Chambou255
Member
- Feb 15, 2019
- 16
- 19
Simba kwa mara nyingine imeendelea kupata tabu ugenini kwa kupigwa 2-0 na JS Saoura.
Mechi ya mwanzo iliyopigwa taifa Simba walishinda 3-0 kupelekea Saoura kumtimua Nabil Neghiz aliyekuwa kocha mkuu.
Stori ileile ikajirudia kwa Al Ahly wakifungwa 5-0 Misri na kuondoka na ushindi wa 1-0 kwa Mchina.
Kwa matokeo hayo kundi limezidi kuwa ngumu kwa kila timu kuwa na nafasi ya kupita kutegemea kuteleza kwa wapinzani wenzao, kila timu ina mchezo mmoja Simba wakiwa na pointi 6, Al Ahly na vita wakiwa na 7 kila mmoja huku Saoura wakiwa na alama 8.
Swali la msingi, Kwa nini unadhani Simba wanakuwa na kitete ugenini na nini kifanyike
Sent using Jamii Forums mobile app
Mechi ya mwanzo iliyopigwa taifa Simba walishinda 3-0 kupelekea Saoura kumtimua Nabil Neghiz aliyekuwa kocha mkuu.
Stori ileile ikajirudia kwa Al Ahly wakifungwa 5-0 Misri na kuondoka na ushindi wa 1-0 kwa Mchina.
Kwa matokeo hayo kundi limezidi kuwa ngumu kwa kila timu kuwa na nafasi ya kupita kutegemea kuteleza kwa wapinzani wenzao, kila timu ina mchezo mmoja Simba wakiwa na pointi 6, Al Ahly na vita wakiwa na 7 kila mmoja huku Saoura wakiwa na alama 8.
Swali la msingi, Kwa nini unadhani Simba wanakuwa na kitete ugenini na nini kifanyike
Sent using Jamii Forums mobile app