Kitendo walichonifanyia mwaka jana pale Cinemax. Kweli hawataenda Mbinguni mpaka leo nina jeraha kubwa sana

Au uwe unaenda wasalimia wale warembo wa pale MANZESE DARAJANI MAANA. Wapo wabichi aseeee
 
Tupia kapicha kapicha ka huyo demu wako mkuu tuone yaliyomo yamo
 
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Demu wako ni mswahili sana achana nae mbwa huyo.
Nlishaachana naye mbwa yule. Sikuwa na hamu naye tena... Na nlimchana kuwa ana uswahili. Sasa awe ana watoa yeye out wenzie.
 
Uzuri hukuitwa, wengine mbona wanalalamika gahalama ndogo Sana pale na wanampango wa kuongeza maana mpaka wapaka kucha wanaingia now. Kiingilio kitakua 15,000 na hizo corn zitauzwa elf Saba, soada elf Tano na juis elef 8 Kisha ualike mashemeji Tena .

[emoji16][emoji1787][emoji1787] Sasa izo ndo gharama ndogo sana Mkuu
 
Ungeenda banda la video kuangalia ..sema watu wengine sijui mnaendeshwa na pussy yani demu ana red flags nyingi ivo still mnadate nao au ndo kulingishia wana una manzi mkali
 

Yaaan demu angekupa upenyo uende choon imeisha
Unampiga chini
 
Demu wako ni mshamba sana, eti twendeni shem atawalipia

Anyway najua hii ni chai tu kijiwe kichangamke
Chai kama hakufanya hiko kitendo Ila maudhui ni sahihi. Yalishanikuta pale na girlfriend wangu akiwa na mdogo wake maana kila alichokiona mbele yake yule dogo alikitaka. Bei za vitu alivyovitaja ni sahihi kabisa
 
Ungeenda banda la video kuangalia ..sema watu wengine sijui mnaendeshwa na pussy yani demu ana red flags nyingi ivo still mnadate nao au ndo kulingishia wana una manzi mkali
Income ikikuruhusu unafanya. Ndiomana bia unayoinunua bar kwa mtogole ni aina hiyo hiyo unayoinunua The Element au Jack's lakini bei tofauti mkuu.๐Ÿ˜†
 
Demu wako mshamba kinoma ni kama alikuwa anataka show off mbele ya mashosti zake, kukusanya kijiji wakati out ni ya wapenzi ni ushaamba. Angekuwa mwingine mngesaidiana kulipa bill
 
Demu wako ndo mwenye makosa ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€

Ila watu umetoka na mpenzi wako muda wa kuita mashost unapata wapi๐Ÿ˜€ au mi ndo mshamba au nna roho mbaya
Hiyo ni rotation, Huwa wanafanya featuring kwa mzunguko kila anapoitwa mmojawapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