Kitengo cha sheria Yanga ni kibovu

Mbona umechelewa kulifahamu hili..limesemwa sana humu
 
HAKIKA,Ila hilo la UDC KWA TANZANIA HATA MBUZI ANAWEZA KUWA DC NA MAMBO YAKAWA TU.
 
Khaaaa basi sawaaa
 
Angel ni malaika
Sijawahi kusikika malaika mwanaume
Malaika Gabriel kwenye biblia alikua mwanamke??

Kwenye bible malaika wengi walikua wa kiume.

Pia nakumbuka huyu Mwanasheria Patrick Simon ameshapigwa chini Yanga.

Kama hayo yote huyajui bado tuuchukulie huu uzi wako kwa uzito mkubwa mkuu??
 
Kuna malaika mwanaume? Mtaje
Yani mashabiki wa yanga bana wanajifanya wajuaji kumbe hawajui huu ujuaji wenu nilijua upo kwenye mpira tu kumbe hadi kwenye mambo mengine, bila kujali dini unataka kusema kwamba hujawahi kusikia hata majina ya hawa malaika maarufu kina Azrael/Israel (wa kifo), Gabriel/Djibril (wa ujumbe), Michael (wa vita) nk, haya hebu tutajie na wewe majina ya hao malaika wanawake angalau watatu tu
 
Sawa mrembo wangu kunywa maji mengi
 
We ukiona kijana anakipara kikubwa vle jua apo kuna ttzo
Sasa yule mwanasheria na kipara chake kikubwa vle
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…