Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅Pole mwakarobo fc.Nyie uto siwakubali ila naona kama mnaweza beba tuzo ya timu bora. Msimu uliopita upepo kweli ulikuwa upande wenu
Walijua kuhamasishana kwenda kulishwa vibudu vya ng'ombe wa kafara. Wengine hawajavua jezi zao toka tarehe 5 hadi zimeota fungus kwenye kwapaTimu ya Yanga imepata nafasi ya kuingia katika tuzo za CAF katika vipengele viwili.
Cha kwanza ni kipa bora wa msimu
Na ya pili ni klabu bora ya msimu.
Ukiangalia, tokea ushindi wa goli tano zidi ya mtani wake wao wamekomaa na ishu hiyo hiyo moja na wakati mechi imeisha na hata ukisema uizungumzie mwezi mzima hakuna manufaa yeyote yale.
Baada ya ile mechi, nguvu kubwa ilipaswa ku focus kwenye tuzo za CAF kwa kuhamisisha watu mitandaoni na kwenye vyombo vya habari ikiwemo redio, tv na magezeti kuwaelekeza namna ya kupiga kura ili kujiongezea nafasi zinazowaniwa.
Timu ya Simba inapofikia maswala ya kupiga kura, utaona wanahamasishana kwenye kurasa rasmi za klabu, magroup mbalimbali na hata humu hufungua nyuzi juu ya kuwahamasisha mashabiki wao.
Lakini upande wa Yanga wameonesha kushindwa kumudu hilo jambo, sio afisa habari wala digital manager wote wapo wapo na mambo ya upuuzi uliopita na mechi iliyopita.
Mpaka sasa Diarra hayupo kwenye kinyang'anyiro cha tuzo hizo.
Sasa Kama wewe mke wetu upo jf nani atukumbushe kuzivua jezi zetu za 5-1? 😅Walijua kuhamasishana kwenda kulishwa vibudu vya ng'ombe wa kafara. Wengine hawajavua jezi zao toka tarehe 5 hadi zimeota fungus kwenye kwapa
Yaana umeandika kimbumbumbu!!! hakika Ndg Rage aliona mbaliWalijua kuhamasishana kwenda kulishwa vibudu vya ng'ombe wa kafara. Wengine hawajavua jezi zao toka tarehe 5 hadi zimeota fungus kwenye kwapa
Mwenyewe Rage aliwaita mbumbumbu [emoji1787]
Rage alikuwa sahihi sana....Mwenyewe Rage aliwaita mbumbumbu [emoji1787]
Vijana wa Rage ni mtihani.... ndio maana Mudi anawaburuza pale Msimbazi..Uamasishaji = uhamasishaji. Mbona inaonekana ulihitimu vizuri darasa la nne sasa inakuwaje kuandika vizuri kiswahili huwezi?
Hajui kuwa hizo tuzo hawapigi kura mashabiki bali maofisa wa CAF,makapteni na waandishi wa habari
Dah! ukweli ni kwamba hio supu imekuuma sanaWalijua kuhamasishana kwenda kulishwa vibudu vya ng'ombe wa kafara. Wengine hawajavua jezi zao toka tarehe 5 hadi zimeota fungus kwenye kwapa
Huyu Rage huishi kumtaja humu ingependeza ukamzalia watotoYaana umeandika kimbumbumbu!!! hakika Ndg Rage aliona mbali
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Aombe mod auondoe asiendelee kuaibika.Baada ya kusoma hizi comments bila shaka utakimbia uzi wako
Tatizo nyie wala mihogo supu ni kitu adimu kwenu mpaka mbuzi agongwe na gari mtaani kwenu ndiyo mnywe supu ndiyo maana mumezoea vibudu.Dah! ukweli ni kwamba hio supu imekuuma sana
Sio kosa lako. Bao 5 zinakuchanganya.Timu ya Yanga imepata nafasi ya kuingia katika tuzo za CAF katika vipengele viwili.
Cha kwanza ni kipa bora wa msimu
Na ya pili ni klabu bora ya msimu.
Ukiangalia, tokea ushindi wa goli tano zidi ya mtani wake wao wamekomaa na ishu hiyo hiyo moja na wakati mechi imeisha na hata ukisema uizungumzie mwezi mzima hakuna manufaa yeyote yale.
Baada ya ile mechi, nguvu kubwa ilipaswa ku focus kwenye tuzo za CAF kwa kuhamisisha watu mitandaoni na kwenye vyombo vya habari ikiwemo redio, tv na magezeti kuwaelekeza namna ya kupiga kura ili kujiongezea nafasi zinazowaniwa.
Timu ya Simba inapofikia maswala ya kupiga kura, utaona wanahamasishana kwenye kurasa rasmi za klabu, magroup mbalimbali na hata humu hufungua nyuzi juu ya kuwahamasisha mashabiki wao.
Lakini upande wa Yanga wameonesha kushindwa kumudu hilo jambo, sio afisa habari wala digital manager wote wapo wapo na mambo ya upuuzi uliopita na mechi iliyopita.
Mpaka sasa Diarra hayupo kwenye kinyang'anyiro cha tuzo hizo.
Hiyo ni kazi yako mama angu....mzalie iwe Heshima kama mtashindwa kumjengea Mnara...Huyu Rage huishi kumtaja humu ingependeza ukamzalia watoto
Imagine nyie ndo wapiga kura kuwaweka viongozi wa simba madarakani? Makolo mna safari ndefuTimu ya Yanga imepata nafasi ya kuingia katika tuzo za CAF katika vipengele viwili.
Cha kwanza ni kipa bora wa msimu
Na ya pili ni klabu bora ya msimu.
Ukiangalia, tokea ushindi wa goli tano zidi ya mtani wake wao wamekomaa na ishu hiyo hiyo moja na wakati mechi imeisha na hata ukisema uizungumzie mwezi mzima hakuna manufaa yeyote yale.
Baada ya ile mechi, nguvu kubwa ilipaswa ku focus kwenye tuzo za CAF kwa kuhamisisha watu mitandaoni na kwenye vyombo vya habari ikiwemo redio, tv na magezeti kuwaelekeza namna ya kupiga kura ili kujiongezea nafasi zinazowaniwa.
Timu ya Simba inapofikia maswala ya kupiga kura, utaona wanahamasishana kwenye kurasa rasmi za klabu, magroup mbalimbali na hata humu hufungua nyuzi juu ya kuwahamasisha mashabiki wao.
Lakini upande wa Yanga wameonesha kushindwa kumudu hilo jambo, sio afisa habari wala digital manager wote wapo wapo na mambo ya upuuzi uliopita na mechi iliyopita.
Mpaka sasa Diarra hayupo kwenye kinyang'anyiro cha tuzo hizo.
ukipata tumia, ukikosa tulia ndio maisha yanaenda hivyoTatizo nyie wala mihogo supu ni kitu adimu kwenu mpaka mbuzi agongwe na gari mtaani kwenu ndiyo mnywe supu ndiyo maana mumezoea vibudu.