Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwahiyo na ww kesho ukisafiri tuanze kuhoji kwann umesafiri ni sawa kabisa au tunaanzusha mjadala kwakuwa tuna njaa na tuna bando za 500 tigo ??tufuteni mambo ya msingi ..tunakaa watu wazima tuanze kujadili kwann kasafiri au kaka ufikiriaji wako umeishia hapo ndugu yangu au ni vipi tukueleweje??na kama ni mwanaume kajichunguze uanaume sio tu kusimamisha uanaume ni kuongea mambo ya msingi..kumbuka hata punda anasimamishaHello JF,
Baraka za Mungu zitande juu yenu katika kutafuta mkate wa leo.
Sasa wakuu iko hivi, ni karibu mwezi sasa huyu mwanahabari na mdau wa michezo nguli yuko kwa Trump. Hata habari huwa anareport kutokea huko. Ninachojiuliza kwa sasa kuna umuhimu gani yeye kuwa huko. Najua kwa aina ya kazi yake kusafiri ni kawaida hususani kama kuna tukio la kimichezo kwenye nchi husika.
Lakini kwa sasa huko alipo hakuna tukio lolote la kimichezo hata habari anazoreport huwa ni kutokea hapa nchini, anazireport habari za hapa nchini akiwa USA. Sasa Je, kipi kinamfanya azurure huko USA. Je, ni kwa pesa za ofisi? Si matumizi ya pesa yasiyo ya lazima hayo?
kwann wabongo tuko hivi maonensho gani unayosema ww ya 77 au yap 88 au ???jenga hoja na tujadili hoja zenye mantiki...ok kaenda kusalimia familia eehh alafu tunajadili nn sasa???tusiwe hivo...kumbukeni tuko uchumi wa kati..jenga hoja za uchumi wa katiMaulid kitenge bila shaka ana inshu zake tu huko ila nae amezidi maonyesho aisee japo pia hela ni zake lakini duu! Isiwe ndo hushpupp wa pili huyu 🤪
Povu😀😀kwahiyo na ww kesho ukisafiri tuanze kuhoji kwann umesafiri ni sawa kabisa au tunaanzusha mjadala kwakuwa tuna njaa na tuna bando za 500 tigo ??tufuteni mambo ya msingi ..tunakaa watu wazima tuanze kujadili kwann kasafiri au kaka ufikiriaji wako umeishia hapo ndugu yangu au ni vipi tukueleweje??na kama ni mwanaume kajichunguze uanaume sio tu kusimamisha uanaume ni kuongea mambo ya msingi..kumbuka hata punda anasimamisha
jenga hoja za msingi..unakuja na uzi na hatuna namna utakuiwa mshabiki wa yanga tu mbona wenzako tumekaa kwa kutulia baada ya kichapo ww unaugua nn mwenzetu au ndo umekula bangi kavu
Tukio la nape linaonyeshaga kitenge sio binadamu kama sisiKachero on the beat..
Kwa hali halisi ya maambukizi huko aliko sijui anawaza nini? Akirudi bongo awekwe 'self isolation'Hii tabia ya ku post sijui upo wapi naichukia
Tulia mkuu watu wana mambo yao nyuma ya pazia, usione wanang'ara mjiniMembe na Dauda ukiona wamesafiri basi ni kwenye matukio ya kimichezo tu huwa naona.
Wewe maisha mafupi haya. Kama nafsi yake inasuuzika wacha afanye. Ni njia mojawapo ya kuepusha nafsi na misongo ya mawazo isiyohitajika.Hunishindi Mimi boss. Naona Kama ni "uwack" fulani hivi.