Pre GE2025 Kitendo cha Wasanii kuvaa nguo zenye Picha ya Rais Samia Ugenini ni cha Aibu na kinadhalilisha

Pre GE2025 Kitendo cha Wasanii kuvaa nguo zenye Picha ya Rais Samia Ugenini ni cha Aibu na kinadhalilisha

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tujitahidi kusoma magazeti. Mm ni mpenzi sana wa magazeti

1000286584.jpg
 
Mi nadhani tu kwamba viongozi wa nchi zingine wakikutanaga na rais wa Tz hua wanaomba sana awaeleze ni kwa jinsi gani ameweza kuwafanya wananchi wampende kiasi hiki
 
Mi nadhani tu kwamba viongozi wa nchi zingine wakikutanaga na rais wa Tz hua wanaomba sana awaeleze ni kwa jinsi gani ameweza kuwafanya wananchi wampende kiasi hiki
Aiseeee
 
Halafu bado tunajiuliza why tunaitwa nchi ya Dunia ya Tatu. Kuna vitu naamini hata mwenye picha yake anashangaa
 
Yaani mwana
Hakukuwa sababu yoyote ile ya Maana au ya Kijinga ya kufanya hivyo .

Hii ni kwa vile huko Korea hakuna anayemjua Samia, Wala hakuna Jimbo lolote la Uchaguzi wa Tanzania huko, kiasi cha hao wanaoitwa Wasanii ambao pia ni Chawa kulazimika kufanya Kampeni na kuvaa mafulana ya kiwango cha chini yenye picha ya Mtanzania mwenzao.

Ni kweli kwamba Tajiri hanuniwi, maana ndio kawapa hiyo Koneksheni, lakini tulidhani badala ya kuweka mapicha ya watu wangeweza kuweka picha za Vivutio vya Nchi yao ambavyo ni vingi mno, ambapo tunaamini utalii ungeongezeka Nchini, Ni laana kwa nchi kutukuza watu binafsi kwa kiwango hicho hata kama watu hao wanatupa hela, Watu huisha na Nchi hubaki, ndio maana Nyerere alikwenda lakini Tanzania ikabaki, Maandiko matakatifu yameandika hivi, nanukuu, "AMELAANIWA MTU YULE AMTEGEMEAYE MWANADAMU" mwisho wa kunukuu

Kuna haja sasa ya Nchi hii kuruhusu Uraia pacha ili sisi wengine tujivunie nchi nyingine badala ya kuwa Watanzania tu huku tukidhalilishwa mara kwa mara

View attachment 3034819View attachment 3034820View attachment 3034821
Yaani mwanaume unavaa nguo ina picha ya mwanamke ambaye siyo mama yako wala mkeo?
Na kibaya zaidi hamna undugu!
Tajirikeni tu mimi sitaki UTUMWA WA FIKIRA.
 
Suala la picha ya Samia limekaaa kimiyeyusho. Vinginevyo, wacha jamaa waenjoy. Suala la wao kwenda huko Korea wamegharamia kila kitu.
 
Suala la picha ya Samia limekaaa kimiyeyusho. Vinginevyo, wacha jamaa waenjoy. Suala la wao kwenda huko Korea wamegharamia kila kitu.
Kama wanejigharamia hayo mapichapicha ya nini?
 
Kumbe picha ya rais mnaijua eeeh? Maana kuna mjinga alichoma mkasema makaratasi hao wamevaa sare zao mnaona wamefaidi
 
Una usongo na mama Samia?

Wewe kimekuuma nini? Si ukisafiri wewe vaa fulana ya Ngorongoro crater na mlima Kilimanjaro, au beach ya Zanzibar.

Unajuwa kuwa ukijawa na chuki humuumizi unayemchukia unajiumiza nafsi yako?
Mimi nadhani usingemshambulia personally mleta mada zaidi ungejikita kwenye content, ijapokuwa naelewa huwa inamaanisha nn pale mtu anapoacha mada husika na kukimbilia kupersonalize vitu....
 
Tutafuteni ela jamn sio kila kitu cha kukiekea makasriko xx hata t shirt tuhh ifanye watu mtoke povuu huu c ujinga xx
 
Hakukuwa sababu yoyote ile ya Maana au ya Kijinga ya kufanya hivyo .

Hii ni kwa vile huko Korea hakuna anayemjua Samia, Wala hakuna Jimbo lolote la Uchaguzi wa Tanzania huko, kiasi cha hao wanaoitwa Wasanii ambao pia ni Chawa kulazimika kufanya Kampeni na kuvaa mafulana ya kiwango cha chini yenye picha ya Mtanzania mwenzao.

Ni kweli kwamba Tajiri hanuniwi, maana ndio kawapa hiyo Koneksheni, lakini tulidhani badala ya kuweka mapicha ya watu wangeweza kuweka picha za Vivutio vya Nchi yao ambavyo ni vingi mno, ambapo tunaamini utalii ungeongezeka Nchini, Ni laana kwa nchi kutukuza watu binafsi kwa kiwango hicho hata kama watu hao wanatupa hela, Watu huisha na Nchi hubaki, ndio maana Nyerere alikwenda lakini Tanzania ikabaki, Maandiko matakatifu yameandika hivi, nanukuu, "AMELAANIWA MTU YULE AMTEGEMEAYE MWANADAMU" mwisho wa kunukuu

Kuna haja sasa ya Nchi hii kuruhusu Uraia pacha ili sisi wengine tujivunie nchi nyingine badala ya kuwa Watanzania tu huku tukidhalilishwa mara kwa mara

View attachment 3034819View attachment 3034820View attachment 3034821
Hivi kwanini tumekuwa hivi lakini?? Tanganyika imekumbwa na nini!?

Hapana aisee hii ni aibu aibu ambayo naona Mimi!! 2025 tuondoe hii aibu
 
Back
Top Bottom