Kitendo cha Tundu Lissu kulala nyumbani kwa mwalimu Nyerere bila kwenda nyumbani kwa mzee Mtei siyo cha kiungwana

Kitendo cha Tundu Lissu kulala nyumbani kwa mwalimu Nyerere bila kwenda nyumbani kwa mzee Mtei siyo cha kiungwana

Mgombea urais wa Chadema Tundu Lissu amekwenda Arusha mara mbili nyakati hizi za uchaguzi pasi na kufika nyumbani kwa muasisi wa chama chake kumsabahi na kuchota baraka.

Akiwa mkoani Mara Tundu Lissu aliforce hadi akalala nyumbani kwa Mwalimu Nyerere huku luninga zikimfatilia.

Simlaumu Tundu Lissu kwa sababu sijui kilichomsibu akiwa Arusha lakini namkumbusha tu wakati mwingine asirudie kosa hili la kiufundi.

Nawatakia Watanzania uchaguzi wenye baraka.

Ukimkubali Nyerere utampigia kura Dr Magufuli.

Maendeleo hayana vyama!
Kama hupati mtandao kutokana na ukandamizaji wa haki za binadamu wa ccm tafadhali pakua VPN hapa...

URL unfurl="true"]https://m.apkpure.com/ufo-vpn-basic-free-vpn-proxy-master-secure-wifi/ufovpn.free.unblock.proxy.vpn[/URL]

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom