KITHEMBE KINANIFANYA NICHEKWE.

pole sana mkuuu,...
dawa ya kithembe ni kunywa maji mengi....kitakauka
Duuuuuh aiseeee!!!![emoji779] [emoji779] [emoji779] [emoji779] [emoji779] [emoji779] [emoji779] [emoji779] [emoji779] [emoji779] [emoji779] [emoji779] [emoji779] [emoji779] [emoji779] [emoji779] [emoji779] [emoji779] [emoji779] [emoji779]
 
Wewe ni yule Dada yangu wa sinza? Nadhani ukishakuwa mtu mzima ukubali tu hiyo hali
 
Nenda St Benedictin Hospital Ndanda Masasi ukatibiwe ni kazi ya masaa sita unakuwa ok
 
Mimi nilikuwa na kigugumizi hadi kufikia miaka 17 na kilinipa shida sana. Ila nilijifunza jinsi ya kukishinda na namshukuru Mungu niliweza. Jifunze namna ya kulishinda hilo tatizo. Ila kama alivyochangia mdau hapo juu, akiwa nacho mwanamke baadhi ya wanaume huwa tunakifurahia sana.
 
Dah...Udhuri wake uongee kiingeredha thatha 😛
 
Inategemea mana wengine wakiwa wanakuwa kinaisha chenyew
Cha msingi jitahidi na jizoeshe kuongea kawaida ila usiforce nenda taratibu taratibu utajikuta umezoea na kuanza kubadilika.
Wakikucheka ndo vizuri mada watakupa hasira ya kujitahidi kujirekebisha.
All the best katika jitihada zako.
 
Shukrani sanaaaaaaaaaaa mkuu
 
Ahsante sana ndugu
 
Ni pm namba yako nikupigie nisikie unavyotamka nijue namna yakukusaidia.
 
Mi ninacho watu wanapenda sana navyoongea lazima ujiamini ujikubal na nikiongea lazima watu wageuke unachekwa sababu hujiamin na kujikubal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…