Kitengo cha sheria Yanga ni kibovu

Kitengo cha sheria Yanga ni kibovu

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
Eng Hersi naomba mfukuze kazi huyo kijana wa nyumbani Ngara Patrick Simon

Japo ni home boy ila sio mwanasheria mzuri ni kilaza tu

Yaani anashindwa kumtia hatia Ahmed Ally matusi yote anayoandika na kuongea hadharani

Alishindwa kutetea Yanga kesi dhidi Kagoma nae akashindwa kujenga hoja

Crown FM imeibuka kutukana Yanga na kuongea habari za uchonganishi ila Patrick Simon ameuchuna
Ameshindwa kuwashitaki na kudai fidia
Hao wanatangaza kuwa Yanga wanahonga waamzi mwanasheria wetu kilaza yupo tu analipwa mshahara wa ada zetu za uanachama Bure

EFM hiyo ishajifia kifo kibaya japo nae alikuja na agenda ya kuichafua Yanga.
Mwisho wa kusikika ni pale Kawe

Wilson Oruma alisema Eng Hersi Said ni kiongozi mhuni, kwanini msimtaki na kudai fidia billions 9997.7

Mwanasheria wetu kilaza hapaswi kulipwa mshahara unaotokana na ada zetu za uanachama, maana anashindwa kuitetea Yanga yetu
 
Yaani timu iache kua busy na kusajiri na kutetea ubingwa iwe busy na kesi!
 
Eng Hersi naomba mfukuze kazi huyo kijana wa nyumbani Ngara Patrick Simon

Japo ni home boy ila sio mwanasheria mzuri ni kilaza tu

Yaani anashindwa kumtia hatia Ahmed Ally matusi yote anayoandika na kuongea hadharani

Alishindwa kutetea Yanga kesi dhidi Kagoma nae akashindwa kujenga hoja

Crown FM imeibuka kutukana Yanga na kuongea habari za uchonganishi ila Patrick Simon ameuchuna
Ameshindwa kuwashitaki na kudai fidia
Hao wanatangaza kuwa Yanga wanahonga waamzi mwanasheria wetu kilaza yupo tu analipwa mshahara wa ada zetu za uanachama Bure

EFM hiyo ishajifia kifo kibaya japo nae alikuja na agenda ya kuichafua Yanga.
Mwisho wa kusikika ni pale Kawe

Wilson Oruma alisema Eng Hersi Said ni kiongozi mhuni, kwanini msimtaki na kudai fidia billions 9997.7

Mwanasheria wetu kilaza hapaswi kulipwa mshahara unaotokana na ada zetu za uanachama, maana anashindwa kuitetea Yanga yetu
Mugambo wanaruka na kukanyagana
 
We jamaa yanga itakukondesha
Ni kama karukwa na akili hivi hata haieleweki ameandika nini. Mara kijana wa Ngara, mara Crown hivi sijui Efm. Upuuzi mtupu.

Mbili ameandika uongo. Mtu asiye timamu huo haoni shida kupindisha vitu hata kama vimeongelewa hadharani. Jana nimesikiliza kipindi chote Crown FM, hakuna matusi yametolewa. Wanechambua vizuri sana kwa tena kwa faida ya Yanga. Wamemhoji Jerry Muro kaongea utumbo pale, Jemedari kampasua Muro akabaki kuitikia tu (Mpaka nikajiuliza aliyempa uDC huyo alitumia sifa gani).
Kifupi Yanga waache kuweka viongozi na wasemaji wahuni wahuni
 
Back
Top Bottom