda kwa ujumla wa Kura dhidi ya Magufuli tena uko kanda ya Ziwa ndio usiseme kabisa!

Mimi naomba usije ukalimbia jukwaa!
Kamwe Lissu awezi mshinda Magufuli kwenye jimbo lolote wala mkoa wowote hapa Tanzania!

Najua sasa hivi utonielewa lakini tarehe 30 utanielewa! Kamwe Kamwe tena uko kanda ya Ziwa Lissu hatoweza kupanda ushindi hata ule unao mkaribia Magufuli hata chembe!

Naomba tuombe Mungu atuweke hai hadi tarehe 28 hakika tutaona na tutarudi hapa kusimuliana!

Kinachokuhakikishieni kwamba huyo mtu wenu atapita kwa kishindo ndicho kinachotuhakikishia sisi pia kama mtu wetu atapita kwa kishindo.

Washauri wafanye uchaguzi huru na haki halafu tukutane hapa jukwaani.
 
Walipiga wakati Lisu alipofika mjini. CCM waliandaa vijana, wakashambulia msafara kwa mawe, bahati vijana waliokuwa na Lisu wakajibu mashambulizi. Barabara kuu ilikuwa na mawe nyakati za saa 11 jioni.

Dah ,poleni sana Ndugu zetu na asante kwa Taarifa hiyo Mkuu.
 
Embu fafanua mkuu hiyo association Ni ipi na inafanyaje kazi over drive

Siwezi kukuambia tusubiri matokeo, but do you know that, the dangerous lesson they have learned from their 2015 victory is that they can subvert institutions, display a contempt for parliamentary democracy, lie without restraint and there is no political price to pay whatsoever.
 
Wengi mashabiki wa lisu hawajajiandksha kupga kura😀😀
 
Siwezi kukuambia tusubiri matokeo, but do you know that, the dangerous lesson they have learned from their 2015 victory is that they can subvert institutions, display a contempt for parliamentary democracy, lie without restraint and there is no political price to pay whatsoever.

Hapa umenipoteza mazima
 
Walipiga wakati Lisu alipofika mjini. CCM waliandaa vijana, wakashambulia msafara kwa mawe, bahati vijana waliokuwa na Lisu wakajibu mashambulizi. Barabara kuu ilikuwa na mawe nyakati za saa 11 jioni.
Hiyo haitasaidia zaidi ya kumuongezea Lissu kura na umaarufu.
 
Mimi naomba tarehe 29 na 30 mwezi ujao muwepo humu! Nina kuhakikishia hapa hakuna mkoa wowote wala jimbo lolote ambalo Lissu atashinda kwa ujumla wa Kura dhidi ya Magufuli tena uko kanda ya Ziwa ndio usiseme kabisa!

Mimi naomba usije ukalimbia jukwaa!
Kamwe Lissu awezi mshinda Magufuli kwenye jimbo lolote wala mkoa wowote hapa Tanzania!

Najua sasa hivi utonielewa lakini tarehe 30 utanielewa! Kamwe Kamwe tena uko kanda ya Ziwa Lissu hatoweza kupanda ushindi hata ule unao mkaribia Magufuli hata chembe!

Naomba tuombe Mungu atuweke hai hadi tarehe 28 hakika tutaona na tutarudi hapa kusimuliana!
Kama mnategemea wizi sawa
 
Nimetafakari na kujiuliza sana jambo hili , huyu mtu tuliyeaminishwa kwamba ni msaliti wa Taifa , akashambuliwa kinyama na kutelekezwa ili akafie mbali , kama haitoshi akavuliwa ubunge bila huruma na akatishwa asirudi nchini , bali pamoja na lundo la vitisho Lissu amerudi nyumbani kishujaa.

Cha ajabu ni kwamba kila anapopita kwenye kampeni zake za kuomba Urais watu wanajaa kupita kiasi , na cha kushangaza zaidi ni huko kanda ya ziwa ambako tuliaminishwa kwamba ni ngome ya watu wengine ndiko ilikovunjiwa rekodi ya umati kwenye mikutano yake , Katoro , Sengerema na Geita ni mifano hai ya hoja yangu

Swali langu ni hili , kwa umati huu unaojitokeza kwenye mikutano ya Lissu huko kanda ya ziwa ni kiashiria cha jambo gani ?

Hizi hapa ni picha za Geita , Mkoa unasemekana alizaliwa Mgombea Urais wa CCM , jioneeni wenyewe .

Wata kuambia ni photo shop.
Sio Geita ni za Lowasa.
Ccm kwushney..
Ila tatizo sio chama. Baki shida ni kumpa rais nafasi ya kuwa mwenyekiti wa chama.
Hivi ni nani atamfunga stop engine??
 
Dah ,poleni sana Ndugu zetu na asante kwa Taarifa hiyo Mkuu.

Asante Sana mkuu. Japo ilitucheleweshea muda wa kumsikiliza Lisu. Ilibidi kamaliza kuongea kwenye 12 karibia na nusu huko. Asingekutana na upuuzi wa kijuha huo, angewahi kuongea na wananchi wake.

Ila vibe la watu lilikuwa so mchezo. Baada ya mkutano, alisindikizwa hadi OFISI za Chadema, na wafusi wengi Sana.
 
Kapicha kameeditiwa weeee!

Chadema hata muhangaike vipi, Lisu haingii hata mara 10 kwenye mafuriko ya Slaa 2010 achilia mbali ya Liwasa 2015
 
Back
Top Bottom