Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
wanatoa rushwa kubwaWanaosafirisha mnawaogopa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanatoa rushwa kubwaWanaosafirisha mnawaogopa
Sidhani kama watamshikilia , wanapiga biti tu hapo ili kutoa elimu.Kwenda zako huko. Digidigi ni ishu?
Kwenda zako huko. Digidigi ni ishu?
Watu wanauza wanyama na kusafrisha ulaya wanajipatia mabilioni mama wa watu kakamata digi digi ajipatie kitoweo, imekuwa nyara, na polisi kakaza fuvu kabisa
Wanawake wawili wa Kijiji cha Kimana wilayani Kiteto Mkoani Manyara, wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Kiteto kwa kukutwa na nyara za Serikali, ambazo ni Swala na mtoto wa mnyama aina ya Digidigi ambaye yuko hai.
Wanawake hao ni Veronica Paulo (24) na Witnes Paulo (20) ambapo Machi 20.2023 wakiwa nyumbani kwao wamedaiwa kukutwa nya nyara hizo za Serikali wakiwa eneo la Njutaa kata ya Partimbo.
![]()
Gharama walizotumia tu kwenda kuwakamata hao wanawake na kuita waandishi inazidi bei ya hiyo nyama,, polisi wapuuzi sanaNa wanavojua kuzitumia Intellectual intelligence walizosoema kwenye vijitukio vidovdgo utazani kwel tuna polisi.
Ije ishu ya jangiri utaona wanafanya upelelezi Hadi mnasahau.
Toka lini nyma ikawa nyara za serikali, Kuna KAZI ni laana hapa Tanzania ikiwemo Police