Pre GE2025 Kitendo cha Wasanii kuvaa nguo zenye Picha ya Rais Samia Ugenini ni cha Aibu na kinadhalilisha

Pre GE2025 Kitendo cha Wasanii kuvaa nguo zenye Picha ya Rais Samia Ugenini ni cha Aibu na kinadhalilisha

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hakukuwa na sababu yoyote ile ya Maana au ya Kijinga ya kufanya hivyo .

Hii ni kwa vile huko Korea hakuna anayemjua Samia, Wala hakuna Jimbo lolote la Uchaguzi wa Tanzania huko, kiasi cha hao wanaoitwa Wasanii ambao pia ni Chawa kulazimika kufanya Kampeni na kuvaa mafulana ya kiwango cha chini yenye picha ya Mtanzania mwenzao.

Ni kweli kwamba Tajiri hanuniwi, maana ndio kawapa hiyo Koneksheni, lakini tulidhani badala ya kuweka mapicha ya watu wangeweza kuweka picha za Vivutio vya Nchi yao ambavyo ni vingi mno, ambapo tunaamini utalii ungeongezeka Nchini, Ni laana kwa nchi kutukuza watu binafsi kwa kiwango hicho hata kama watu hao wanatupa hela, Watu huisha na Nchi hubaki, ndio maana Nyerere alikwenda lakini Tanzania ikabaki, Maandiko matakatifu yameandika hivi, nanukuu, "AMELAANIWA MTU YULE AMTEGEMEAYE MWANADAMU" mwisho wa kunukuu

Kuna haja sasa ya Nchi hii kuruhusu Uraia pacha ili sisi wengine tujivunie nchi nyingine badala ya kuwa Watanzania tu huku tukidhalilishw

Hakuna chuki hapo, ni hoja kabambe tu
Bora wasanii wa muziki kuliko hao ni shida,ukute wanajiona sana uko korea
 
Kama tunataka sanaa ya uigizaji uikue, tupeleke wakufunzi wa fine arts, na wanafunzi wa fine arts waende Korea, Philippines,, Uchina na Japan Hata Mexico au Brazil wakapige practical training, Hawa bongo move wapewe connection za kufanya korabo tu.
 
Wangevaa zenye picha ya Mbowe au Lissu
Usingejibu hivyo ningeshangaa sana!

Hao wasanii kuvaa hivyo ilikuwa sio matakwa yao, hiyo safari walienda kwa hisani ya watu wa...vigezo na masharti kuzingatiwa.
 
Hakukuwa na sababu yoyote ile ya Maana au ya Kijinga ya kufanya hivyo .

Hii ni kwa vile huko Korea hakuna anayemjua Samia, Wala hakuna Jimbo lolote la Uchaguzi wa Tanzania huko, kiasi cha hao wanaoitwa Wasanii ambao pia ni Chawa kulazimika kufanya Kampeni na kuvaa mafulana ya kiwango cha chini yenye picha ya Mtanzania mwenzao.

Ni kweli kwamba Tajiri hanuniwi, maana ndio kawapa hiyo Koneksheni, lakini tulidhani badala ya kuweka mapicha ya watu wangeweza kuweka picha za Vivutio vya Nchi yao ambavyo ni vingi mno, ambapo tunaamini utalii ungeongezeka Nchini, Ni laana kwa nchi kutukuza watu binafsi kwa kiwango hicho hata kama watu hao wanatupa hela, Watu huisha na Nchi hubaki, ndio maana Nyerere alikwenda lakini Tanzania ikabaki, Maandiko matakatifu yameandika hivi, nanukuu, "AMELAANIWA MTU YULE AMTEGEMEAYE MWANADAMU" mwisho wa kunukuu

Kuna haja sasa ya Nchi hii kuruhusu Uraia pacha ili sisi wengine tujivunie nchi nyingine badala ya kuwa Watanzania tu huku tukidhalilishwa mara kwa mara

View attachment 3034819View attachment 3034820View attachment 3034821
Siku si nyingi watalia michozi mingi sana

Tuliona Alivyo potea mwendawazimu wa chato watoto wake walilia michozi mingi mno
 
Hakukuwa na sababu yoyote ile ya Maana au ya Kijinga ya kufanya hivyo .

Hii ni kwa vile huko Korea hakuna anayemjua Samia, Wala hakuna Jimbo lolote la Uchaguzi wa Tanzania huko, kiasi cha hao wanaoitwa Wasanii ambao pia ni Chawa kulazimika kufanya Kampeni na kuvaa mafulana ya kiwango cha chini yenye picha ya Mtanzania mwenzao.

Ni kweli kwamba Tajiri hanuniwi, maana ndio kawapa hiyo Koneksheni, lakini tulidhani badala ya kuweka mapicha ya watu wangeweza kuweka picha za Vivutio vya Nchi yao ambavyo ni vingi mno, ambapo tunaamini utalii ungeongezeka Nchini, Ni laana kwa nchi kutukuza watu binafsi kwa kiwango hicho hata kama watu hao wanatupa hela, Watu huisha na Nchi hubaki, ndio maana Nyerere alikwenda lakini Tanzania ikabaki, Maandiko matakatifu yameandika hivi, nanukuu, "AMELAANIWA MTU YULE AMTEGEMEAYE MWANADAMU" mwisho wa kunukuu

Kuna haja sasa ya Nchi hii kuruhusu Uraia pacha ili sisi wengine tujivunie nchi nyingine badala ya kuwa Watanzania tu huku tukidhalilishwa mara kwa mara

View attachment 3034819View attachment 3034820View attachment 3034821
Mbona kama babaake king Yuri wa kene jumong uyu
 
Tunaaibika sana watanzania wote tunaonekana wehu, nchi kama iyo tungetangaza utalii like Kilimanjaro Serengeti pia kwenye mikataba tunatakiwa kubagain watupe technology mfano apo wapelekwe wasomi wataalam wakajifunze tufike mahali tujenge Barabara wenyewe kupitia wataalam Ivo ndio namna ya kuwafaidi hao watu. Aah kummmae sana bas tu
 
Back
Top Bottom