Kitimoto kuuzwa holela si ustaarabu!

Kitimoto kuuzwa holela si ustaarabu!

Kuna siku nguruwe wa jirani alikuwa anaruka bandani akakatika matiti, nguruwe mlaini sana.
tukaenda kumchinja, asee ile kukwarua ukoko wa ngozi inatoka harufu kama ya mtu.

Nilipewa nyama lakini sikuweza kuila.
Utakuwa na jini subian
 
Walikujaga wageni kutoka bush huko na dini yao,kuwa kata stimu nika chinja mbuzi mimi mwenyewe,eti wakasusa kula kisa nimechinja mimi asee,niliwanyoosha,nikarost na kuchoma nikaagjza na cret la bia wakasusa nakutaka kusepa,nauli hawana walivumilia mpaka shangwe lilipo isha siku ya pili,baadae nikawaambia acheni upumbavu ukija kwangu usilete masharti yako pia muwe wavumilivu na imani za wengine ,mpaka leo nasemwa vibaya sana bush
Ulifeli mkuu....huna tolerance kabisa
Akija kichaa nyumbani kwako wewe mkaribishe na umfurahishe ili usimkwaze.
Ndio ujamaa huo.
 
Huo ni upimbi uje kwangu ulete sheria kwamba ww ndo sijui una haki ya kuchinja kuna siku alikuja mjomba wangu nikaona subiri nichinje jogoo si alipo jua akaanza kuuliza nani kachinja nilimwambia peleka upimbi wa baba yako huko kwenu km hutaki kula acha na kamweleze dada kabisa na mmewe kua jomba kauzu.
Hahahaaaaaaa mzee umeua jogoo lako unapangiwa mchinjaji
 
Mungu alipoumba Dunia, ilimpendeza kuwaweka binadamu na wanyama na wadudu wakae 'pamoja'.
Kama Dunia ni 'zizi' la Maulana, basi, ndo ivo alituweka wote tukae kwenye zizi moja.
Huyo mnyama mmoja, asikupe taabu. Ulimkuta Duniani, utaondoka, utamuacha.
Amle ili kuneemesha mwili wake pia
 
mleta mada unakasirika kisa ww huli ulitaka hiyo nyama ikauzwe chumbani.
kuheshimu imani za watu kutaleta hela mfukoni usiwe zwazwa wavaa kobasi ndo waache shobo na mnyama wetu pendwa.
Unapolalamika mabucha kila kona mbona wapo madocta wa mifugo alaf ni waislamu na wanahudumia mifugo yetu kama kawa mixer kuichoma sindano kuizalisha ww mshamba usie na elimu ya dini unahisi wenzako wako kama ww utakufa na umaskini ulionao akilini
 
Mungu alipoumba Dunia, ilimpendeza kuwaweka binadamu na wanyama na wadudu wakae 'pamoja'.
Kama Dunia ni 'zizi' la Maulana, basi, ndo ivo alituweka wote tukae kwenye zizi moja.
Huyo mnyama mmoja, asikupe taabu. Ulimkuta Duniani, utaondoka, utamuacha.
tena utakuta hata huyo mnyama anakula vizur zaidi ya mleta mada na ana thamani kuliko mleta mada. yaan nikimpima mleta mada na large white au duroc mmoja dah mleta mada kaachwa mbali sana
 
Hiyo kwenye picha ni ng'ombe unless picha haimaanishi unachokisema BTW Nyie watoto wa Mnyazi ndio hasa huwa hamheshimu dini za wenzenu saa 11 alfajiri mnatuimbia kiarabu sisi wapagani tulio na hangover za beer mnatukata stimu bwana
tena hyo asubuh wanamaneno ya kipumbavu eti amkeni amkeni wais........m waote kitanda chako nduo kitakua machela yako shuka lako litakua sanda yako yaan wananikataga stimu kama wametumwa vile kelele kila mda matangazo ya ibada kutupigia kelele tu
 
Huo ni upimbi uje kwangu ulete sheria kwamba ww ndo sijui una haki ya kuchinja kuna siku alikuja mjomba wangu nikaona subiri nichinje jogoo si alipo jua akaanza kuuliza nani kachinja nilimwambia peleka upimbi wa baba yako huko kwenu km hutaki kula acha na kamweleze dada kabisa na mmewe kua jomba kauzu.
Hahahahahaha
 
Kwahiyo mtume wenu akikataliwa mnachinja!!!???? Tukisema hamna akili bado mnabisha tu? Huyo mtume wa kulazimishana huoni kama ana shida mahali?
Lazima tuifuate dini sheikh, na siku zote asiyefuata dini ni muovu...
Sahih bukhari 1246
"I have been commanded to fight against people till they testify that there is no god but Allah, that Muhammad is the messenger of Allah, and they establish prayer, and pay Zakat."
 
Kuna siku nguruwe wa jirani alikuwa anaruka bandani akakatika matiti, nguruwe mlaini sana.
tukaenda kumchinja, asee ile kukwarua ukoko wa ngozi inatoka harufu kama ya mtu.

Nilipewa nyama lakini sikuweza kuila.
unatuchanganya mkuu.
kwamba umewahi kula mtu harufu yake ikoje
 
Lazima tuifuate dini sheikh, na siku zote asiyefuata dini ni muovu...
Sahih bukhari 1246
"I have been commanded to fight against people till they testify that there is no god but Allah, that Muhammad is the messenger of Allah, and they establish prayer, and pay Zakat."
Tukisema ni dini ya mashetani mnakasirika nini sasa!!??? Sawa, we endelea kuifata dini acha sisi tuifate pesa then tutakutana kwenye majukumu.
 
Back
Top Bottom