Kuna makamanda watajifanya hata hawakumbuki hiloHivi hii ya kura ya wazi si ndio machadema walikuwa wanawacheka na kuwazodoa ccm?
Hii chama kimekuwa cha kihuni sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna makamanda watajifanya hata hawakumbuki hiloHivi hii ya kura ya wazi si ndio machadema walikuwa wanawacheka na kuwazodoa ccm?
Hii chama kimekuwa cha kihuni sana
Huyu anatafuta uteuzi kelele sana saivMbunge wa Ubungo Kitila Mkumbo amekosoa hatua ya CHADEMA ya kuwafukuza wabunge 19 wa viti maalumu walioteuliwa kwa tiketi ya chama hiko.
Amesema "Inaogopesha kuona njia pekee ya CHADEMA kutatua migogoro ya ndani ni kufukuzana. Duniani kote vyama vya upinzani vinaongoza kuwa na utamaduni wa kuvumiliana,kama Chadema wanatumia mabavu kiasi hiki kwa akina Halima Mdee wakiwa hawana dola, siku wakipewa dola itakuwaje"
Kuhusu kura ya wazi, Kitila amesema "Kura ya wazi/hadharani kwenye Demokrasia sio nzuri, na sio sahihi kwa chama kinachopigania Demokrasia hasa chama cha upinzani kama CHADEMA, ni kura inayokulazimisha mtu ufanye maamuzi ya "Group Thinking" Prof. Kitila Mkumbo
Ndivyo ilivyo. Wabunge pia wanatakiwa kupimwa kwa rekodi ya upigaji kura wao kwenye miswada na maazimio ya bunge. Rekodi hiyo inatakiwa kuwa wazi ili msimamo wa kila mbunge ujulikane. Uchaguzi wa viongozi na wawakilishi ni suala lingine...wangepiga kura ya siri wangesema imechakachuliwa.
..Naibu Katibu Mkuu Kigaila ametolea ufafanuzi kura ya wazi.
..amesema kunapokuwa na suala la uchaguzi, unamchagua Jpm au Ssh, ndipo inapigwa kura ya siri.
..kunapokuwa na suala la uamuzi, kwa mfano unaunga mkono bajeti au la, inapigwa kura ya wazi.
..hivyo ndivyo Naibu Katibu Mkuu Kigaila alivyofafanua.
Kule bungeni huwa wanapiga kura za namna gani, pale wanapoitwa jina la mbunge mmoja mmoja?Mbunge wa Ubungo Kitila Mkumbo amekosoa hatua ya CHADEMA ya kuwafukuza wabunge 19 wa viti maalumu walioteuliwa kwa tiketi ya chama hiko.
Amesema "Inaogopesha kuona njia pekee ya CHADEMA kutatua migogoro ya ndani ni kufukuzana. Duniani kote vyama vya upinzani vinaongoza kuwa na utamaduni wa kuvumiliana,kama Chadema wanatumia mabavu kiasi hiki kwa akina Halima Mdee wakiwa hawana dola, siku wakipewa dola itakuwaje"
Kuhusu kura ya wazi, Kitila amesema "Kura ya wazi/hadharani kwenye Demokrasia sio nzuri, na sio sahihi kwa chama kinachopigania Demokrasia hasa chama cha upinzani kama CHADEMA, ni kura inayokulazimisha mtu ufanye maamuzi ya "Group Thinking" Prof. Kitila Mkumbo
Kufoji na kupeleka nec kivipi?Vp na saini ya mnyika nayo ilipatikaje?Anazungumziaje swala la kushutumiwa kufoji majina kuyapeleka NEC? mnaohoji hawa watu mnawaogopa?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna kosa la kuvumiliana lakini sio hili.
Tena hawa mbona adhabu yao imekuwa ndogo tu, amesahau marehemu alitufundisha adhabu ya msaliti ni nini?
Hawezi kuzungumzia forgery iliyofanywa na wanaccm/waliotumwa na CCM,akifanya hivyo kwa uwazi/ukweli naye lazima afukuzwe huko CCM.Mkuki kwa nguruwe...Anazungumziaje swala la kushutumiwa kufoji majina kuyapeleka NEC? mnaohoji hawa watu mnawaogopa?
Kitila Mkumbo hana moral authority ya kuikosoa Chadema Mbona alikaa kimya bwana wake alipowafukuza wakina Membe?Mbunge wa Ubungo Kitila Mkumbo amekosoa hatua ya CHADEMA ya kuwafukuza wabunge 19 wa viti maalumu walioteuliwa kwa tiketi ya chama hiko.
Amesema "Inaogopesha kuona njia pekee ya CHADEMA kutatua migogoro ya ndani ni kufukuzana. Duniani kote vyama vya upinzani vinaongoza kuwa na utamaduni wa kuvumiliana,kama Chadema wanatumia mabavu kiasi hiki kwa akina Halima Mdee wakiwa hawana dola, siku wakipewa dola itakuwaje"
Kuhusu kura ya wazi, Kitila amesema "Kura ya wazi/hadharani kwenye Demokrasia sio nzuri, na sio sahihi kwa chama kinachopigania Demokrasia hasa chama cha upinzani kama CHADEMA, ni kura inayokulazimisha mtu ufanye maamuzi ya "Group Thinking" Prof. Kitila Mkumbo
Unaamini kwa dhati kuwa ndivyo ilivyokuwa?Shauri limepelekwa mahakamani na maamuzi ya huko yatazingatia uhalisia na hivyo in vema kusubiri.Japokuwa inawezekana wakakawia lakini tutayafahamu.Hofu yangu in gharama,muda,na mwisho wanaweza kuweka mpira kwapani kama ilivyokuwa kwenye shauri la Mwenyekiti Mbowe.Kufoji na kupeleka nec kivipi?Vp na saini ya mnyika nayo ilipatikaje?
Nafikiri ungesema anatuhumiwa kupeleka majina nec bila ruhusa.
Na kama majina yalipaswa kupelekwa nec,tatizo lao hasa lipi?
Mdee analalamika mwenyekiti alikuwa anampango wakukiuka utaratibu kwakupeleka majina yake mfukoni,hili linatazamwaje?
Hivi kumbe wanasemaga WANAOAFIKI?Angeanza na zile kura za wazi bungeni,wanaoafiki waseme Ndiyoooo!