TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Yako ikoje?Huyo Mkumbo sura yake tu inaonekana ni mnafiki asiye na aibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yako ikoje?Huyo Mkumbo sura yake tu inaonekana ni mnafiki asiye na aibu
Una uhakika huyo ex wako siyo huyo mmama?!Wazanzibar nawapenda Sana nimemkumbuka EX_wangu yule dada alikua na upendo Sana na ongea yake Kama huyu mmama 😊😊😊😊
Hakuna aliyebisha haya usemayo. Cha muhimu kafokewa haya nenda ukalie nae.Ila watu mnapakwa mafuta kwa mgingo wa chupa,all politicians reporting to national security in one way or another wote ni usalama wa nchi and wengine ni double agent km mzee wa msoga and rostam how ni mifano tu,huyo kitila mnamuona bwege but behind a scene anafanya kazi zake vzr tu
Atasema Suspense A/c....teh teh.Kihasibu hii inaitwaje OKW BOBAN SUNZU
Uchawa umezidi.Huyo Mkumbo sura yake tu inaonekana ni mnafiki asiye na aibu
KabisaDuh
Kama jambo hulijui kaa kimya 😂😂
YeahDadeki inatakiwa kwenda hivi. Tupunguze unafiki
Safi sanaKafanya makusudi kujifanya amesahau jina.
Kalale wacha shobo huna unalojua wa znz ni watu akili sn km huelewHao midebwedo? Kitila ana haja gani kukajua hako kawilaya. Wazanzibari hawanaga akili siku zote wanawaza m-Oman arudi ndio ndugu yao
SahihiWabongo ni wabinafsi! Ila kwa Wazanzibari ni Zanzibar yao kwanza.
Acha porojo. Kikatiba kila mtanzania ni usalama wa Taifa.Ila watu mnapakwa mafuta kwa mgingo wa chupa,all politicians reporting to national security in one way or another wote ni usalama wa nchi and wengine ni double agent km mzee wa msoga and rostam how ni mifano tu,huyo kitila mnamuona bwege but behind a scene anafanya kazi zake vzr tu
Huyu jamaa mchumia tumbo chaws mkubwaMwanasiasa ukishapoteza identity yako utahangaika sana
Kitila nilimdharau sana alipotetea waarabu wauziwe bandari
Ningekuwa kitela makumba mimi ningempiga vibaya sana huyu mama. Inakuwaje huyo mama hamjui waziri makumbo ambaye ajulikana sana bara kote kwa uchawa?Huyo Mkumbo sura yake tu inaonekana ni mnafiki asiye na aibu
Sijui katika tumboMtikila Mkumbo 😀
Eti hamjui mtu aliyetetea DP W. ametoka ACT kwa maalim seif dharau kunwa sana hiziNingekuwa kitela makumba mimi ningempiga vibaya sana huyu mama. Inakuwaje huyo mama hamjui waziri makumbo ambaye ajulikana sana bara kote kwa uchawa?
😅🤣Inakuwaje huyo mama hamjui waziri makumbo ambaye ajulikana sana bara kote kwa uchawa?
Kakutana na Bwana Pepsi!!Sijaona alichosema Kitila Mkumbo, lakini ana kawaida ya kuwa "spin doctor". Mtu wa kubadili maneno juu kuita chini na chini kuita juu kwa ustadi mkubwa.
Sasa, naona kakutana na wenyewe wanaojua visiwa vyao kajaribu kuwafundisha kuhusu haki zao wamempa za uso.
Anafikria bado yupo kwenye kumpamba samia bila kujua watu wapo serousSafi sana! Mkumbo uso umemshuka shuu!