Kitimoto kuuzwa holela si ustaarabu!

Kitimoto kuuzwa holela si ustaarabu!

KWAMBA KUMUANGALIA NI HARAMU AU? KINACHOKUTESA NINI HASA. KUNA WANYAMA WENGI HAWALIWI NA BAADHI YA WATU LAKINI TUNAWATAFUTA KWENDA KUWAONA. USIKALILI DINI UNAJITESA NAFSI YAKO BURE
 
Wewe unatakiwa kuchangiwa tu nauli ili ukajiunge na wale ndugu zako wa Cabo Delgado kule Msumbiji, Al Shabaab, Boko Haram!

Akili yako imeshavurugwa na dini yako ya Mnyaazi.
Mpende msipende laZima tuje tuwatawale, kama sio nyie hata wajukuu zenu.
 
Hao ni makafir, usitolee mifano ya makafir wanaokiuka maagizo ya Allah.
Quran inasema 5:51
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu
Duu !Kama unatafsiri hivyo, basi Quran imefeli kitambo, tuna marafiki wa aina zote, hadi kwenye biashara, jamii n.k.
 
Nyama iliyokatazw cyo kitimoto tu ila nyie nwaiona hyo tu afu dhambi cyo ktmoto tu
 
Katika jamii iliyostaarabika kwanini tusiheshimu Imani za wengine? Mabucha holela kila sehemu. Why?

Ngoma draw, hata huko visiwani hawaheshimu imani za wengine, misikiti kila kona na hawataki kuona kanisa. Kama hutumii tulia, mbona wanyama wasioliwa ni wengi lakini chuki kubwa iko kwa nguruwe ?! Kuna nini mtuweke wazi tujue. Mbona wachina wanakula nyoka, vinyonga, vyura, mende nk lakini mpo kimya ??!

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Katika jamii iliyostaarabika kwanini tusiheshimu Imani za wengine? Mabucha holela kila sehemu. Why?

Nadhani maandishi yanayosomeka WAKRISTO BUTCHER ndiyo tatizo. Wanafiki nyie, mbona dada zetu wanakula kitimoto na mnawala denda, au mbususu ya mla kitimoto ni halali kwenu ?!

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
🐷😍
FB_IMG_1663615896277.jpg
 
Ukisikia mtu anakataa kula chakula fulani ujue ni kwakuwa kuna vyakula tele.
Maeneo yote yenye njaa chochote kinaliwa.

Hata wezetu wameambiwa wakiwa na njaa wale Nguruwe bila shaka.

Mimi pia ninapo agiza kilo mbili za kurost za Kiti kitamu a.k.a. mbuzi mnene huwa nakuwa na njaa ya kufisha.

Nikishiba tayari, kuanzia pale Nguruwe ni haramu.
 
Hao marafiki zako sio waislam. Labda waislam jina wala nguruwe, astaghfirullah

Wewe huoni kitendo cha wao kuwa na urafiki na wewe wamekiuka maagizo ya Quran hapo juu?
Wewe ni Mwislamu kamili na unaijua Qurani vizuri.

Kutokana na Qurani Mwislamu hapaswi kabisa kuwa na rafiki Mkristo au Myahudi wala kuoa au kuolewa nao. Ni total enemy hata kama ni mtoto anaye zaliwa leo.
Tunaita natural enemy.

Ila ni ruksa kuwa na rafiki wa imani nyinginezo kama Rastafarians, Hinduists, Buthist nk.

Sababu halisi ya huu uadui mimi sielewi.
Ukipata muda Ustadh tuelimishe kidogo nini kilitokea hadi Aya hiyo inasema hivyo.
 

Ok.ok. test 1-2...

Wewe tena uliekua unalalamika kupanda bei[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 2398319
 
Ungekua unakemea wale mabinti pale Buguruni Kimboka au Sewa ningekuelewa maana pale Sewa hata muda huu saa Saba k zinauzwa nje nje.
 
Katika jamii iliyostaarabika kwanini tusiheshimu Imani za wengine? Mabucha holela kila sehemu. Why?

Ulitakiwa kusema,kwa mfano mtaa wa Jamhuri Dodoma, una Bucha za Nguruwe 15, na kuna wakazi tofauti tofauti.
Hapa umechukua picha moja, na kisha kuanzisha uzi. Ulicho tarajia utakipata.

*Ni aibu sana kusema Nguruwe ni haramu kwa kutumia kitabu cha Biblia badala ya kitabu chenu!Na hata kama ni kitabu chenu kimekataza, mimi hakinihusu.

*Yesu Kristo alivitakasa vyakula vyote vilivyozuiliwa kuliwa ktk torati.kwa sababu hakimwingii moyoni,ila tumboni tu; kisha chatoka kwenda chooni.(Hii kuelewa sio lazima umalize darasa la saba)
*Kufanya mapenzi kinyume ni kama suna kwenu.Lakini eti mko very serious sana hamtaki kula nyama ya nguruwe tu, ndiyo dhambi kabambe!

#MUNGU WAKO NI SHETANI WANGU
 
Back
Top Bottom