Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaenda kucheza mechi ya dabi na haujui malaika wanajinsia gani !!!Angel ni malaika
Sijawahi kusikika malaika mwanaume
Mbona umechelewa kulifahamu hili..limesemwa sana humuEng Hersi naomba mfukuze kazi huyo kijana wa nyumbani Ngara Patrick Simon
Japo ni home boy ila sio mwanasheria mzuri ni kilaza tu
Yaani anashindwa kumtia hatia Ahmed Ally matusi yote anayoandika na kuongea hadharani
Alishindwa kutetea Yanga kesi dhidi Kagoma nae akashindwa kujenga hoja
Crown FM imeibuka kutukana Yanga na kuongea habari za uchonganishi ila Patrick Simon ameuchuna
Ameshindwa kuwashitaki na kudai fidia
Hao wanatangaza kuwa Yanga wanahonga waamzi mwanasheria wetu kilaza yupo tu analipwa mshahara wa ada zetu za uanachama Bure
EFM hiyo ishajifia kifo kibaya japo nae alikuja na agenda ya kuichafua Yanga.
Mwisho wa kusikika ni pale Kawe
Wilson Oruma alisema Eng Hersi Said ni kiongozi mhuni, kwanini msimtaki na kudai fidia billions 9997.7
Mwanasheria wetu kilaza hapaswi kulipwa mshahara unaotokana na ada zetu za uanachama, maana anashindwa kuitetea Yanga yetu
HAKIKA,Ila hilo la UDC KWA TANZANIA HATA MBUZI ANAWEZA KUWA DC NA MAMBO YAKAWA TU.Ni kama karukwa na akili hivi hata haieleweki ameandika nini. Mara kijana wa Ngara, mara Crown hivi sijui Efm. Upuuzi mtupu.
Mbili ameandika uongo. Mtu asiye timamu huo haoni shida kupindisha vitu hata kama vimeongelewa hadharani. Jana nimesikiliza kipindi chote Crown FM, hakuna matusi yametolewa. Wanechambua vizuri sana kwa tena kwa faida ya Yanga. Wamemhoji Jerry Muro kaongea utumbo pale, Jemedari kampasua Muro akabaki kuitikia tu (Mpaka nikajiuliza aliyempa uDC huyo alitumia sifa gani).
Kifupi Yanga waache kuweka viongozi na wasemaji wahuni wahuni
Khaaaa basi sawaaaNi kama karukwa na akili hivi hata haieleweki ameandika nini. Mara kijana wa Ngara, mara Crown hivi sijui Efm. Upuuzi mtupu.
Mbili ameandika uongo. Mtu asiye timamu huo haoni shida kupindisha vitu hata kama vimeongelewa hadharani. Jana nimesikiliza kipindi chote Crown FM, hakuna matusi yametolewa. Wanechambua vizuri sana kwa tena kwa faida ya Yanga. Wamemhoji Jerry Muro kaongea utumbo pale, Jemedari kampasua Muro akabaki kuitikia tu (Mpaka nikajiuliza aliyempa uDC huyo alitumia sifa gani).
Kifupi Yanga waache kuweka viongozi na wasemaji wahuni wahuni
Malaika Gabriel kwenye biblia alikua mwanamke??Angel ni malaika
Sijawahi kusikika malaika mwanaume
Halafu mnfuzu kwenda robo fainail CAFCL?Mimi sijali iwapo wana mwanasheria mzuri au mbaya, ninachotaka ni kwamba waifunge Simba tu.
Hadi Mimi mkuuMimi sijali iwapo wana mwanasheria mzuri au mbaya, ninachotaka ni kwamba waifunge Simba tu.
Yani mashabiki wa yanga bana wanajifanya wajuaji kumbe hawajui huu ujuaji wenu nilijua upo kwenye mpira tu kumbe hadi kwenye mambo mengine, bila kujali dini unataka kusema kwamba hujawahi kusikia hata majina ya hawa malaika maarufu kina Azrael/Israel (wa kifo), Gabriel/Djibril (wa ujumbe), Michael (wa vita) nk, haya hebu tutajie na wewe majina ya hao malaika wanawake angalau watatu tuKuna malaika mwanaume? Mtaje
Sawa mrembo wangu kunywa maji mengiYani mashabiki wa yanga bana wanajifanya wajuaji kumbe hawajui huu ujuaji wenu nilijua upo kwenye mpira tu kumbe hadi kwenye mambo mengine, bila kujali dini unataka kusema kwamba hujawahi kusikia hata majina ya hawa malaika maarufu kina Azrael/Israel (wa kifo), Gabriel/Djibril (wa ujumbe), Michael (wa vita) nk, haya hebu tutajie na wewe majina ya hao malaika wanawake angalau watatu tu