Uchaguzi 2020 Kitendo cha Tundu Lissu kukubalika Kanda ya Ziwa kwa kiwango hiki inaashiria nini?

Uchaguzi 2020 Kitendo cha Tundu Lissu kukubalika Kanda ya Ziwa kwa kiwango hiki inaashiria nini?

Kwa Tundu lissu wanaenda kusikiliza hoja, CCM wanajaza viwanja kwa kuwapelekea show ya bure ya kuona wasanii.

Lissu hana msanii na anajaza viwanja kama nye ,je nye mgezunguka bila msanii halafu lissu azunguke na kina diamond nani angeenda kwenye mkutano wa CCM?

Lissu yuko peke yake ,CCM wasanii karibia 30 mkutano moja lakini watu sawa na lissu ,bado siku ya mkutano wanafunzi mnawatoa madarasani wajaze uwanja na kubeba watu kwa malori
Mwambie Tundu kwenye mkutano ujao aje na cheti cha darasa la saba.. Najua hana.. Labda aende kufoji.
 
Kinamaanisha ajiandae kupokea matokeo ya WAJUMBE kama walivyopokea wenzake kina PAULI
Maendeleo hayana vyama[emoji2][emoji2]
 
Anakubalika kwa percentage ngap?
Fuatilia statistics zilizotolewa na IPSOS juu ya wingi wa watu waliohudhuria kwenye vikao vya Kampeni vya CDM na CCM kanda ya ziwa hasa Mwanza.

Ni asilimia 90% kwa CCM na 10% kwa CDM. Ww huko kukubalika kwako umepima kwa metric gani?
Kama hauna data hauna haki ya kuzungumza.!
 
Hizi ni picha za 1620 by JPM
Ni kuweweseka. Unajua Magufuli alikuwa hajaingia kwenye siasa za hoja kulikuwa hakuna mtu yeyote aliyethubutu kumkosoa. Akajidanganya na kujiona anapendeka sana. Sasa ajabu moja ni kuwa hata kwenye ''ngome'' yake ameona wanampuuza.

Je sehemu nyingine itakuwaje? Uchaguzi huu unaweza kumwangusha vibaya sana... labda afanye mkakati kabambe na wa siri wa kuiba. Hali ilivyo sasa akajifinya kuiba kinguvunguvu anaweza kuamsha hasira kali nchi nzima na yeye akaishia pabaya mno. Mbaya zaidi ndani ya CCM wengi wanachekea kwa pembeni.
 
Anakubalika kwa percentage ngap?
Fuatilia statistics zilizotolewa na IPSOS juu ya wingi wa watu waliohudhuria kwenye vikao vya Kampeni vya CDM na CCM kanda ya ziwa hasa Mwanza.
Ni asilimia 90% kwa CCM na 10% kwa CDM. Ww huko kukubalika kwako umepima kwa metric gani?
Kama hauna data hauna haki ya kuzungumza.!
Ndiyo mnavyojipa matumaini na kumdanganya bwana mkubwa wenu siyo. Anyway hata Sadam dakika za mwisho kuna mtu alikuwa anaitwa comical Ali alikuwa anampa moyo.
 
Mimi naomba tarehe 29 na 30 mwezi ujao muwepo humu! Nina kuhakikishia hapa hakuna mkoa wowote wala jimbo lolote ambalo Lissu atashinda kwa ujumla wa Kura dhidi ya Magufuli tena uko kanda ya Ziwa ndio usiseme kabisa!

Mimi naomba usije ukalimbia jukwaa!
Kamwe Lissu awezi mshinda Magufuli kwenye jimbo lolote wala mkoa wowote hapa Tanzania!

Najua sasa hivi utonielewa lakini tarehe 30 utanielewa! Kamwe Kamwe tena uko kanda ya Ziwa Lissu hatoweza kupanda ushindi hata ule unao mkaribia Magufuli hata chembe!

Naomba tuombe Mungu atuweke hai hadi tarehe 28 hakika tutaona na tutarudi hapa kusimuliana!
Huna lolote
 
Sitaki kukuharibia siku, kwa taarifa tuu, Kuna association moja inafanya kazi overdrive. Mpaka 28th October, 2020 usishangae kwa matokeo yeyote.
Kwa mujibu wa Lissu , kutangaza matokeo yoyote kinyume na kura halali huo ndio utakuwa mwisho wa Tanzania , madikteta wote walioondolewa , kupinduliwa ama kukamatwa walikuwa na wapambe njaa kama wewe
 
Nakulipa mshahara na gari na nyumba alafu umtangaze mpinzani ?
 
Mimi naomba tarehe 29 na 30 mwezi ujao muwepo humu! Nina kuhakikishia hapa hakuna mkoa wowote wala jimbo lolote ambalo Lissu atashinda kwa ujumla wa Kura dhidi ya Magufuli tena uko kanda ya Ziwa ndio usiseme kabisa!

Mimi naomba usije ukalimbia jukwaa!
Kamwe Lissu awezi mshinda Magufuli kwenye jimbo lolote wala mkoa wowote hapa Tanzania!

Najua sasa hivi utonielewa lakini tarehe 30 utanielewa! Kamwe Kamwe tena uko kanda ya Ziwa Lissu hatoweza kupanda ushindi hata ule unao mkaribia Magufuli hata chembe!

Naomba tuombe Mungu atuweke hai hadi tarehe 28 hakika tutaona na tutarudi hapa kusimuliana!
Umesema kweli kabisa. Niko na jamaa moja hapa kaja kunifanyia kazi toka Mbeya anasema huko ni JPM tu hakuna cha Lisu.

Ukweli no kwamba Lisu hapasui hapo EU juzi wanetoa matokeo ya utafiti wait na hiyo ndio habari ya mjini.

Bahati nzuri zile nchi zote viherehere hawataruhusiwa kuja kuangalia uchaguzi wakiwemo shieika la UN wenyewe.

Naipongeza sana serikali ya JPM kukataa pesa za UNDP, hivyo hawataleta kiherehere
 
hiyo hoja tulishafunga ,tukihoji PHD feki za kukamua korosho msituteke

PhD zinajionesha kwa vitendo.. Sio lazima ubebe makaratasi.

Wewe si unaona mshua ndani ya miaka minne keshaifikisha nchi kwenye uchumi wa kati. If Magufuli was not comming from Africa, he must have won Nobel Peace price on Economics by now!
 
Back
Top Bottom