Kitila Mkumbo ala za Uso zanzibar aambiwa akae kimya kwa kuwa haijui

Hakuna aliyebisha haya usemayo. Cha muhimu kafokewa haya nenda ukalie nae.
 
Hao midebwedo? Kitila ana haja gani kukajua hako kawilaya. Wazanzibari hawanaga akili siku zote wanawaza m-Oman arudi ndio ndugu yao
Kalale wacha shobo huna unalojua wa znz ni watu akili sn km huelew

waaminifu kimahusiano, kiitikadi kwa chama wanacho amini,kiimani hawayumbi,wapole ,hawana majisifu wala kujipendekeza kwa mtu hata awe staa namna gn,na ndio mana popote afikapo akijulikn mznz heshima yk inakua kubwa zaid kuliko.......? Km hujui uliza ujue
 
Acha porojo. Kikatiba kila mtanzania ni usalama wa Taifa.
 
Ningekuwa kitela makumba mimi ningempiga vibaya sana huyu mama. Inakuwaje huyo mama hamjui waziri makumbo ambaye ajulikana sana bara kote kwa uchawa?
Eti hamjui mtu aliyetetea DP W. ametoka ACT kwa maalim seif dharau kunwa sana hizi
 
Kakutana na Bwana Pepsi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…