Kitimoto is overrated haina utofauti wala utamu kuliko nyama zingine..

KITIMOTO KILA KTU KINAKAANGWA,nyie mlibugi ndo maana ilikuwa hivo
 
huyo mipishi ndo tatizo mkuu sio wewe, tafuta hotel moja wanao kaanga wa ku kaangie uone moto wake
 
Nyama tamu sana kwa Rank;-

1. Turkey(Classic Meat)(Wet frying)

2. Pork(Second Best)(Barberque ama Wet Frying). Ikiwa ni BBQ inalingana na Turkey kwa ranki.
3. Octopus
4. Duck(BBQ)
5. Chicken(BBQ)
6. Cattle/Goat.(kwa taste Hazina tofauti ya kupigiwa mstari)
7. Sheep
 
Acha kabisa hyo nyama mzee nan .... Ndio nyama tamu kati ya zote nilizowah kula ... Lakini supu yake sijawai kunywa ... Ila hyo nyama ukiichoma,ukiikaanga au ukipka roast yote ni balaa tupu
 
Dah, njoo Nakupeleka pale Madoto Kigogo, Yule Mzee anapika kwa order Yaani kama Hujaweka order yako usitie Mguu, order inatolewa week before...
Aisee watu mna maneno..
 
Nitakujulisha tu,i hope utakuja kufungulia uzi wa kuisifia nyama hii adimu hahahah
Unichinjie na hako kambuzi nyuma yako ili ikinishinda nipifie hako.. πŸ™πŸ™ πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Unichinjie na hako kambuzi nyuma yako ili ikinishinda nipifie hako.. πŸ™πŸ™ πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
ha ha ha aisee we mgeni utakua mtata,eniwei nitajaribu kufikiria juu ya hilo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…