Uchaguzi 2020 Kitendo cha Tundu Lissu kusimama barabarani kusalimia wananchi akiwa njiani kwenda Shinyanga siyo kampeni za mapema?

Uchaguzi 2020 Kitendo cha Tundu Lissu kusimama barabarani kusalimia wananchi akiwa njiani kwenda Shinyanga siyo kampeni za mapema?

Msafara wa Tundu Lisu kutoka Singida kuelekea Shinyanga kusaka wadhamini umekuwa ukisimama katika vijiji mbalimbali na " kulazimisha" wananchi wawasalimie.

Nimewaona pale kwa Dr Mwigullu Nchemba mji wote umesukumiziwa barabarani kumsalimia Lisu.

Ndiposa nauliza huu siyo uvunjifu wa kanuni wa kuanza kampeni mapema?

2020 Hakunaga kama Dr Magufuli!
Weka na picha basi tuone na kufurahi sote.
 
Mimi sio mshabiki wa TL kabisaaa ila kama watu wanajitokeza awasalimie tu, hata kama wanampa hela ,pole ya risasi huyu ni MTz wenzetu.
Nampendea ujasiri wa kusema hata kama hayana maana , akijua mazuri atayasema pia.

Kura kwa JPM. TL labda awe tu jaji mahakama zetu.

Hata TL ahamasishe kura apewe jpm. Ni hayo tu
 
Mimi sio mshabiki wa TL kabisaaa ila kama watu wanajitokeza awasalimie tu, hata kama wanampa hela ,pole ya risasi huyu ni MTz wenzetu.
Nampendea ujasiri wa kusema hata kama hayana maana , akijua mazuri atayasema pia.

Kura kwa JPM. TL labda awe tu jaji mahakama zetu.

Hata TL ahamasishe kura apewe jpm. Ni hayo tu
Nimekuelewa bwashee!
 
Wewe ulitakaje?
Asisalimie watu?
Acheni wivu.
Lissu anapendwa na watu.

Jana Membe na Maalim Seif wameisimamisha Zanzibar na mji nzima ulikuwa barabara kuwasalimia, hukuja hapa kusema hayo.
Tunakumbushana tu bwashee!
 
Mataga bhana, inya zinagonga pichu bwashee!!
Ni hivyo tu Mangi. Mihemuko ya nini? Ni ndugu yetu, hata mi namkaribisha nimpe pole.

Ila kura kwa jembe JPM.
Jpm naye ampe mambo ya sheria na kumuandaa
 
Kama ni kambeni ya mapema basi Magufuli aliianza 2016. Tuanze naye.
Msafara wa Tundu Lisu kutoka Singida kuelekea Shinyanga kusaka wadhamini umekuwa ukisimama katika vijiji mbalimbali na " kulazimisha" wananchi wawasalimie.

Nimewaona pale kwa Dr Mwigullu Nchemba mji wote umesukumiziwa barabarani kumsalimia Lisu.

Ndiposa nauliza huu siyo uvunjifu wa kanuni wa kuanza kampeni mapema?

2020 Hakunaga kama Dr Magufuli!
 
Walisukumizwa na malori ya kukodi kama mbavyowasukumiza anapotembelea Magu kisha mnawapa mshahara wa ubwabwa na soda?
 
Msafara wa Tundu Lisu kutoka Singida kuelekea Shinyanga kusaka wadhamini umekuwa ukisimama katika vijiji mbalimbali na " kulazimisha" wananchi wawasalimie.

Nimewaona pale kwa Dr Mwigullu Nchemba mji wote umesukumiziwa barabarani kumsalimia Lisu.

Ndiposa nauliza huu siyo uvunjifu wa kanuni wa kuanza kampeni mapema?

2020 Hakunaga kama Dr Magufuli!
Hajala mahindi?

"Munataka mupapanuliwe wapi" Anaongea huku anapaliwa mahindi 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom