Kitengo cha maudhui ya mitandaoni cha Israel kinaongozwa na wahuni au watu wasiojitambua

Kitengo cha maudhui ya mitandaoni cha Israel kinaongozwa na wahuni au watu wasiojitambua

Mto Songwe

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2023
Posts
6,683
Reaction score
14,060
Toka huu mzozo wa Israel na Palestine kushika kasi kwa sasa.

Kuna baadhi ya mambo ya nimeyang'amua yanayo onesha upuuzi wa idara mbalimbali au vitengo mbalimbali katika taifa la Israel.

Moja ya kitu kinacho nishangaza na kunipa mashaka juu ya utimamu wa kiakili wa watu wanaongoza utoaji wa maudhui katika kurasa mbalimbali za mitandaoni za Israel.

Ni namna wanavyo wasilisha maudhui yao kuhusu huu mgogoro ni kama watu walio changanyikiwa au wasiojitambua wanaweza kuandika chochote cha kipuuzi pasipo hata kupima madhara ya jumbe zao wanazo pachika mitandaoni.

Inaweza ikawa account ya jeshi, waziri mkuu au serikali ya Israel ikaandika jambo la kijinga ambalo kwa akili ya kawaida tu ni la hovyo kutolewa lakini wao wakalipachika mtandaoni.

Shahidi zao kuhusu shutuma mbalimbali wanazo pewa ni kama zinachapishwa na watu wasiojitambua au watoto wadogo ziko hovyo.

Mpaka sasa kitendo cha maudhui ya mitandaoni cha Israel kimefail vibaya na kinazidi kuwaweka uchi na kuonesha namna walivyo wapuuzi.

Hiki kitengo ni kama mtu akijisikia kuandika chochote basi ana andika na kuweka watu waone pasipo kujali madhara yake.
 
Toka huu mzozo wa Israel na Palestine kushika kasi kwa sasa.

Kuna baadhi ya mambo ya nimeya ng'amua yanayo onesha upuuzi wa idara mbalimbali au vitengo mbalimbali katika taifa la Israel.

Moja ya kitu kinacho nishangaza na kunipa mashaka juu ya utimamu wa kiakili wa watu wanaongoza utoaji wa maudhui katika kurasa mbalimbali za mitandaoni za Israel.

Ni namna wanavyo wasilisha maudhui yao kuhusu huu mgogoro ni kama watu walio changanyikiwa au wasiojitambua wanaweza kuandika chochote cha kipuuzi pasipo hata kupima madhara ya jumbe zao wanazo pachika mitandaoni.

Inaweza ikawa account ya jeshi, waziri mkuu au serikali ya Israel ikaandika jambo la kijinga ambalo kwa akili ya kawaida tu ni la hovyo kutolewa lakini wao wakalipachika mtandaoni.

Shahidi zao kuhusu shutuma mbalimbali wanazo pewa ni kama zinachapishwa na watu wasiojitambua au watoto wadogo ziko hovyo.

Mpaka sasa kitendo cha maudhui ya mitandaoni cha Israel kifail vibaya na kinazifi kuwaweka uchi na kuonesha namna walivyo wapuuzi.

Hiki kitengo ni kama mtu akijisikia kuandika chochote basi anandika na kuweka watu waone pasipo kujali madhara yake.
Kwa mfano!!
 
Toka huu mzozo wa Israel na Palestine kushika kasi kwa sasa.

Kuna baadhi ya mambo ya nimeya ng'amua yanayo onesha upuuzi wa idara mbalimbali au vitengo mbalimbali katika taifa la Israel.

Moja ya kitu kinacho nishangaza na kunipa mashaka juu ya utimamu wa kiakili wa watu wanaongoza utoaji wa maudhui katika kurasa mbalimbali za mitandaoni za Israel.

Ni namna wanavyo wasilisha maudhui yao kuhusu huu mgogoro ni kama watu walio changanyikiwa au wasiojitambua wanaweza kuandika chochote cha kipuuzi pasipo hata kupima madhara ya jumbe zao wanazo pachika mitandaoni.

Inaweza ikawa account ya jeshi, waziri mkuu au serikali ya Israel ikaandika jambo la kijinga ambalo kwa akili ya kawaida tu ni la hovyo kutolewa lakini wao wakalipachika mtandaoni.

Shahidi zao kuhusu shutuma mbalimbali wanazo pewa ni kama zinachapishwa na watu wasiojitambua au watoto wadogo ziko hovyo.

Mpaka sasa kitendo cha maudhui ya mitandaoni cha Israel kifail vibaya na kinazidi kuwaweka uchi na kuonesha namna walivyo wapuuzi.

Hiki kitengo ni kama mtu akijisikia kuandika chochote basi ana andika na kuweka watu waone pasipo kujali madhara yake.
Weka mfano....
 
Upo sahihi mkuu ,
siku ya shamburio la hospital walipost wakasema Israel ndio imeshamburia. baada ya kuona mabwana zao wajafurahishwa wakafuta chapu na kusema ni Hamas sio Israel
 
Toka huu mzozo wa Israel na Palestine kushika kasi kwa sasa.

Kuna baadhi ya mambo ya nimeya ng'amua yanayo onesha upuuzi wa idara mbalimbali au vitengo mbalimbali katika taifa la Israel.

Moja ya kitu kinacho nishangaza na kunipa mashaka juu ya utimamu wa kiakili wa watu wanaongoza utoaji wa maudhui katika kurasa mbalimbali za mitandaoni za Israel.

Ni namna wanavyo wasilisha maudhui yao kuhusu huu mgogoro ni kama watu walio changanyikiwa au wasiojitambua wanaweza kuandika chochote cha kipuuzi pasipo hata kupima madhara ya jumbe zao wanazo pachika mitandaoni.

Inaweza ikawa account ya jeshi, waziri mkuu au serikali ya Israel ikaandika jambo la kijinga ambalo kwa akili ya kawaida tu ni la hovyo kutolewa lakini wao wakalipachika mtandaoni.

Shahidi zao kuhusu shutuma mbalimbali wanazo pewa ni kama zinachapishwa na watu wasiojitambua au watoto wadogo ziko hovyo.

Mpaka sasa kitendo cha maudhui ya mitandaoni cha Israel kifail vibaya na kinazidi kuwaweka uchi na kuonesha namna walivyo wapuuzi.

Hiki kitengo ni kama mtu akijisikia kuandika chochote basi ana andika na kuweka watu waone pasipo kujali madhara yake.
Mpuuzi ni wewe usiyejua hata vita inafananaje upo nyuma ya keyboard unatupigia kelele.
 
Toka huu mzozo wa Israel na Palestine kushika kasi kwa sasa.

Kuna baadhi ya mambo ya nimeya ng'amua yanayo onesha upuuzi wa idara mbalimbali au vitengo mbalimbali katika taifa la Israel.

Moja ya kitu kinacho nishangaza na kunipa mashaka juu ya utimamu wa kiakili wa watu wanaongoza utoaji wa maudhui katika kurasa mbalimbali za mitandaoni za Israel.

Ni namna wanavyo wasilisha maudhui yao kuhusu huu mgogoro ni kama watu walio changanyikiwa au wasiojitambua wanaweza kuandika chochote cha kipuuzi pasipo hata kupima madhara ya jumbe zao wanazo pachika mitandaoni.

Inaweza ikawa account ya jeshi, waziri mkuu au serikali ya Israel ikaandika jambo la kijinga ambalo kwa akili ya kawaida tu ni la hovyo kutolewa lakini wao wakalipachika mtandaoni.

Shahidi zao kuhusu shutuma mbalimbali wanazo pewa ni kama zinachapishwa na watu wasiojitambua au watoto wadogo ziko hovyo.

