Kitenge ana shughuli gani Marekani?

Iko hivii, nchi yetu ina raia masikini wa kutosha tu
Sasa masikini wanakawaida ya kupendana kinafiki
Yaani anapenda kusikia masikini mwenzake anauguliwa, kafiwa, kapata ajali, kaunguliwa shamba au nyumba nk
Hapendi kusikia masikini mwenzake kapata kazi nzuri, mwanae kafaulu, mwanae kaolewa na tajiri nk

Na hii ndio sababu kwenye maofisi, wale watumishi wenye mishahara minono, utawakuta bado wanavaa masuruali ya mitumba na makoti ya mitumba, ili wafanane na wale akina kajamba nani lengo wasije wakarogwa kwa kuonekana wana maendeleo.
Ikatokea masikini akapata, na kuamua kuonyesha kuwa kapata, lazima atazushiwa ya kuzishiwa, mara ooo freemason, auza ngada, shoga na kejeli kedekede, lakini yote hii ni ile kwann masikini yule kapata.

Chuki hii ni kama hii iliyoonyeshwa na mleta uzi na wote waliodisi kitenge kushowoff, tukubali tu, maisha ni kuchakalika, hao waajiri kama akina majizo sio roho za korosho, kama kazi zake unapiga fresh, hawezi kukuzuia kupiga michongo yako mingine, mjini kuchakalika. Kama anafuatilia nafasi VOA mpaka akwambie, yeye anakuonyesha anaenda USA, ili ujue kunaendeka, tega mitego na wewe uende acha kuwanga ewe masikini.
 
Umepiga mule mule, na mjadala ufungwe. ila umasikini mbaya sana, yani from.nowhere unachukia mtu akisafiri nje ya nchi, akipost yuko wapi, thats too much umasikini na uchawi
 
Mm mwenyewe nimejiuliza sana nikakosa majibu. Hata kama n likizo bado aendeleee kusoma magazeti kutoka Marekani?
Hii tabia ya ku post sijui upo wapi naichukia
Hunishindi Mimi boss. Naona Kama ni "uwack" fulani hivi.
Mpare mpenda sifa akitembea anavuta mgongo hadi kibiongo kishatoka hajitambui
tafuteni pesa wakuu ....wake zenu wafurahi na watoto wenu, ukianza kuchukia hustle za mwanaume mwenzio utapata shida sana

familia zenu wasije wakakosa hata majeneza ya kuwazikia siku mkifa.
 
Ni swali gum sana umeuliza ila wadada wanaweza kukusaidia maana wako vizur sana kwenye upelelez kuliko sisi
 
Covid 19 is a political and mind control agenda ndio maana Tanzania chini ya Jemedari Mbobezi, Mkemia Bingwa, mkuu wa majeshi na mtoa amri mkuu Daktari John Pombe Joseph Magufuli, tumeukataa huo upumbavu.
 
Covid 19 is a political and mind control agenda ndio maana Tanzania chini ya Jemedari Mbobezi, Mkemia Bingwa, mkuu wa majeshi na mtoa amri mkuu Daktari John Pombe Joseph Magufuli, tumeukataa huo upumbavu.
Kwa hiyo hakuna virus anayesababisha Covid-19?

What else do you have as a conspiracy?

Is the earth flat too?
 
The earth is spherical, no doubt but COVID 19 is overrated.
You have answered a question I have not asked (whether Covid-19 is overrated or not) while not answering a question I have asked (whether Covid-19 is a real disease caused by a real virus).

Why?

Did you not understand the question?

Do you not know how to read with comprehension?

Did you understand the question properly, but you just evaded it?

Are you stupid or malicious?
 
Covid 19 is a real disease but it is not as dangerous as Westerners and their African puppets say.
 
Kama kuna kitu nakikumbuka nikimsikia Kitenge ni mahojiano yake wakati akiwa Radio One vs. Ndolanga!!
 
Covid 19 is a real disease but it is not as dangerous as Westerners and their African puppets say.
Is that a fact or an opinion?

Do you know the difference?

Can you prove using undisputable evidence?
 
Mkuu kwasasa huku nyumbani we are living in a State of Denial


Kyrie Irving Says hi...
Nchi hata vipimo haipimi, halafu mtu anakwambia Covid is overrated!

Wakati wanaopima wanakwambia mpaka sasa huu ugonjwa hatujauelewa vizuri, kuna watu inaonekana wamepona, lakini bado wanajisikia wana matatizo fulani. Hawajajua long twrm wffects zikoje, ugonjwa umejulikana kwa muda mfupi tu mpaka sasa.

Halafu sisi ambao hatupimi tuna dismiss.
 
Namba Moja alishasisitiza ''Uchumi Kwanza''
..tumegamble kwenye Herd immunity.....lets hope for the best...
 
Namba Moja alishasisitiza ''Uchumi Kwanza''
..tumegamble kwenye Herd immunity.....lets hope for the best...
Ukweli ni kwamba, maisha ya mtu yana thamani ndogo sana Tanzania.

Ndiyo maana mtu anaweza kusema hiyo kauli ya kuweka mbele uchumi kuliko maisha ya mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…