Kitila Mkumbo ala za Uso zanzibar aambiwa akae kimya kwa kuwa haijui

Kitila Mkumbo ala za Uso zanzibar aambiwa akae kimya kwa kuwa haijui

Ila watu mnapakwa mafuta kwa mgingo wa chupa,all politicians reporting to national security in one way or another wote ni usalama wa nchi and wengine ni double agent km mzee wa msoga and rostam how ni mifano tu,huyo kitila mnamuona bwege but behind a scene anafanya kazi zake vzr tu
Hakuna aliyebisha haya usemayo. Cha muhimu kafokewa haya nenda ukalie nae.
 
Hao midebwedo? Kitila ana haja gani kukajua hako kawilaya. Wazanzibari hawanaga akili siku zote wanawaza m-Oman arudi ndio ndugu yao
Kalale wacha shobo huna unalojua wa znz ni watu akili sn km huelew

waaminifu kimahusiano, kiitikadi kwa chama wanacho amini,kiimani hawayumbi,wapole ,hawana majisifu wala kujipendekeza kwa mtu hata awe staa namna gn,na ndio mana popote afikapo akijulikn mznz heshima yk inakua kubwa zaid kuliko.......? Km hujui uliza ujue
 
Ila watu mnapakwa mafuta kwa mgingo wa chupa,all politicians reporting to national security in one way or another wote ni usalama wa nchi and wengine ni double agent km mzee wa msoga and rostam how ni mifano tu,huyo kitila mnamuona bwege but behind a scene anafanya kazi zake vzr tu
Acha porojo. Kikatiba kila mtanzania ni usalama wa Taifa.
 
Ningekuwa kitela makumba mimi ningempiga vibaya sana huyu mama. Inakuwaje huyo mama hamjui waziri makumbo ambaye ajulikana sana bara kote kwa uchawa?
Eti hamjui mtu aliyetetea DP W. ametoka ACT kwa maalim seif dharau kunwa sana hizi
 
Sijaona alichosema Kitila Mkumbo, lakini ana kawaida ya kuwa "spin doctor". Mtu wa kubadili maneno juu kuita chini na chini kuita juu kwa ustadi mkubwa.

Sasa, naona kakutana na wenyewe wanaojua visiwa vyao kajaribu kuwafundisha kuhusu haki zao wamempa za uso.
Kakutana na Bwana Pepsi!!
 
Back
Top Bottom