Kitimoto kuuzwa holela si ustaarabu!

Nchi yetu haina dini wala kabila ndio maana unaona mpaka sasa sisi watanzania hatuulizanagi hayo masuala "ety iv wewe ni dini gani au kabila gani" hatujafundishwa hivo acha watu watafute riziki zao kwa huyo mnyama
 
Ana akili ndogo
 
Hili andiko ni noma sana.
Magaidi wa dini ya haki wanalitumia sana hili andiko.

Wakikudaka bora ujitambulishe kama usiye na dini au wa dini nyingine.

Ukijitambulisha kama Mkristu au Yahudi hawakuachi.

Kinachofuata ni kisu cha shingo tu, walisha agizwa katika sura ya akinamama.


Surah Al-Maidat: Ayah 51

۞يَٰٓأَيُّهَا ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ لَا تَتَّخِذُواْ ٱلۡيَهُودَ وَٱلنَّصَٰرَىٰٓ أَوۡلِيَآءَۘ بَعۡضُهُمۡ أَوۡلِيَآءُ بَعۡضٖۚ وَمَن يَتَوَلَّهُم مِّنكُمۡ فَإِنَّهُۥ مِنۡهُمۡۗ إِنَّ ٱللَّهَ لَا يَهۡدِي ٱلۡقَوۡمَ ٱلظَّٰلِمِينَ
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu
 
Katika jamii iliyostaarabika kwanini tusiheshimu Imani za wengine? Mabucha holela kila sehemu. Why?

Nadhani na wewe ungeheshimu imani ya wengine. Sijaona maduka maalum ya kuuza sigara au condom. Duka linalouz sigara ndo hilo hilo linauza na unga.

Nikienda dukani nanunua Unga naachana na sigara sababu hainihusu. Linalouza condom ndo hilo hilo linauza panadol..nikienda dukani nanunua panadol sihangaiki na condom. TUACHENI UNAFIQ. HAUTUSAIDII.
 
Dini, ujinga!! Sijui ni kwa nini! Ila baadhi ya wafuasi wa Mudi mna akili fupi sana. Cha kushangaza kuna wenzako wa imani kama yako, wanajitambua kweli! Full ustaarabu!! Na wamekuwa na uvumilivu wa hali ya juu kwa watu wa imani tofauti!

Ila nyinyi mbuzi wachache, ndiyo kila siku mnatafuta tu chokochoko za kidini.
 
Hao ni makafir, usitolee mifano ya makafir wanaokiuka maagizo ya Allah.
Quran inasema 5:51
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu
 
Wewe ni kati ya wale Waislam waovu! Nina marafiki zangu wengi waislam, ila hawana akili na mtazamo kama huu wa kwako.
 
Wewe ni kati ya wale Waislam waovu! Nina marafiki zangu wengi waislam, ila hawana akili na mtazamo kama huu wa kwako.
Hao marafiki zako sio waislam. Labda waislam jina wala nguruwe, astaghfirullah

Wewe huoni kitendo cha wao kuwa na urafiki na wewe wamekiuka maagizo ya Quran hapo juu?
 
Hao marafiki zako sio waislam. Labda waislam jina wala nguruwe, astaghfirullah

Wewe huoni kitendo cha wao kuwa na urafiki na wewe wamekiuka maagizo ya Quran hapo juu?
Wewe unatakiwa kuchangiwa tu nauli ili ukajiunge na wale ndugu zako wa Cabo Delgado kule Msumbiji, Al Shabaab, Boko Haram!

Akili yako imeshavurugwa na dini yako ya Mnyaazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…