Mpaka sasa kitendo cha maudhui ya mitandaoni cha Israel kifail vibaya na kinazidi kuwaweka uchi na kuonesha namna walivyo wapuuzi.

Hiki kitengo ni kama mtu akijisikia kuandika chochote basi ana andika na kuweka watu waone pasipo kujali madhara yake.
Umeongea Nini hapa Sasa,rudia kusoma na Kisha uandike upya,haujaeleweka kabisa
 
Toka huu mzozo wa Israel na Palestine kushika kasi kwa sasa.

Kuna baadhi ya mambo ya nimeya ng'amua yanayo onesha upuuzi wa idara mbalimbali au vitengo mbalimbali katika taifa la Israel.

Moja ya kitu kinacho nishangaza na kunipa mashaka juu ya utimamu wa kiakili wa watu wanaongoza utoaji wa maudhui katika kurasa mbalimbali za mitandaoni za Israel.

Ni namna wanavyo wasilisha maudhui yao kuhusu huu mgogoro ni kama watu walio changanyikiwa au wasiojitambua wanaweza kuandika chochote cha kipuuzi pasipo hata kupima madhara ya jumbe zao wanazo pachika mitandaoni.

Inaweza ikawa account ya jeshi, waziri mkuu au serikali ya Israel ikaandika jambo la kijinga ambalo kwa akili ya kawaida tu ni la hovyo kutolewa lakini wao wakalipachika mtandaoni.

Shahidi zao kuhusu shutuma mbalimbali wanazo pewa ni kama zinachapishwa na watu wasiojitambua au watoto wadogo ziko hovyo.

Mpaka sasa kitendo cha maudhui ya mitandaoni cha Israel kifail vibaya na kinazidi kuwaweka uchi na kuonesha namna walivyo wapuuzi.

Hiki kitengo ni kama mtu akijisikia kuandika chochote basi ana andika na kuweka watu waone pasipo kujali madhara yake.
Alllah akbar!!!!!! imegeuka kilio kwenu wacha mpelekewe moto binti
 
Toka huu mzozo wa Israel na Palestine kushika kasi kwa sasa.

Kuna baadhi ya mambo ya nimeya ng'amua yanayo onesha upuuzi wa idara mbalimbali au vitengo mbalimbali katika taifa la Israel.

Moja ya kitu kinacho nishangaza na kunipa mashaka juu ya utimamu wa kiakili wa watu wanaongoza utoaji wa maudhui katika kurasa mbalimbali za mitandaoni za Israel.

Ni namna wanavyo wasilisha maudhui yao kuhusu huu mgogoro ni kama watu walio changanyikiwa au wasiojitambua wanaweza kuandika chochote cha kipuuzi pasipo hata kupima madhara ya jumbe zao wanazo pachika mitandaoni.

Inaweza ikawa account ya jeshi, waziri mkuu au serikali ya Israel ikaandika jambo la kijinga ambalo kwa akili ya kawaida tu ni la hovyo kutolewa lakini wao wakalipachika mtandaoni.

Shahidi zao kuhusu shutuma mbalimbali wanazo pewa ni kama zinachapishwa na watu wasiojitambua au watoto wadogo ziko hovyo.

Mpaka sasa kitendo cha maudhui ya mitandaoni cha Israel kifail vibaya na kinazidi kuwaweka uchi na kuonesha namna walivyo wapuuzi.

Hiki kitengo ni kama mtu akijisikia kuandika chochote basi ana andika na kuweka watu waone pasipo kujali madhara yake.
KIMEANDIKA NINI SASA UNAOUITA UPUUZI FAFANUA MWANDISHI???
 
Bogus kabisa, wewe una akili gani ya kuwashinda Israel wakati unaishi chini ya dola moja kwa siku na IQ yako ni ya chini kabisa inaizidi ya mnyama kidogo tu.

Nenda ufukuzane na mwenge huko huna kabisa hoja.
Inategemea mnyama gani
 
Back
Top Bottom