Kitimoto kupatikana Zanzibar ni ishara ya uvumulivu

Mimi hawataniweza nitawashindilia vyuma hataaminu
 
Kitimoto ipo tokea zamani , miaka ya 70 bibi yangu alikuwa anafuga kabisa na kuuza maeneo ya kule mtoni alikuwa na shamba lake.

ieleweke kuwa "Dini itabaki kuwa dini , Na Mboga Itabaki kuwa Mboga"

Hakuna Haramu Chungu, Siku zote haramu ni tamu sana.
 
Ngoja ifike Ramadhani uone
Kwanza umechoma chimbo tayari
 
πŸ˜€
 
Hata Zenji wanahitaji vitu vitamu bro
🀣🀣🀣

βœ…πŸ™πŸ™πŸ™

NB. Kama kuna Wazenji wanaotumia hicho kitoweo, watakuwa wachache sana. Watumiaji wengi ni "wa kuja"
 
Zanzibar ni sehemu ya Tanzania,na Tanzania sio nchi ya kiislamu,hivyo ni ruksa popote kitimoto kuliwa, Tanzania ni nchi isiyofuata misingi ya dini yoyote Ktk uongozi
 
Kinawateja wengi huko ndio maana kinauzwa.
 
KWAMBA UWEPO WA UISLAMU, HAINA MAANA YA UWEPO WA WATU SAFI.
MSIJITOE AKILI, NI HUKO HUKO KWENYE UISLAMU NDIO HUKO HUKO KWENYE USHOGA NA UFIRA.JI KWA WANAWAKE.

KWAMBA UWEPO WA MASHARTI MAKALI YA DINI HAINA MAANA NI UWEPO WA SAFI HUKO VISIWANI.
VYEMA TUKIANZA KUWAPIGA VITA WATU WACHAFU KISHA TUHAMIE KWENYE WANAYAMA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…