Kiongozi Miongoni
Senior Member
- Feb 6, 2021
- 196
- 256
Kuna kampuni moja inapeleka nyama ya Kitimoto nchini Qatar Arabia na Oman sijui wanamuuziaga nani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kidogo ningekuelewa kama ungechukizwa na mabango ya namna hiiSema wote tunamkula huyu jamaa , aibu tu na UNAFIKI flani ila wote tunamgongaView attachment 2396511
Nimecheka sana hii mkuu 🤣Kuna Imani zingine za kipumbavu sana.
Yaani wakifunga TV zote kazi kutangaza funga yao, wataomba vyakula vipunguzwe bei, watu wasile kwa uhuru mchana.
Kitimoto haiuzwi chumbani mwako, haiuzwi uani mwako, haiuzwi kwenye ofisi za umma, haiuzwi kwenye maduka yenye bidhaa mchanganyiko.
Yet mnataka tuuziane chumbani kwetu
Hivi mna matatizo gani enyi wanafiki?
Aisee huu uzi huu nacheka mpaka basi 🤣🤣😂😂Wahindi waabudu ng'ombe nao walalamike kwann nyumba za kuuza nyama ya mungu wao zimezagaa.
[emoji28][emoji28]Mbona tende zinauzwa holele tu hauulizi?
Hii nchi yetu ina vituko sana.Aisee huu uzi huu nacheka mpaka basi 🤣🤣😂😂
Sijaona shida Iko wapiKidogo ningekuelewa kama ungechukizwa na mabango ya namna hii
Tungeanza na yale yaliyojiri Pemba tarehe 9 au 10 October mwaka huu kwakuwa sisi sote ni familia moja tofauti ni vile tu wengine wamezaliwa na mke mkubwa wengine mke mdogoKatika jamii iliyostaarabika kwanini tusiheshimu Imani za wengine? Mabucha holela kila sehemu. Why?
Hawa jamaa dini imewashinda kwakuwa dini yao imewapa mzigo sana.Nimecheka sana hii mkuu 🤣
🤣
Hii nchi Haina diniKatika jamii iliyostaarabika kwanini tusiheshimu Imani za wengine? Mabucha holela kila sehemu. Why?
We mtumwa wa sultani una shida Sana. Wenzio wanakula sana hiyo kitu na ndio wateja wakuu.Katika jamii iliyostaarabika kwanini tusiheshimu Imani za wengine? Mabucha holela kila sehemu. Why?
Huo ni upimbi uje kwangu ulete sheria kwamba ww ndo sijui una haki ya kuchinja kuna siku alikuja mjomba wangu nikaona subiri nichinje jogoo si alipo jua akaanza kuuliza nani kachinja nilimwambia peleka upimbi wa baba yako huko kwenu km hutaki kula acha na kamweleze dada kabisa na mmewe kua jomba kauzu.Walikujaga wageni kutoka bush huko na dini yao,kuwa kata stimu nika chinja mbuzi mimi mwenyewe,eti wakasusa kula kisa nimechinja mimi asee,niliwanyoosha,nikarost na kuchoma nikaagjza na cret la bia wakasusa nakutaka kusepa,nauli hawana walivumilia mpaka shangwe lilipo isha siku ya pili,baadae nikawaambia acheni upumbavu ukija kwangu usilete masharti yako pia muwe wavumilivu na imani za wengine ,mpaka leo nasemwa vibaya sana bush