Mada iko wapi hapo zaidi ya roho mbaya tu?Mimi nadhani usingemshambulia personally mleta mada zaidi ungejikita kwenye content, ijapokuwa naelewa huwa inamaanisha nn pale mtu anapoacha mada husika na kukimbilia kupersonalize vitu....
Roho mbaya ni ile iliyokustaafisha siasa kwa miaka 6Mada iko wapi hapo zaidi ya roho mbaya tu?
Roho mbaya ni ile iliyokustaafisha siasa kwa miaka 6Mada iko wapi hapo zaidi ya roho mbaya tu?
We naye kumbe kilaza. nimesema wapi wamejigharamia wasanii? soma upya. safari imegharamiwa na wakorea.Kama wanejigharamia hayo mapichapicha ya nini?
F-uck offHapana, bendera ya Chadema
We ajuza udini na ujinga utakuuaUna usongo na mama Samia?
Wewe kimekuuma nini? Si ukisafiri wewe vaa fulana ya Ngorongoro crater na mlima Kilimanjaro, au beach ya Zanzibar.
Unajuwa kuwa ukijawa na chuki humuumizi unayemchukia unajiumiza nafsi yako?
😆😆😆😆We ajuza udini na ujinga utakuua
Ananijua vizuri hawezi kurudia tena ujinga wake😆😆😆😆
Hakukuwa na sababu yoyote ile ya Maana au ya Kijinga ya kufanya hivyo .
Hii ni kwa vile huko Korea hakuna anayemjua Samia, Wala hakuna Jimbo lolote la Uchaguzi wa Tanzania huko, kiasi cha hao wanaoitwa Wasanii ambao pia ni Chawa kulazimika kufanya Kampeni na kuvaa mafulana ya kiwango cha chini yenye picha ya Mtanzania mwenzao.
Ni kweli kwamba Tajiri hanuniwi, maana ndio kawapa hiyo Koneksheni, lakini tulidhani badala ya kuweka mapicha ya watu wangeweza kuweka picha za Vivutio vya Nchi yao ambavyo ni vingi mno, ambapo tunaamini utalii ungeongezeka Nchini, Ni laana kwa nchi kutukuza watu binafsi kwa kiwango hicho hata kama watu hao wanatupa hela, Watu huisha na Nchi hubaki, ndio maana Nyerere alikwenda lakini Tanzania ikabaki, Maandiko matakatifu yameandika hivi, nanukuu, "AMELAANIWA MTU YULE AMTEGEMEAYE MWANADAMU" mwisho wa kunukuu
Kuna haja sasa ya Nchi hii kuruhusu Uraia pacha ili sisi wengine tujivunie nchi nyingine badala ya kuwa Watanzania tu huku tukidhalilishw
Bora wasanii wa muziki kuliko hao ni shida,ukute wanajiona sana uko koreaHakuna chuki hapo, ni hoja kabambe tu
Usingejibu hivyo ningeshangaa sana!Wangevaa zenye picha ya Mbowe au Lissu
Siku si nyingi watalia michozi mingi sanaHakukuwa na sababu yoyote ile ya Maana au ya Kijinga ya kufanya hivyo .
Hii ni kwa vile huko Korea hakuna anayemjua Samia, Wala hakuna Jimbo lolote la Uchaguzi wa Tanzania huko, kiasi cha hao wanaoitwa Wasanii ambao pia ni Chawa kulazimika kufanya Kampeni na kuvaa mafulana ya kiwango cha chini yenye picha ya Mtanzania mwenzao.
Ni kweli kwamba Tajiri hanuniwi, maana ndio kawapa hiyo Koneksheni, lakini tulidhani badala ya kuweka mapicha ya watu wangeweza kuweka picha za Vivutio vya Nchi yao ambavyo ni vingi mno, ambapo tunaamini utalii ungeongezeka Nchini, Ni laana kwa nchi kutukuza watu binafsi kwa kiwango hicho hata kama watu hao wanatupa hela, Watu huisha na Nchi hubaki, ndio maana Nyerere alikwenda lakini Tanzania ikabaki, Maandiko matakatifu yameandika hivi, nanukuu, "AMELAANIWA MTU YULE AMTEGEMEAYE MWANADAMU" mwisho wa kunukuu
Kuna haja sasa ya Nchi hii kuruhusu Uraia pacha ili sisi wengine tujivunie nchi nyingine badala ya kuwa Watanzania tu huku tukidhalilishwa mara kwa mara
View attachment 3034819View attachment 3034820View attachment 3034821
Wametumia kodi zakeUnawapangia? Acha upopoma
NyanokoF-uck off
View attachment 3034825
Kwa watakaouliza, iyo chuma ya nyuma ni Hyundai Sonata (2006-2010) kutoka Korea.
Mbona kama babaake king Yuri wa kene jumong uyuHakukuwa na sababu yoyote ile ya Maana au ya Kijinga ya kufanya hivyo .
Hii ni kwa vile huko Korea hakuna anayemjua Samia, Wala hakuna Jimbo lolote la Uchaguzi wa Tanzania huko, kiasi cha hao wanaoitwa Wasanii ambao pia ni Chawa kulazimika kufanya Kampeni na kuvaa mafulana ya kiwango cha chini yenye picha ya Mtanzania mwenzao.
Ni kweli kwamba Tajiri hanuniwi, maana ndio kawapa hiyo Koneksheni, lakini tulidhani badala ya kuweka mapicha ya watu wangeweza kuweka picha za Vivutio vya Nchi yao ambavyo ni vingi mno, ambapo tunaamini utalii ungeongezeka Nchini, Ni laana kwa nchi kutukuza watu binafsi kwa kiwango hicho hata kama watu hao wanatupa hela, Watu huisha na Nchi hubaki, ndio maana Nyerere alikwenda lakini Tanzania ikabaki, Maandiko matakatifu yameandika hivi, nanukuu, "AMELAANIWA MTU YULE AMTEGEMEAYE MWANADAMU" mwisho wa kunukuu
Kuna haja sasa ya Nchi hii kuruhusu Uraia pacha ili sisi wengine tujivunie nchi nyingine badala ya kuwa Watanzania tu huku tukidhalilishwa mara kwa mara
View attachment 3034819View attachment 3034820View attachment 3034821
Tatizo kubwa mkuu ni tamaa ya madaraka ipo kuliko maendeleo ya nchi Yan kiufup viongoz wa Africa hawapo kwaaajili nchi ziendelee ila lolote wanyalo ili wawe madarakan. Matokeo yake ndo ayoKwa akili za wajinga jama hao? Shifa nchi hii inawajinga wengi sana