Kitimoto kuuzwa holela si ustaarabu!

Kitimoto kuuzwa holela si ustaarabu!

Huu uzi wachangiaji wamejitoa fahamu kweli kweli 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mi ni msabato sili nguruwe lakini uwepo wa mabucha au vibanda vya kuuza nguruwe wala haunibughudhi kabisa...
Waislamu miache choko choko msione kama hii dunia ni yenu peke yenu na mnaweza kupangia watu wengine maisha..
 
Lazima tuifuate dini sheikh, na siku zote asiyefuata dini ni muovu...
Sahih bukhari 1246
"I have been commanded to fight against people till they testify that there is no god but Allah, that Muhammad is the messenger of Allah, and they establish prayer, and pay Zakat."
Mungu mwenyewe alietuuumba hatulazimishi kumfuata, anaacha kiła mtu aamue kilicho bora kwake.Who arę you to fight people who don't wanna follow your belief? Idiots
 
Hilo jina tu hapo anatakiwa kufungiwa bucha lake. Hivi ikatokea mtu akaandika bucha lake waislamu butcher itajenga taswira gani?!
Unajua nyama ikiwa na charter HALAL maana yake Nini?

Chakula kikiandikwa HALAL maana yake Nini?
 

Ok.ok. test 1-2...

Wewe tena uliekua unalalamika kupanda bei[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 2398319
Tena kaiweka ile niipendayo....
Aisee
 
Unajua nyama ikiwa na charter HALAL maana yake Nini?

Chakula kikiandikwa HALAL maana yake Nini?
Halal....
Hata mimi naingiza bidhaa za vyakula huwa nawaambia halal only
Hahahha sielewi sana ila wateja wanataka halal

Maana yake sio haramu kwa ndugu zetu waisilamu...and to be honest.
Mi naulizaga kama kitu ni halal
Haswa vyakula nisije kula kibudu
 
Halal....
Hata mimi naingiza bidhaa za vyakula huwa nawaambia halal only
Hahahha sielewi sana ila wateja wanataka halal

Maana yake sio haramu kwa ndugu zetu waisilamu...and to be honest.
Mi naulizaga kama kitu ni halal
Haswa vyakula nisije kula kibudu
Halal imechinjwa na muislamu na kunenewa jina la mungu wa waislamu Allah
 
Hao ni makafir, usitolee mifano ya makafir wanaokiuka maagizo ya Allah.
Quran inasema 5:51
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu
Acha unafiq kwa dini za kuketewa,toto la ki oemba nipo nalo hapa na nimeagiza kilo nzima tunatafuna mixer nyagi,mambo ya kulithi yanawapotezea dira.
 
Naomba jibu, kutokana na Kitabu cha Waislamu Qurani, Waislamu wamekatazwa kula vitu vinne tu,
kama watakuwa wameshiba yaani hawana dhalula ya njaa kama Aya onavyojieleza hapa chini kamaa avyosema Muhammadi katika Sura ya Wanyama.

Vitu hivyo ni
1. Mzoga
2. Damu iliyo mwagika
3. Nyama ya Nguruwe
4. Kilichochinjwa bila kumtaja Allah

Surah Al-An'am Ayah 145

قُل لَّآ أَجِدُ فِي مَآ أُوحِيَ إِلَيَّ مُحَرَّمًا عَلَىٰ طَاعِمٖ يَطۡعَمُهُۥٓ إِلَّآ أَن يَكُونَ مَيۡتَةً أَوۡ دَمٗا مَّسۡفُوحًا أَوۡ لَحۡمَ خِنزِيرٖ فَإِنَّهُۥ رِجۡسٌ أَوۡ فِسۡقًا أُهِلَّ لِغَيۡرِ ٱللَّهِ بِهِۦۚ فَمَنِ ٱضۡطُرَّ غَيۡرَ بَاغٖ وَلَا عَادٖ فَإِنَّ رَبَّكَ غَفُورٞ رَّحِيمٞ
Sema: Sioni katika yale niliyo funuliwa mimi kitu kilicho harimishwa kwa mlaji kukila isipo kuwa kiwe ni nyamafu, au damu inayo mwagika, au nyama ya nguruwe, kwani hiyo ni uchafu; au kwa upotofu kimechinjwa kwa jina la asiye kuwa Mwenyezi Mungu. Lakini mwenye kushikwa na dharura, bila ya kutamani wala kupita mipaka, basi hakika Mola wako Mlezi ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.

Swali
Mnapata wapi andiko linalowakataza kuwala wanyama wengine kama Paka, Mbwa, Fisi, Mwewe nk.

Nipo hapa nasubiri Jibu.
 
Watu wanajenga Mangalore kwa kupitia huyo mnyama mkuu
Na wewe fuga uza fungua bucha
Kitimoto mmoja alienona bei yake si chini ya 800k hadi 1M
Hapo bado hujauza vitoto
Hapo bado hujakodisha kwa ajili ya kupandishia

See you soon tafuta pesa acha makasiriko..
Umesahau kuongeza data konki. Hiyo 800k, unaipata ndani ya miez 6 tu tangia kitoto mpaka kuuza.
 
Mkuu

Ishi ukiwa HURU,achana na SIASA za Dini!!

Mungu hawezi mchoma mtu kisa kala kitimoto!!

Mi muislamu wa kuzaliwa na mkristo wa kiimani na nilianza kumla mapema Sana tangu naenda mosque na sikuathirika chochote na kusujudu nilisujudu kama kawa!!

Kuwa huru DINI ni SIASA za kiutawala hazina uhalisia wowote na Mungu, Mungu yupo ndani mwako na ANASEMA nawe kila SIKU!!
 
Ukimkuta mwenzao anayekula, anafakamia uyo...ninao marafiki zangu kadhaa wa pande hizo, tunakula maisha ya mbuzi pendwa wa Vatican.
 
Ila duh kuna jambo huwa linanishangaza sisi waislam tunachukia kitimoto hata kwa kukiona sehemu kinauzwa lakini hapo hapo wengi wetu tunaona kuzini kama jambo la kawaida japo tunajua dhambi kubwa mni,hapo hapo tuna tukana,kusengenya na kadhalika....

Mtoa mada nakukumbusha hii nchi ina dini nyingi kama kitimoto kinauzwa sehemu na wewe hutumii na bahati nzuri hawajauzia kwenye nyumba yako basi wewe potezea endelea na mambo yako utaishi vizuri na kila mtu.
 
kitimoto haraaam haifai mungu kakataza lakini ubishi wabinadamu wanampinga Hadi mungu utaskia jitu linasema kitimoto tamu kuliko nyama yoyote ilimladitu ambishie mungu uzuli inajulikana ukila kitimoto ukifa nimotoni Haina kuuliza kwahio endeleeni
 
Umesahau kuongeza data konki. Hiyo 800k, unaipata ndani ya miez 6 tu tangia kitoto mpaka kuuza.
Biashara ya mwendokasi na hao watoto ndio faida yenyewe maana unaambiwa akizaa mzao mmoja wamepungua sana anazaa watoto 12 yaan hapo ndio amezaa wachache, sasa piga hesa kila mmoja akikua kwa ajili ya kutafunwa km kitoweo ukamuuza 800k kila mmoja una faida kiasi gan?

800k × 12 =?

Hapo bado haujakodisha madume kwenda kuyapandisha kwa majike
 
Back
Top Bottom