Kitila Mkumbo ala za Uso zanzibar aambiwa akae kimya kwa kuwa haijui

Kitila Mkumbo ala za Uso zanzibar aambiwa akae kimya kwa kuwa haijui

Huyu mama pia haujiui uislam.. eti amesikia misikitini akaamini kabisa... hajui Taqiyya ndio uislam haswa... kadanganywa msikitini akaingia cha kiume...

Nimecheka kusikia Mtumo wa Mtikila... 🙂
Magufuli mlitaka mumuone Magomenj? 😂😂😂😂
 
Jamaa anasisitiza Profesa... Anadhani Maza ataogopa.
Professor ukiwa darasani huko kwenye vitivo tuige wa marekani vyeo vya Profesa ,Doctor,Engineer nk vinatumika tu mtu akiwa eneo linahusika na hiyo fani Sio uko kwenye Ngoma ya mdumange au kigodoro, mdundiko au kitcheni party au Ngoma ya kibati unataka uitwe Profesa Fulani au Doctor Fulani au Engineer Fulani huyo mama Yuko sahihi pale hapakuwa kitivo Cha Chuo kikuu Hadi amwite Proffessior
 
Sijaona alichosema Kitila Mkumbo, lakini ana kawaida ya kuwa "spin doctor". Mtu wa kubadili maneno juu kuita chini na chini kuita juu kwa ustadi mkubwa.

Sasa, naona kakutana na wenyewe wanaojua visiwa vyao kajaribu kuwafundisha kuhusu haki zao wamempa za uso.
 
Huku Tanganyika kwa wasiojitambua, huyo Kitila Mkumbo si ajabu angepokelewa kwa vifijo na nderemo.
Huko visiwani naona kashushwa kutoka mawinguni anakovinjari na kurudishwa maskani kwake ardhini.
Hongera zake huyo mama...kwa sisi wakongwe wa JF katukumbusha zama za kumkoma nyani giledi..
Kwa sasa JF kwa kweli imepakatwa na kupoteza kabisa dira hadi koleo ni nongwa kuliita kwa jina lake!
 
- Crack down all sign that went against our Union!...
~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~~
- Wazanzibar wasomi wapatiwe ajira za upendeleo bara,kwa kusambaza wahitimu wote ndani ya Tanzania, huku wahitimu wa bara wakisambazwa znz kwa 30%.
-Shule za kilimo / University bara ziingize Wazanzibar kwa 50% ya wanafunzi wake,wahitimu wake wapatiwe mashamba bara.
-Wazee wa Zanzibar wale walioathirika wapatiwe kifuta machozi, pamoja na cancelling kuepusha kurithisha vijana chuki,
-Vijana wa Zanzibar wamelishwa sumu mbaya na wazee, mf. (kama sio huu muungano wazanzibar tungekuwa kama oman/dubei twalipwa tu mihela siye twacheza bhao) wakiimba nadharia ya tunayo mafuta mengi kupindukia, kiasi yakichimbwa znz Kuwait yatakauka, poor mentality ya uvivu mkali.
-
 
Back
Top Bottom