Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Umechokoza nyukiKatika jamii iliyostaarabika kwanini tusiheshimu Imani za wengine? Mabucha holela kila sehemu. Why?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umechokoza nyukiKatika jamii iliyostaarabika kwanini tusiheshimu Imani za wengine? Mabucha holela kila sehemu. Why?
Ustaarabu ni nini kijanaa?Inasikitisha Karne ya 21 bado hatuna ustaarabu. Kwann?
Mtu ana harufu gani bibie?Kuna siku nguruwe wa jirani alikuwa anaruka bandani akakatika matiti, nguruwe mlaini sana.
tukaenda kumchinja, asee ile kukwarua ukoko wa ngozi inatoka harufu kama ya mtu.
Nilipewa nyama lakini sikuweza kuila.
Wallah Wabillah...!!!Sema waallah tena!!
Ana akili ndogoPombe zinauzwa kiholela.....
Condom zinauzwa kiholela....
Sigara zinauzwa kiholela.....
Bar zipo kiholela......
Casino zipo kiholela....
Kamari, Bahati nasibu, Betting zipo kiholela...
Kumbi za muziki na Disko zipo kiholela...
Vitu vyote hivyo ni haramu katika uislamu na kwenye dini zingine, pia haviruhusiwi umri chini ya miaka 18, lakini mleta mada havioni kama ni shida, yeye ameona shida ni nyama ya kitimoto kuuzwa kiholela wakati ni kitoweo cha kawaida kwenye familia nyingi, na anaweza kununua na kula hata mtoto mdogo.
Hilo duka lipo kwenye ukuta wa Msikiti? Au ukuta wa nyumba ya Sheikh?Katika jamii iliyostaarabika kwanini tusiheshimu Imani za wengine? Mabucha holela kila sehemu. Why?
Hili andiko ni noma sana.Lazima tuifuate dini sheikh, na siku zote asiyefuata dini ni muovu...
Sahih bukhari 1246
"I have been commanded to fight against people till they testify that there is no god but Allah, that Muhammad is the messenger of Allah, and they establish prayer, and pay Zakat."
Mi sio bibie mnama.Mtu ana harufu gani bibie?
Nadhani na wewe ungeheshimu imani ya wengine. Sijaona maduka maalum ya kuuza sigara au condom. Duka linalouz sigara ndo hilo hilo linauza na unga.Katika jamii iliyostaarabika kwanini tusiheshimu Imani za wengine? Mabucha holela kila sehemu. Why?
Dini, ujinga!! Sijui ni kwa nini! Ila baadhi ya wafuasi wa Mudi mna akili fupi sana. Cha kushangaza kuna wenzako wa imani kama yako, wanajitambua kweli! Full ustaarabu!! Na wamekuwa na uvumilivu wa hali ya juu kwa watu wa imani tofauti!Lazima tuifuate dini sheikh, na siku zote asiyefuata dini ni muovu...
Sahih bukhari 1246
"I have been commanded to fight against people till they testify that there is no god but Allah, that Muhammad is the messenger of Allah, and they establish prayer, and pay Zakat."
Hao ni makafir, usitolee mifano ya makafir wanaokiuka maagizo ya Allah.Dini, ujinga!! Sijui ni kwa nini! Ila baadhi ya wafuasi wa Mudi mna akili fupi sana. Cha kushangaza kuna wenzako wa imani kama yako, wanajitambua kweli! Full ustaarabu!! Na wamekuwa na uvumilivu wa hali ya juu kwa watu wa imani tofauti!
Ila nyinyi mbuzi wachache, ndiyo kila siku mnatafuta tu chokochoko za kidini.
Wewe ni kati ya wale Waislam waovu! Nina marafiki zangu wengi waislam, ila hawana akili na mtazamo kama huu wa kwako.Hao ni makafir, usitolee mifano ya makafir wanaokiuka maagizo ya Allah.
Quran inasema 5:51
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu
Hao marafiki zako sio waislam. Labda waislam jina wala nguruwe, astaghfirullahWewe ni kati ya wale Waislam waovu! Nina marafiki zangu wengi waislam, ila hawana akili na mtazamo kama huu wa kwako.
Kuna watu wana upuuzi kichwani acha tu ....Hahahaaaaaaa mzee umeua jogoo lako unapangiwa mchinjaji
Wewe unatakiwa kuchangiwa tu nauli ili ukajiunge na wale ndugu zako wa Cabo Delgado kule Msumbiji, Al Shabaab, Boko Haram!Hao marafiki zako sio waislam. Labda waislam jina wala nguruwe, astaghfirullah
Wewe huoni kitendo cha wao kuwa na urafiki na wewe wamekiuka maagizo ya Quran hapo juu?