Uchaguzi 2020 Kitendo cha Tundu Lissu kukubalika Kanda ya Ziwa kwa kiwango hiki inaashiria nini?

Uchaguzi 2020 Kitendo cha Tundu Lissu kukubalika Kanda ya Ziwa kwa kiwango hiki inaashiria nini?

Leo nilienda kuthibitisha hoja aliyopaswa aitoe Polepole(ajabu ikatolewa na mwenye mamlaka zaidi ya uenezaji propaganda) kuwa picha za upinzani ni za mwaka 2015, leo nimejuwa kuwa ni halisi.

Hiyo nyomi ya Geita, hata ile ya Lowasa 2015 haiingii. Vibe lote.

Kweli uchaguzi ukiwa huru, mjenga barabara anaweza kwenda kujenga ya kijijini kwake tu.
Mkuu umekuwa mwaminifu kwa ahadi uliyoahidi kishuhudia...barikiwa
 
Pana Taarifa zina sambaa kuwa Polisi wanapiga Watu Mabomu ya Machozi baada ya Fujo iliyozuka kwa kukutana wafuasi wa Chadema na CCM ,huko huko Geita.Mwenye Taarifa zaidi atujuze.
tunaomba jina la RPC wa hapo
 
Umesema kweli kabisa. Niko na jamaa moja hapa kaja kunifanyia kazi toka Mbeya anasema huko ni JPM tu hakuna cha Lisu.

Ukweli no kwamba Lisu hapasui hapo EU juzi wanetoa matokeo ya utafiti wait na hiyo ndio habari ya mjini.

Bahati nzuri zile nchi zote viherehere hawataruhusiwa kuja kuangalia uchaguzi wakiwemo shieika la UN wenyewe.

Naipongeza sana serikali ya JPM kukataa pesa za UNDP, hivyo hawataleta kiherehere
Mbeya ipi labda ya huko kwenu kusikojulikana
 
Geita wana jambo lao,watu waliporwa migodi yao .

Leo wachimbaji wadogo ni kama wako nchi ya ugenini,hawana chao pale.

Madini yote Mabeberu wanayabeba kwa madege kila siku.

Hii kitu inawaumiza sana wazawa wa Geita.
 
Mimi naomba tarehe 29 na 30 mwezi ujao muwepo humu! Nina kuhakikishia hapa hakuna mkoa wowote wala jimbo lolote ambalo Lissu atashinda kwa ujumla wa Kura dhidi ya Magufuli tena uko kanda ya Ziwa ndio usiseme kabisa!

Mimi naomba usije ukalimbia jukwaa!
Kamwe Lissu awezi mshinda Magufuli kwenye jimbo lolote wala mkoa wowote hapa Tanzania!

Najua sasa hivi utonielewa lakini tarehe 30 utanielewa! Kamwe Kamwe tena uko kanda ya Ziwa Lissu hatoweza kupanda ushindi hata ule unao mkaribia Magufuli hata chembe!

Naomba tuombe Mungu atuweke hai hadi tarehe 28 hakika tutaona na tutarudi hapa kusimuliana!
Haaahaaaa ila CCM bhana, yaani huwa mnajifanya confident ila ikifika 28 october mnaanza sarakasi. Kma mnajiamini hvi kwanni mnaogopa chaguzi huru na haki?
 
Ujinga mlionao ni mkubwa kuliko mlima Kilimanjaro...mhaini wa nchi huyo nani ampeleke Ikulu?

Hatutaki kuongozwa na mtu mropokaji wa kila kitu,mtu gani kila kitu kwake kibaya ilihali sisi kama wananchi tunaona wazi jinsi President anavyo tupambania..pisha mbali wewe
 
Hii ya Leo Geita, inatafakarisha mno, huko kwa jirani kuna taharuki kuu.
 
Sitaki kukuharibia siku, kwa taarifa tuu, Kuna association moja inafanya kazi overdrive. Mpaka 28th October, 2020 usishangae kwa matokeo yeyote.

Ahaaaa ahaaaa, mzee wa futuhi naona ulitoweka kwenye ule uzi ulioweka kiporo!
 
Watu wanakwenda kwenye mikutano ya TundA Lisu kupoteza muda na kutizama Futuhi!
TundA ana vichekesho sana... Eti anawahutubia wakulima kuhusu tozo za mazao na wakati Magufuli alishazifuta tangu zamani za kale!
Kwa **£*££ hawaendi wanaogopa kusikia matusi
 
Mkuu, umeona taarifa ya habari ITV usiku huu?.
Hoja yako imenipeleka kutafakari kisa cha ufufuo wa Yesu Kristo, baada ya kuwa amefufuka watesi wake waliwaamuru walinzi wasiseme kuwa amefufuka bali waseme wanafunzi wake waliuiba mwili usiku.
Tumeshawaambia hadi tumechoka picha zenu za kuchakachua za kitengo chenu cha uchakahuaji CHADEMA tumezichoka.Mwacheni Lowasa apumzike picha zake za mikutano yake mlizochakachua inatosha.
 
Back
Top Bottom