Uchaguzi 2020 Kitendo cha Tundu Lissu kukubalika Kanda ya Ziwa kwa kiwango hiki inaashiria nini?

Uchaguzi 2020 Kitendo cha Tundu Lissu kukubalika Kanda ya Ziwa kwa kiwango hiki inaashiria nini?

Kanda ya Ziwa ni pro upinzani toka mwaka 1995.

Walichokosea huwa wanabadilika kila uchaguzi, this time naona upepo uko upinzani watachagua upinzani wabunge wengi sana.

Huenda Geita ccm alishinda jimbo la Buchosa na jimbo la Bichosa tu kwa hali niliyoiona Joseph Msukuma sidhani kama atarejea bungeni tena.
Hata Buchosa ukiacha Shigongo kunyoa o hana hoja yoyote
 
kuna mtu kinamuuma sana!! yeye na watu wake hakutegema kabisa uchaguzi huu kuwa hivi.
 
Nimetafakari na kujiuliza sana jambo hili , huyu mtu tuliyeaminishwa kwamba ni msaliti wa Taifa , akashambuliwa kinyama na kutelekezwa ili akafie mbali , kama haitoshi akavuliwa ubunge bila huruma na akatishwa asirudi nchini , bali pamoja na lundo la vitisho Lissu amerudi nyumbani kishujaa.

Cha ajabu ni kwamba kila anapopita kwenye kampeni zake za kuomba Urais watu wanajaa kupita kiasi , na cha kushangaza zaidi ni huko kanda ya ziwa ambako tuliaminishwa kwamba ni ngome ya watu wengine ndiko ilikovunjiwa rekodi ya umati kwenye mikutano yake , Katoro , Sengerema na Geita ni mifano hai ya hoja yangu

Swali langu ni hili , kwa umati huu unaojitokeza kwenye mikutano ya Lissu huko kanda ya ziwa ni kiashiria cha jambo gani ?

Hizi hapa ni picha za Geita , Mkoa unaosemekana alizaliwa Mgombea Urais wa CCM , jioneeni wenyewe .

Umesahau mafuriko ya lowasa au umekuwa janaa
 
Leo nilienda kuthibitisha hoja aliyopaswa aitoe Polepole(ajabu ikatolewa na mwenye mamlaka zaidi ya uenezaji propaganda) kuwa picha za upinzani ni za mwaka 2015, leo nimejuwa kuwa ni halisi.

Hiyo nyomi ya Geita, hata ile ya Lowasa 2015 haiingii. Vibe lote.

Kweli uchaguzi ukiwa huru, mjenga barabara anaweza kwenda kujenga ya kijijini kwake tu.
Utasubiri sana mkuu labda 2035
 
Mimi naomba tarehe 29 na 30 mwezi ujao muwepo humu! Nina kuhakikishia hapa hakuna mkoa wowote wala jimbo lolote ambalo Lissu atashinda kwa ujumla wa Kura dhidi ya Magufuli tena uko kanda ya Ziwa ndio usiseme kabisa!

Mimi naomba usije ukalimbia jukwaa!
Kamwe Lissu awezi mshinda Magufuli kwenye jimbo lolote wala mkoa wowote hapa Tanzania!

Najua sasa hivi utonielewa lakini tarehe 30 utanielewa! Kamwe Kamwe tena uko kanda ya Ziwa Lissu hatoweza kupanda ushindi hata ule unao mkaribia Magufuli hata chembe!

Naomba tuombe Mungu atuweke hai hadi tarehe 28 hakika tutaona na tutarudi hapa kusimuliana!
Watasema wameibiwa kura baada ya kupigwa kipingo cha mbwa kokoko
 
Labda niandike nilichokificha ili uelewe vizuri uzi huu , kabla ya ujio wa Lissu watu wa Geita walikuwa wanatangaziwa kwa kisukuma kwamba Kuhudhuria mkutano wa Lissu ni Usaliti , ikiwa kama Magufuli anatakiwa kiasi unachokisema ilikuwaje jambo hili litangazwe kwa umma ? hata hivyo wananchi wamepuuza kinyama
Kawaida yenu kujitekenya na kucheka
 
Nimetafakari na kujiuliza sana jambo hili , huyu mtu tuliyeaminishwa kwamba ni msaliti wa Taifa , akashambuliwa kinyama na kutelekezwa ili akafie mbali , kama haitoshi akavuliwa ubunge bila huruma na akatishwa asirudi nchini , bali pamoja na lundo la vitisho Lissu amerudi nyumbani kishujaa.

Cha ajabu ni kwamba kila anapopita kwenye kampeni zake za kuomba Urais watu wanajaa kupita kiasi , na cha kushangaza zaidi ni huko kanda ya ziwa ambako tuliaminishwa kwamba ni ngome ya watu wengine ndiko ilikovunjiwa rekodi ya umati kwenye mikutano yake , Katoro , Sengerema na Geita ni mifano hai ya hoja yangu

Swali langu ni hili , kwa umati huu unaojitokeza kwenye mikutano ya Lissu huko kanda ya ziwa ni kiashiria cha jambo gani ?

Hizi hapa ni picha za Geita , Mkoa unaosemekana alizaliwa Mgombea Urais wa CCM , jioneeni wenyewe .

