Kitila Mkumbo ala za Uso zanzibar aambiwa akae kimya kwa kuwa haijui

Kitila Mkumbo ala za Uso zanzibar aambiwa akae kimya kwa kuwa haijui

Professor ukiwa darasani tuige wa marekani vyeo vya Profesa ,Doctor,Engineer nk vinatumika tu mtu akiwa eneo linahusika na hiyo fani Sio uko kwenye Ngoma ya mdundiko au kitcheni party unataka uitwe Profesa Fulani au Doctor Fulani au Engineer Fulani huyo mama Yuko sahihi pale hapakuwa kitivo Cha Chuo kikuu

ni ushamba tu kwa kweli
 
Wazanzibar hawana unafiki nyeupe ni nyeupe lakini wabara unafiki,uchawa na uchawi.
Mzànzibari kitu akiwa nacho moyoni na mdomoni hukitoa Hivyo Hivyo kilivyo moyoni

Bara anachoongea mdomoni tofauti na kilichoko moyoni.Aweza kikusifia mtu wa bara mdomoni huku.moyoni kwake anakuporomishea matusi ya nguoni.Wazanzibari mdomo na moyo vina mawasiliano ya pamoja upande wa bara mdomo na moyo havina mawasiliano ya pamoja
 
Yaani huyu mama amenifuahisha saaana ni hatareee saaana msomi kama kitila, kabudi na mollel kugeuka chawa nchi inakuwa rehani inadumaa ndo umasikini wetu unaanzia hapo hivi kitilaa hawezi kufanya kaxi nyingine mpaka awe chawaaaa.
 
Back
Top Bottom