Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
B..., huoni kama kuna some points jamaa amesema kweli? Naona kama mko nyuma kwenye international issues. Fikiria.Timu hiyohiyo unayosema imefeli ndio pekee walioko kwenye tuzo hizo, tena mojawapo wakiwania klabu bora.
Ungetafakari hilo kabla ya kuleta huu ujinga wako hapa.
Hamna jema nyie b…B..., huoni kama kuna some points jamaa amesema kweli? Naona kama mko nyuma kwenye international issues. Fikiria.
Ova
Mjinga akiandika ndo unagundua ujinga wake.Acha tumjue vizuriMambo mengine kama hujui bora kukaa kimya kuliko kujiaibisha namna hii.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Hata kama keshatolewa, bado anabaki na ile heshima ya "one of the best ten" goalkeepers in AfricaTimu ya Yanga imepata nafasi ya kuingia katika tuzo za CAF katika vipengele viwili.
Cha kwanza ni kipa bora wa msimu
Na ya pili ni klabu bora ya msimu.
Ukiangalia, tokea ushindi wa goli tano zidi ya mtani wake wao wamekomaa na ishu hiyo hiyo moja na wakati mechi imeisha na hata ukisema uizungumzie mwezi mzima hakuna manufaa yeyote yale.
Baada ya ile mechi, nguvu kubwa ilipaswa ku focus kwenye tuzo za CAF kwa kuhamisisha watu mitandaoni na kwenye vyombo vya habari ikiwemo redio, tv na magezeti kuwaelekeza namna ya kupiga kura ili kujiongezea nafasi zinazowaniwa.
Timu ya Simba inapofikia maswala ya kupiga kura, utaona wanahamasishana kwenye kurasa rasmi za klabu, magroup mbalimbali na hata humu hufungua nyuzi juu ya kuwahamasisha mashabiki wao.
Lakini upande wa Yanga wameonesha kushindwa kumudu hilo jambo, sio afisa habari wala digital manager wote wapo wapo na mambo ya upuuzi uliopita na mechi iliyopita.
Mpaka sasa Diarra hayupo kwenye kinyang'anyiro cha tuzo hizo.
Mpende mumeo mzalie watoto siyo kumtajataja tuHiyo ni kazi yako mama angu....mzalie iwe Heshima kama mtashindwa kumjengea Mnara...
Rage alikuwa sahihi sana...
Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Sasa ndiyo hata kibudu ?ukipata tumia, ukikosa tulia ndio maisha yanaenda hivyo
Wa mwisho kwenye msimamo wa tuzo[emoji2960][emoji2960][emoji2960]View attachment 2816501
Kwanza kaa ukijua kura wanapiga wenyewe caf na sio mashabiki
Simba mwenye akili mmoja tu Rage the Great wengine wote mbumbumbu ila nakuona kama nawewe unaanza kwa Mbali kuwa na akili kiduuuuuchu!Nyie uto siwakubali ila naona kama mnaweza beba tuzo ya timu bora. Msimu uliopita upepo kweli ulikuwa upande wenu
Mbumbumbu imekuuma sana Yanga kuingia kwenye Tuzo za kibabe Africa huku Simba ya matopeni ikibaki level za JKT na KMC za kupigwa 5G na wanaume kina Max Nzegeli na Ki Aziz!!Wa mwisho kwenye msimamo wa tuzo[emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
5-0.mbona mlishapigwa na mnyama mnasahau?Mbumbumbu imekuuma sana Yanga kuingia kwenye Tuzo za kibabe Africa huku Simba ikibaki level za JKT na KMC za kupigwa 5G na wanaume kina Max Nzegeli na Ki Aziz!!
Mla ni mla Leo mla Jana kala Nini? Mambo ya kale hayatuhusu!5-0.mbona mlishapigwa na mnyama mnasahau?
[emoji23][emoji23]yaani imradi tu mtukere ! anyway next time tutawaletea hapo msimbazi makongoro, pumbu na mikiaSasa ndiyo hata kibudu ?
Hata kwenye top 10 tulikua hivyo hivyo the rest is historyWa mwisho kwenye msimamo wa tuzo[emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Wa mwisho kwenye msimamo wa tuzo[emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Na wewe umesahau ulishapigwa goli goli 95-0.mbona mlishapigwa na mnyama mnasahau?
🤣🤣🤣🤣Na wewe umesahau ulishapigwa goli goli 9