Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu mwenyewe alietuuumba hatulazimishi kumfuata, anaacha kiła mtu aamue kilicho bora kwake.Who arę you to fight people who don't wanna follow your belief? IdiotsLazima tuifuate dini sheikh, na siku zote asiyefuata dini ni muovu...
Sahih bukhari 1246
"I have been commanded to fight against people till they testify that there is no god but Allah, that Muhammad is the messenger of Allah, and they establish prayer, and pay Zakat."
Unajua nyama ikiwa na charter HALAL maana yake Nini?Hilo jina tu hapo anatakiwa kufungiwa bucha lake. Hivi ikatokea mtu akaandika bucha lake waislamu butcher itajenga taswira gani?!
Tena kaiweka ile niipendayo....Kitimoto nacho BEI JUU!
Watukufu ndugu zangu. Inakuaje Kitimoto kipande bei ghafla hivi? Yaani nilikipania mwezi mzima sijala. Kutoka 14,000/kg TZS mpaka 21,000/kg. Imebd nilipe tu Sina namna. Ila namna hii sio fair. ***Nakula huku Nina hofu sanawww.jamiiforums.com
Ok.ok. test 1-2...
Wewe tena uliekua unalalamika kupanda bei[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 2398319
Halal....Unajua nyama ikiwa na charter HALAL maana yake Nini?
Chakula kikiandikwa HALAL maana yake Nini?
Eve......unakumbukumbuJuma baada ya mfungo ulitoa thread umemiss kitimoto naikumbuka vema 😁
Halal imechinjwa na muislamu na kunenewa jina la mungu wa waislamu AllahHalal....
Hata mimi naingiza bidhaa za vyakula huwa nawaambia halal only
Hahahha sielewi sana ila wateja wanataka halal
Maana yake sio haramu kwa ndugu zetu waisilamu...and to be honest.
Mi naulizaga kama kitu ni halal
Haswa vyakula nisije kula kibudu
Acha unafiq kwa dini za kuketewa,toto la ki oemba nipo nalo hapa na nimeagiza kilo nzima tunatafuna mixer nyagi,mambo ya kulithi yanawapotezea dira.Hao ni makafir, usitolee mifano ya makafir wanaokiuka maagizo ya Allah.
Quran inasema 5:51
Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu
Umesahau kuongeza data konki. Hiyo 800k, unaipata ndani ya miez 6 tu tangia kitoto mpaka kuuza.Watu wanajenga Mangalore kwa kupitia huyo mnyama mkuu
Na wewe fuga uza fungua bucha
Kitimoto mmoja alienona bei yake si chini ya 800k hadi 1M
Hapo bado hujauza vitoto
Hapo bado hujakodisha kwa ajili ya kupandishia
See you soon tafuta pesa acha makasiriko..
anzen na ujinga wenu huko pembaKatika jamii iliyostaarabika kwanini tusiheshimu Imani za wengine? Mabucha holela kila sehemu. Why?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dakika ya 90 kitimoto 7-wanaoteseka 0
NB:kitimoto apewe ballon d'o yake
Kuna madhehebu hawali samaki, why zinauzwa kila sehemu? Kwa nini hamuheshimu imani za wengine? Mnataka yenu tu ndio iheshimiwe?Katika jamii iliyostaarabika kwanini tusiheshimu Imani za wengine? Mabucha holela kila sehemu. Why?
Biashara ya mwendokasi na hao watoto ndio faida yenyewe maana unaambiwa akizaa mzao mmoja wamepungua sana anazaa watoto 12 yaan hapo ndio amezaa wachache, sasa piga hesa kila mmoja akikua kwa ajili ya kutafunwa km kitoweo ukamuuza 800k kila mmoja una faida kiasi gan?Umesahau kuongeza data konki. Hiyo 800k, unaipata ndani ya miez 6 tu tangia kitoto mpaka kuuza.