Kitendo cha Walimu wengi Kuomba Kazi kuboresha Daftari la mpiga kura Basi ni kielelezo tosha Maslahi ya Walimu ni Duni...

Kitendo cha Walimu wengi Kuomba Kazi kuboresha Daftari la mpiga kura Basi ni kielelezo tosha Maslahi ya Walimu ni Duni...

Mjmi

Mimi pia kama wewe tu mkuu, ni mwalimu lakin sijaomba. Tatizo kubwa ni kama ulivyosema kukosa elimu ya fedha, ingekua wana elimu ya fedha wenzetu plus na muda tulionao kwa nature ya kazi yetu tunaweza kabisa kutengeneza fedha wenyewe kuliko hata hizo za masimango wanazokimbilia wenzetu
Fact
 
Kwa Kweli hata Mimi nashangaa. Kwa jamii iliyostaarabika hizi zilitakiwa zifanywe na majobless wa mtaani waliograduate. Hi kasi kubwa ya walimu kujazana na hii kazi ya 600k Ni ishara ya watu hawa kutotoka kuridhika.

Ninachoona walimu wamejijengea mtazamo wa kazi zote za muda za serikali sensa, kura, wamejimegea authority na mamlaka imekuwa na huruma sana kwao.

Kingine nimengundua kwenye utumishi wa walimu Kuna tabia ya SHEEP FACTOR. Hi ni tabia ya kikondoo yaani kufuata mmoja anakoelekea. Nimekutana na wamama walimu ambao familia zao ziko njema kwa ukwasi wa waume zao lakini na wao hawajaacha fursa hii mpaka unajiuliza kulkoni.
 
Back
Top Bottom