Mnafeli hapo tu! Kumuita mtu au mtu kukusikiliza unacho muomba haimanishi kukubalia, muamuzi sanduku la kura
 
Mimi naomba tarehe 29 na 30 mwezi ujao muwepo humu! Nina kuhakikishia hapa hakuna mkoa wowote wala jimbo lolote ambalo Lissu atashinda kwa ujumla wa Kura dhidi ya Magufuli tena uko kanda ya Ziwa ndio usiseme kabisa!

Mimi naomba usije ukalimbia jukwaa!
Kamwe Lissu awezi mshinda Magufuli kwenye jimbo lolote wala mkoa wowote hapa Tanzania!

Najua sasa hivi utonielewa lakini tarehe 30 utanielewa! Kamwe Kamwe tena uko kanda ya Ziwa Lissu hatoweza kupanda ushindi hata ule unao mkaribia Magufuli hata chembe!

Naomba tuombe Mungu atuweke hai hadi tarehe 28 hakika tutaona na tutarudi hapa kusimuliana!

Kwa kuiba sawa na mmeshaonywa. Hebu jiulize unadhani amerejea nchini kifara?
 
Nimetafakari na kujiuliza sana jambo hili , huyu mtu tuliyeaminishwa kwamba ni msaliti wa Taifa , akashambuliwa kinyama na kutelekezwa ili akafie mbali , kama haitoshi akavuliwa ubunge bila huruma na akatishwa asirudi nchini , bali pamoja na lundo la vitisho Lissu amerudi nyumbani kishujaa.

Cha ajabu ni kwamba kila anapopita kwenye kampeni zake za kuomba Urais watu wanajaa kupita kiasi , na cha kushangaza zaidi ni huko kanda ya ziwa ambako tuliaminishwa kwamba ni ngome ya watu wengine ndiko ilikovunjiwa rekodi ya umati kwenye mikutano yake , Katoro , Sengerema na Geita ni mifano hai ya hoja yangu

Swali langu ni hili , kwa umati huu unaojitokeza kwenye mikutano ya Lissu huko kanda ya ziwa ni kiashiria cha jambo gani ?

Hizi hapa ni picha za Geita , Mkoa unaosemekana alizaliwa Mgombea Urais wa CCM , jioneeni wenyewe .


Bora upinzani kuliko anaetaka kujiongezea utawala kwa kuvunja katiba.
Kiufupi ccm wengi hawamuungi jiwe na hao ndio watakao mpindua.

Unakumbuka kinana alivyosema wakati amealikwa aseme kwenye mkutano mkuu?
Alisema uchaguzi huu sio wa kubeza na hili ndilo kinalotokea.
Alafu CD ya kumpamba mzee imeshachujuka yaani
 
Hivi jamani na nyie mnafikiri geita kabisa geita wampigie Kura Tundu lissu half wamwache magu
Mbona kikwete mkazii wa ursino kinondoni alipata Kura 20 kwenye Jimbo la kawe 2015

Pale lugalo JWTz alipata % 30 ya kura za wajeda
 
Mimi naomba tarehe 29 na 30 mwezi ujao muwepo humu! Nina kuhakikishia hapa hakuna mkoa wowote wala jimbo lolote ambalo Lissu atashinda kwa ujumla wa Kura dhidi ya Magufuli tena uko kanda ya Ziwa ndio usiseme kabisa!

Mimi naomba usije ukalimbia jukwaa!
Kamwe Lissu awezi mshinda Magufuli kwenye jimbo lolote wala mkoa wowote hapa Tanzania!

Najua sasa hivi utonielewa lakini tarehe 30 utanielewa! Kamwe Kamwe tena uko kanda ya Ziwa Lissu hatoweza kupanda ushindi hata ule unao mkaribia Magufuli hata chembe!

Naomba tuombe Mungu atuweke hai hadi tarehe 28 hakika tutaona na tutarudi hapa kusimuliana!
Mkuu Ruttashobolwa , asante sana kwa kuwaeleza watu humu ukweli huu, japo watu humu watakubeza, lakini ukweli siku zote, una tabia moja, husimama mpaka mwisho.
Maadam tarehe 28 inakuja, tusiendelee kuandikia mate wakati wino upo!.

Ila pia kuna kitu umewasaidia hawa waota ndoto mchana bila wao kujijua, umewaokoa na kupata ugonjwa wa depression kutokana na too great expectations, kuwa mtu wao atashinda, hivyo ukweli kama huu unawasaidia kuwaandaa kisaikolojia kupokea kipigo cha mwaka, hivyo watakaposhindwa, wataishia kuumia tuu lakini hawata athirika kisaikolojia, na namna pekee ya kujifariji itakuwa ni kulia sana kwa kupiga makelele ili kuondoa machungu.

p
 
Huko Kanda ya ziwa si ndiko waliozulumiwa nyavu zao, watu wamelipishwa faini Hadi milioni 4 kwa kukutwa na vipande vya samaki, walikuwa wakiwategemea wacongo kuja kununua dagaa na samaki baada ya kuwashughulikia wafanyabiashara uchumi wa watu wa ziwani ukafa kibudu hivyo Wana hasira ya kumsomesha namba mtu October.
 
Back
Top Bottom