Pre GE2025 Kitendo cha Wasanii kuvaa nguo zenye Picha ya Rais Samia Ugenini ni cha Aibu na kinadhalilisha

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
ndio uzalendo wenyewe huo na kujivunia fahari ya Taifa letu, na kuutangaza utaifa wetu miongoni mwa mataifa ya dunia 🐒

Kwan kuna ubaya gani kwa mfano 🐒
 
Awamu hii ina vituko kuliko awamu zote! Na bado 25 mpaka 30!
Kwa kweli tu migrate to Burundi tu! Khaa...
 
Hivi hii safari ilikuwa na waongozaji na watayarishaji au ni waigizaji tu kwa maana ya wasanii ?
Ilikuwa fursa ya Steve and company kurekodi kabisa tamthilia kwa kupiga kolabo na kina Jumong!
Ama kweli uchawa ni big deal, yaani kodi zetu zaliwa na wasanii hivi hivi tukiona, wako wapi Gen Z wa bongo au ndo hawa machawa wanaovaa T-shirt hizi? Basi tumekwisha!!
 
Unategemea Steve awe na akili hy ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…