KITHEMBE KINANIFANYA NICHEKWE.

KITHEMBE KINANIFANYA NICHEKWE.

Hahaaa ...shukrani sana mkuu...hivi hii haiwezi kunikosesha hata kazi...mfano kama nikitaka kua mtangazaji siku moja...????
Ukienda vyuo vuzuri vya utangazaji watakiondoa kwa asilimia 90.
Japo kuna baadhi huwa wanakuwa navyo , ila inatakiwa kisiwepo na watakupa trainings kwa sehem kubwa kitaondoka.
Unaweza kuwa mtangazaji ila kapitie mafunzo formal chatoka tuu.
*ila sasa ukiondoa kwa tunao kipenda tena itakuwaje
 
Ukienda vyuo vuzuri vya utangazaji watakiondoa kwa asilimia 90.
Japo kuna baadhi huwa wanakuwa navyo , ila inatakiwa kisiwepo na watakupa trainings kwa sehem kubwa kitaondoka.
Unaweza kuwa mtangazaji ila kapitie mafunzo formal chatoka tuu.
*ila sasa ukiondoa kwa tunao kipenda tena itakuwaje
Hahaaaaa shukrani sana mkuu kwa kunitia moyo kua kitaondoka.....haha kwa mnao kipenda itabidi tuvumiliane.....daaaaah kuna siku niliombwa na wanafunzi wa shule moja kuwasaidia swali... Aiseeee ilikua ni vicheko tuu kwa wale wanafunzi....yani sijui kama walielewa ....maana walijikita kuniskiliza maneno ya sa"/tha, za"/"dha
 
Hahaaaaa shukrani sana mkuu kwa kunitia moyo kua kitaondoka.....haha kwa mnao kipenda itabidi tuvumiliane.....daaaaah kuna siku niliombwa na wanafunzi wa shule moja kuwasaidia swali... Aiseeee ilikua ni vicheko tuu kwa wale wanafunzi....yani sijui kama walielewa ....maana walijikita kuniskiliza maneno ya sa"/tha, za"/"dha
Hahahaha
Usijali , ur dreams are better than what we like, ukipata mafunzo kikitoka utatangaza fresh tuu hata kama kikiwepo ni kile cha maramoja moja sanaa si unajua kuacha asili ni ngumu!

*good luck mtangazaji or mtangadhaji [emoji1]
 
Hahahaha
Usijali , ur dreams are better than what we like, ukipata mafunzo kikitoka utatangaza fresh tuu hata kama kikiwepo ni kile cha maramoja moja sanaa si unajua kuacha asili ni ngumu!

*good luck mtangazaji or mtangadhaji [emoji1]
Athanteeee thanaaaa atheeeeeee......... Kilikua kinanipa wasiwasi wa kuja kujikita katika taaluma ya utangazaji hapo mbeleni.....shukrani sana....mkuu
 
Back
Top Bottom