johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Magufuli mlitaka mumuone Magomenj? ππππHuyu mama pia haujiui uislam.. eti amesikia misikitini akaamini kabisa... hajui Taqiyya ndio uislam haswa... kadanganywa msikitini akaingia cha kiume...
Nimecheka kusikia Mtumo wa Mtikila... π
Mtikila Mkumbo πMother inaonekana hata kitila.hamjui
Wa Zanzibar Huwa hawana na bara ukiwakuta kule hata uwaulize mtaani Spika wa bunge la Tanzania nani Hawamjui nilicheka sana niliuliza Wazanzibari 10 Hawamjui sembuse MkumboMother inaonekana hata kitila.hamjui
Professor ukiwa darasani huko kwenye vitivo tuige wa marekani vyeo vya Profesa ,Doctor,Engineer nk vinatumika tu mtu akiwa eneo linahusika na hiyo fani Sio uko kwenye Ngoma ya mdumange au kigodoro, mdundiko au kitcheni party au Ngoma ya kibati unataka uitwe Profesa Fulani au Doctor Fulani au Engineer Fulani huyo mama Yuko sahihi pale hapakuwa kitivo Cha Chuo kikuu Hadi amwite ProffessiorJamaa anasisitiza Profesa... Anadhani Maza ataogopa.
Safi sana hii.
Wazanzibar wengi ni wazuri wa kujenga, hoja huku wakitumia kiswahili kwa ufasaha. Hilo jambo nimeliona sana kutoka kwao. Shida Yao ni kuamini hata matapeli hasa wanaokuja kwa mgongo wa dini ya kiisilamu, wakidhani hao matapeli wanaogopa dini.MAma ana akili sana anajua kujenga hoja zake
Nafuu iliyopo ni kwamba kwa Tanzania..Tanganyika
Saa ya Ukombozi ni Sasa πππ₯
Ndio hamjui na Kitila huwa anajikuta sana na elimu yake uchwara!Mother inaonekana hata kitila.hamjui
Huyu Mwanamke Mbona kama Shangingi sana. Yeye anataka iweje
Wabongo ni wabinafsi! Ila kwa Wazanzibari ni Zanzibar yao kwanza.Mama hana baya,wabongo tumekwamia wapi,Chato au Dodoma?
yap Zanzibar kwanza,ndio hulka ya wazenji.Wabongo ni wabinafsi! Ila kwa Wazanzibari ni Zanzibar yao kwanza.
Nengla ndangla ndani ya tumbo ee.Kihasibu hii inaitwaje OKW BOBAN SUNZU