Kitimoto kuuzwa holela si ustaarabu!

Kitimoto kuuzwa holela si ustaarabu!

kitimoto haraaam haifai mungu kakataza lakini ubishi wabinadamu wanampinga Hadi mungu utaskia jitu linasema kitimoto tamu kuliko nyama yoyote ilimladitu ambishie mungu uzuli inajulikana ukila kitimoto ukifa nimotoni Haina kuuliza kwahio endeleeni
Huyo Mungu wako sio kila mtu anamuamini.

Ishi maisha yako
 
Walikujaga wageni kutoka bush huko na dini yao,kuwa kata stimu nika chinja mbuzi mimi mwenyewe,eti wakasusa kula kisa nimechinja mimi asee,niliwanyoosha,nikarost na kuchoma nikaagjza na cret la bia wakasusa nakutaka kusepa,nauli hawana walivumilia mpaka shangwe lilipo isha siku ya pili,baadae nikawaambia acheni upumbavu ukija kwangu usilete masharti yako pia muwe wavumilivu na imani za wengine ,mpaka leo nasemwa vibaya sana bush

[emoji23][emoji23]
 
Biashara ya mwendokasi na hao watoto ndio faida yenyewe maana unaambiwa akizaa mzao mmoja wamepungua sana anazaa watoto 12 yaan hapo ndio amezaa wachache, sasa piga hesa kila mmoja akikua kwa ajili ya kutafunwa km kitoweo ukamuuza 800k kila mmoja una faida kiasi gan?

800k × 12 =?

Hapo bado haujakodisha madume kwenda kuyapandisha kwa majike
Safiii
 
kitimoto haraaam haifai mungu kakataza lakini ubishi wabinadamu wanampinga Hadi mungu utaskia jitu linasema kitimoto tamu kuliko nyama yoyote ilimladitu ambishie mungu uzuli inajulikana ukila kitimoto ukifa nimotoni Haina kuuliza kwahio endeleeni
Jaribu kuonja..huko motoni ni fiction story tu hakuna uhalisia..mmefanyiwa mental slavery ili muendelee kutawaliwa kiiman na kifikra.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hiyo picha siyo kitimoto icho labda vilivyoandikwa apo ndovina kuumiza
 
Kama unaona aibu kwenda kununua kwa kuwa inauzwa peupe tafuta mbinu ya kupata. Kwa ushauri kanunue wasikokufahamu. Vinginevyo kama unakereka acha kutembelea maeneo hayo.
 
Tuheshimu imani za wengine ndio uungwana
Dah umenitamanisha kweli na hizo picha za kitimoto. Napenda sana kitimoto waliyoirost either waweke nyanya au mchicha. Kulikuwa na jamaa mmoja kule Mpanda Katavi anajua kuipika huyo, balaa.

Hao wenzetu mamumiani wafuasi wa bwana Muddy wanakula sana. Tulikuwa tunachinja sana hiyo kitu Morogoro. Jamaa walikuwa wanakula sana.
 
Katika jamii iliyostaarabika kwanini tusiheshimu Imani za wengine? Mabucha holela kila sehemu. Why?

Hii sio kitimoto ni nyama ya ng'ombe. Naona ulitaka hilo tangazo la "inayochinjwa na Wakristo". Nakumbuka hii issue ilitokeaga Geita kama sio Mwanza, Wislamu walipotangaza kuwa wao ndio wmehalalishwa kuchinja tu, mtu mwingine akichinja ni haramu, ndipo Wakristo wakasusa kununua nyama kwenye bucha za Waislam.

Ila nashukuru Mkuu wa Mkoa wakati ule alilimaliza hilo kwa ustaarabu mkubwa, kuleta maridhino na kufanikiwa kuondoa ubaguzi huo wa kidini.
 
Hata mimi naomba yule konokono wa baharini(japo mnamwita samaki kimakosa)asiuzwe hadharani pleeeease.
Ananichefua sana.
 
Mbona wakati wa Mfungo huwa inakosa wateja? Anyway ngoja nimtafute mwanangu Abdi tukaipige kidogo
20221027_174556.jpg
 
Back
Top Bottom