Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpende msipende laZima tuje tuwatawale, kama sio nyie hata wajukuu zenu.Wewe unatakiwa kuchangiwa tu nauli ili ukajiunge na wale ndugu zako wa Cabo Delgado kule Msumbiji, Al Shabaab, Boko Haram!
Akili yako imeshavurugwa na dini yako ya Mnyaazi.
Duu !Kama unatafsiri hivyo, basi Quran imefeli kitambo, tuna marafiki wa aina zote, hadi kwenye biashara, jamii n.k.Hao ni makafir, usitolee mifano ya makafir wanaokiuka maagizo ya Allah.
Quran inasema 5:51
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu
Kafir weweDuu !Kama unatafsiri hivyo, basi Quran imefeli kitambo, tuna marafiki wa aina zote, hadi kwenye biashara, jamii n.k.
Kaishi islamic state,hapa bongo utatukana mnoKafir wewe
Watoto wa madrasa naona mmeamka ,Katika jamii iliyostaarabika kwanini tusiheshimu Imani za wengine? Mabucha holela kila sehemu. Why?
Ngoma draw, hata huko visiwani hawaheshimu imani za wengine, misikiti kila kona na hawataki kuona kanisa. Kama hutumii tulia, mbona wanyama wasioliwa ni wengi lakini chuki kubwa iko kwa nguruwe ?! Kuna nini mtuweke wazi tujue. Mbona wachina wanakula nyoka, vinyonga, vyura, mende nk lakini mpo kimya ??!Katika jamii iliyostaarabika kwanini tusiheshimu Imani za wengine? Mabucha holela kila sehemu. Why?
Nadhani maandishi yanayosomeka WAKRISTO BUTCHER ndiyo tatizo. Wanafiki nyie, mbona dada zetu wanakula kitimoto na mnawala denda, au mbususu ya mla kitimoto ni halali kwenu ?!Katika jamii iliyostaarabika kwanini tusiheshimu Imani za wengine? Mabucha holela kila sehemu. Why?
Umeongea upupuNadhani maandishi yanayosomeka WAKRISTO BUTCHER ndiyo tatizo. Wanafiki nyie, mbona dada zetu wanakula kitimoto na mnawala denda, au mbususu ya mla kitimoto ni halali kwenu ?!
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Wewe ni Mwislamu kamili na unaijua Qurani vizuri.Hao marafiki zako sio waislam. Labda waislam jina wala nguruwe, astaghfirullah
Wewe huoni kitendo cha wao kuwa na urafiki na wewe wamekiuka maagizo ya Quran hapo juu?
Juma baada ya mfungo ulitoa thread umemiss kitimoto naikumbuka vema 😁Inasikitisha Karne ya 21 bado hatuna ustaarabu. Kwann?
Ulitakiwa kusema,kwa mfano mtaa wa Jamhuri Dodoma, una Bucha za Nguruwe 15, na kuna wakazi tofauti tofauti.Katika jamii iliyostaarabika kwanini tusiheshimu Imani za wengine? Mabucha holela kila sehemu. Why?