Kitengo cha uamasishaji Yanga imefeli sana

Walijua kuhamasishana kwenda kulishwa vibudu vya ng'ombe wa kafara. Wengine hawajavua jezi zao toka tarehe 5 hadi zimeota fungus kwenye kwapa
 
Sio kosa lako. Bao 5 zinakuchanganya.
 
Imagine nyie ndo wapiga kura kuwaweka viongozi wa simba madarakani? Makolo mna safari ndefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…