Kitendo chenu cha Kufurahia sana Refa wa Mechi yenu kutoka Congo DR Kwao Wakongo mlionao Kutawaponza

Kitendo chenu cha Kufurahia sana Refa wa Mechi yenu kutoka Congo DR Kwao Wakongo mlionao Kutawaponza

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Taarifa za ndani nilizozipata kutoka Jikoni katika Klabu moja na hata kule Kwenyewe kabisa CAF ni kwamba kama kuna Refa ( Mwamuzi ) ambaye atachunguzwa mno Maamuzi yake Kiuchezeshaji Siku hiyo basi ni huyu kutoka Congo DR.

Na Watu fulani wasivyo na Siri mpaka akina MINOCYCLINE tunapata Taarifa zao ni kwamba kuna mpango Siku ambayo Mwamuzi huyo ataingia Tanzania basi nje ya Wale Maofisa wa Shirikisho, wa Serikalini ( BMT ) na Wawili wa Klabu husika kwenda Kumuona ( Kumpoza ) pia Wataambatana na Wachezaji tegemezi wa Klabu wanaotokea Congo DR atokako Refa ( Mwamuzi ) ili na Wao wakamshawishi 'Wa Nyumbani' Mwenzao ili awabebe kwani baada ya Kuambiwa Mechi yao ya Marudiano nchini Algeria itakuwa Ngumu na kutakuwa na Fitna za kila aina Wahusika kwa Kusaidiwa na Serikali wanataka Kuimaliza mazima hii Mechi hapa hapa Dar es Salaam Tanzania Jumapili ya tarehe 28 Mei, 2023.

Kuwemi makini sana MINOCYCLINE "Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person" Nawaonya / Nawaonyeni mapema msije kuanza Kulaumiana janja yenu ikojulikana na CAF kisha mkalimwa Rungu kama Klabu na Nchi nayo ikalimwa Rungu na Pesa zisizo na Kazi za Mama yenu zikaishia Kulipia Faini CAF na Mahakamani CAS.
 
Taarifa za ndani nilizozipata kutoka Jikoni katika Klabu moja na hata kule Kwenyewe kabisa CAF ni kwamba kama kuna Refa ( Mwamuzi ) ambaye atachunguzwa mno Maamuzi yake Kiuchezeshaji Siku hiyo basi ni huyu kutoka Congo DR.

Na Watu fulani wasivyo na Siri mpaka akina MINOCYCLINE tunapata Taarifa zao ni kwamba kuna mpango Siku ambayo Mwamuzi huyo ataingia Tanzania basi nje ya Wale Maofisa wa Shirikisho, wa Serikalini ( BMT ) na Wawili wa Klabu husika kwenda Kumuona ( Kumpoza ) pia Wataambatana na Wachezaji tegemezi wa Klabu wanaotokea Congo DR atokako Refa ( Mwamuzi ) ili na Wao wakamshawishi 'Wa Nyumbani' Mwenzao ili awabebe kwani baada ya Kuambiwa Mechi yao ya Marudiano nchini Algeria itakuwa Ngumu na kutakuwa na Fitna za kila aina Wahusika kwa Kusaidiwa na Serikali wanataka Kuimaliza mazima hii Mechi hapa hapa Dar es Salaam Tanzania Jumapili ya tarehe 28 Mei, 2023.

Kuwemi makini sana MINOCYCLINE "Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person" Nawaonya / Nawaonyeni mapema msije kuanza Kulaumiana janja yenu ikojulikana na CAF kisha mkalimwa Rungu kama Klabu na Nchi nayo ikalimwa Rungu na Pesa zisizo na Kazi za Mama yenu zikaishia Kulipia Faini CAF na Mahakamani CAS.
Popoma taahira la jamii forum kwenye ujinga wako
 
Taarifa za ndani nilizozipata kutoka Jikoni katika Klabu moja na hata kule Kwenyewe kabisa CAF ni kwamba kama kuna Refa ( Mwamuzi ) ambaye atachunguzwa mno Maamuzi yake Kiuchezeshaji Siku hiyo basi ni huyu kutoka Congo DR.

Na Watu fulani wasivyo na Siri mpaka akina MINOCYCLINE tunapata Taarifa zao ni kwamba kuna mpango Siku ambayo Mwamuzi huyo ataingia Tanzania basi nje ya Wale Maofisa wa Shirikisho, wa Serikalini ( BMT ) na Wawili wa Klabu husika kwenda Kumuona ( Kumpoza ) pia Wataambatana na Wachezaji tegemezi wa Klabu wanaotokea Congo DR atokako Refa ( Mwamuzi ) ili na Wao wakamshawishi 'Wa Nyumbani' Mwenzao ili awabebe kwani baada ya Kuambiwa Mechi yao ya Marudiano nchini Algeria itakuwa Ngumu na kutakuwa na Fitna za kila aina Wahusika kwa Kusaidiwa na Serikali wanataka Kuimaliza mazima hii Mechi hapa hapa Dar es Salaam Tanzania Jumapili ya tarehe 28 Mei, 2023.

Kuwemi makini sana MINOCYCLINE "Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person" Nawaonya / Nawaonyeni mapema msije kuanza Kulaumiana janja yenu ikojulikana na CAF kisha mkalimwa Rungu kama Klabu na Nchi nayo ikalimwa Rungu na Pesa zisizo na Kazi za Mama yenu zikaishia Kulipia Faini CAF na Mahakamani CAS.
Kameze dawa kabla hali haijawa mbaya zaidi
 
Taarifa za ndani nilizozipata kutoka Jikoni katika Klabu moja na hata kule Kwenyewe kabisa CAF ni kwamba kama kuna Refa ( Mwamuzi ) ambaye atachunguzwa mno Maamuzi yake Kiuchezeshaji Siku hiyo basi ni huyu kutoka Congo DR.

