Mimi hawataniweza nitawashindilia vyuma hataaminuHuijuhi zenj wewe! Fika kipindi cha mfungo wa ramadhani, uone balaa, nunua maji harafu uyanywe hadharani, utaomba Mungu aitoe roho yako!unaweza ukashambuliwa hata na mapanga,
Kipindi cha mfungo, hata boti za kwenda zenj, haziuzi vinywaji, ndani,cafeteria zinafungwa! Kama vile wote waliopanda ni islam! Hapo uvumilivu upo wapi!
Ukiwa, kule unajengewa mazingira huwezi kula, na, uone vibaya kula
Kwa sababu hiyo basi, watumiaji wawe na kiasi. Wasiile kila sikuKoti Moto ina vitamin A nyingi kuliko mayai ya kienyeji.
Na ndio maana ukila kitimoto shavu linakutoka kirahisi
πMbona ndio wateja wetu hao
π€£π€£π€£Yaani kumzuia Mfalme nguruwe zanzibari ni kama kujaribu kuzuia mafuriko ya maji Hanang
Ahsante sana Wazanzibari
Hata kama utaishia kula "finyango" moja tu, bado itahesabiwa umeila.Ila ukibanwa na njaa ya kufa MTU, kula kitimoto Ila usishibe
πKitimoto ipo tokea zamani , miaka ya 70 bibi yangu alikuwa anafuga kabisa na kuuza maeneo ya kule mtoni alikuwa na shamba lake.
ieleweke kuwa "Dini itabaki kuwa dini , Na Mboga Itabaki kuwa Mboga"
Hakuna Haramu Chungu, Siku zote haramu ni tamu sana.
Najua kinakopatikana. Kwa Bi Janeth.
β πAcha wavumilianee siku Isonge nchi yetu sote
Hata Zenji wanahitaji vitu vitamu broWameonesha kwa vitendo kuwa japo wao (wengi wao) hawaitumii kitimoto, wanaheshimu Imani za wengine. Ndiyo maana hawajaweka ukwazo kwa wanaohitaji hiyo mboga. Huo ni ustaarabu wa hali ya juu!!!
π€£π€£π€£Hata Zenji wanahitaji vitu vitamu bro
Uwongo.Wajukuu wa mtume wengi wanakitafuna Vizuri tu,kwa raha zao.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji736][emoji120][emoji120][emoji120]
NB. Kama kuna Wazenji wanaotumia hicho kitoweo, watakuwa wachache sana. Watumiaji wengi ni "wa kuja"
π€«Uwongo.Wajukuu wa mtume wengi wanakitafuna Vizuri tu,kwa raha zao.
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Alafu Zanzibar sio nchi,ni sehemu ya Tanzania na Tanzania sio nchi ya kiislamuKitimoto inaliwa saudia kwenye chimbuko,sembuse hapo zenji kwa wamanyema.