Na Watu fulani wasivyo na Siri mpaka akina MINOCYCLINE tunapata Taarifa zao ni kwamba kuna mpango Siku ambayo Mwamuzi huyo ataingia Tanzania basi nje ya Wale Maofisa wa Shirikisho, wa Serikalini ( BMT ) na Wawili wa Klabu husika kwenda Kumuona ( Kumpoza ) pia Wataambatana na Wachezaji tegemezi wa Klabu wanaotokea Congo DR atokako Refa ( Mwamuzi ) ili na Wao wakamshawishi 'Wa Nyumbani' Mwenzao ili awabebe kwani baada ya Kuambiwa Mechi yao ya Marudiano nchini Algeria itakuwa Ngumu na kutakuwa na Fitna za kila aina Wahusika kwa Kusaidiwa na Serikali wanataka Kuimaliza mazima hii Mechi hapa hapa Dar es Salaam Tanzania Jumapili ya tarehe 28 Mei, 2023.

Kuwemi makini sana MINOCYCLINE "Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person" Nawaonya / Nawaonyeni mapema msije kuanza Kulaumiana janja yenu ikojulikana na CAF kisha mkalimwa Rungu kama Klabu na Nchi nayo ikalimwa Rungu na Pesa zisizo na Kazi za Mama yenu zikaishia Kulipia Faini CAF na Mahakamani CAS.
Hoja nyingine ni za kitoto sana, mpaka yanga anafika fainali na kutoa vipigo kwa timu zote zilizokuja dar refa alikuwa uyo Ndala? Kwanini unaamini refa atawabeba yanga wakati cv ya yanga inajieleza yenyewe kwenye hii michuano msimu huu, Waarabu watapigwa tu watake wasitake na watapigwa na ubora wa yanga na sio vinginevyo!
 
Taarifa za ndani nilizozipata kutoka Jikoni katika Klabu moja na hata kule Kwenyewe kabisa CAF ni kwamba kama kuna Refa ( Mwamuzi ) ambaye atachunguzwa mno Maamuzi yake Kiuchezeshaji Siku hiyo basi ni huyu kutoka Congo DR.

Na Watu fulani wasivyo na Siri mpaka akina MINOCYCLINE tunapata Taarifa zao ni kwamba kuna mpango Siku ambayo Mwamuzi huyo ataingia Tanzania basi nje ya Wale Maofisa wa Shirikisho, wa Serikalini ( BMT ) na Wawili wa Klabu husika kwenda Kumuona ( Kumpoza ) pia Wataambatana na Wachezaji tegemezi wa Klabu wanaotokea Congo DR atokako Refa ( Mwamuzi ) ili na Wao wakamshawishi 'Wa Nyumbani' Mwenzao ili awabebe kwani baada ya Kuambiwa Mechi yao ya Marudiano nchini Algeria itakuwa Ngumu na kutakuwa na Fitna za kila aina Wahusika kwa Kusaidiwa na Serikali wanataka Kuimaliza mazima hii Mechi hapa hapa Dar es Salaam Tanzania Jumapili ya tarehe 28 Mei, 2023.

Kuwemi makini sana MINOCYCLINE "Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person" Nawaonya / Nawaonyeni mapema msije kuanza Kulaumiana janja yenu ikojulikana na CAF kisha mkalimwa Rungu kama Klabu na Nchi nayo ikalimwa Rungu na Pesa zisizo na Kazi za Mama yenu zikaishia Kulipia Faini CAF na Mahakamani CAS.
I wish jamii forums ingeanzisha jukwaa la watoto. Maana siyo kwa udumavu huu wa akili.
 
Taarifa za ndani nilizozipata kutoka Jikoni katika Klabu moja na hata kule Kwenyewe kabisa CAF ni kwamba kama kuna Refa ( Mwamuzi ) ambaye atachunguzwa mno Maamuzi yake Kiuchezeshaji Siku hiyo basi ni huyu kutoka Congo DR.

Na Watu fulani wasivyo na Siri mpaka akina MINOCYCLINE tunapata Taarifa zao ni kwamba kuna mpango Siku ambayo Mwamuzi huyo ataingia Tanzania basi nje ya Wale Maofisa wa Shirikisho, wa Serikalini ( BMT ) na Wawili wa Klabu husika kwenda Kumuona ( Kumpoza ) pia Wataambatana na Wachezaji tegemezi wa Klabu wanaotokea Congo DR atokako Refa ( Mwamuzi ) ili na Wao wakamshawishi 'Wa Nyumbani' Mwenzao ili awabebe kwani baada ya Kuambiwa Mechi yao ya Marudiano nchini Algeria itakuwa Ngumu na kutakuwa na Fitna za kila aina Wahusika kwa Kusaidiwa na Serikali wanataka Kuimaliza mazima hii Mechi hapa hapa Dar es Salaam Tanzania Jumapili ya tarehe 28 Mei, 2023.

Kuwemi makini sana MINOCYCLINE "Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person" Nawaonya / Nawaonyeni mapema msije kuanza Kulaumiana janja yenu ikojulikana na CAF kisha mkalimwa Rungu kama Klabu na Nchi nayo ikalimwa Rungu na Pesa zisizo na Kazi za Mama yenu zikaishia Kulipia Faini CAF na Mahakamani CAS.

Gongowazi bingwa

Mpira unachezwa hadharani kila mtu atashuhudia
 
Gongowazi bingwa

Mpira unachezwa hadharani kila mtu atashuhudia
Niliwaza kama wewe nikashindwa kabisa kumwelewa mwandishi. Kwamba refa atatoa penati ya mchongo na watu wa VAR wanaamuangalia tu?
 
Back
Top Bottom