Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
😂😂😂 na tendeMbona Mbususu na tigo zinauzwa kila sehemu na hakuna lawama wala malalamiko.
Haramu kwako kwa wengine halali tuvumiliane tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 na tendeMbona Mbususu na tigo zinauzwa kila sehemu na hakuna lawama wala malalamiko.
Haramu kwako kwa wengine halali tuvumiliane tu.
Huyo Mungu wako sio kila mtu anamuamini.kitimoto haraaam haifai mungu kakataza lakini ubishi wabinadamu wanampinga Hadi mungu utaskia jitu linasema kitimoto tamu kuliko nyama yoyote ilimladitu ambishie mungu uzuli inajulikana ukila kitimoto ukifa nimotoni Haina kuuliza kwahio endeleeni
Mbona tende zinauzwa holele tu hauulizi?
Ni kweli, Hata mabucha ya ng'ombe yafungwe maana wengine sisi ni wahindi
Walikujaga wageni kutoka bush huko na dini yao,kuwa kata stimu nika chinja mbuzi mimi mwenyewe,eti wakasusa kula kisa nimechinja mimi asee,niliwanyoosha,nikarost na kuchoma nikaagjza na cret la bia wakasusa nakutaka kusepa,nauli hawana walivumilia mpaka shangwe lilipo isha siku ya pili,baadae nikawaambia acheni upumbavu ukija kwangu usilete masharti yako pia muwe wavumilivu na imani za wengine ,mpaka leo nasemwa vibaya sana bush
SafiiiBiashara ya mwendokasi na hao watoto ndio faida yenyewe maana unaambiwa akizaa mzao mmoja wamepungua sana anazaa watoto 12 yaan hapo ndio amezaa wachache, sasa piga hesa kila mmoja akikua kwa ajili ya kutafunwa km kitoweo ukamuuza 800k kila mmoja una faida kiasi gan?
800k × 12 =?
Hapo bado haujakodisha madume kwenda kuyapandisha kwa majike
Jaribu kuonja..huko motoni ni fiction story tu hakuna uhalisia..mmefanyiwa mental slavery ili muendelee kutawaliwa kiiman na kifikra.kitimoto haraaam haifai mungu kakataza lakini ubishi wabinadamu wanampinga Hadi mungu utaskia jitu linasema kitimoto tamu kuliko nyama yoyote ilimladitu ambishie mungu uzuli inajulikana ukila kitimoto ukifa nimotoni Haina kuuliza kwahio endeleeni
Dah umenitamanisha kweli na hizo picha za kitimoto. Napenda sana kitimoto waliyoirost either waweke nyanya au mchicha. Kulikuwa na jamaa mmoja kule Mpanda Katavi anajua kuipika huyo, balaa.Tuheshimu imani za wengine ndio uungwana
sio mungu wangu pekeyangu nimungu wetu sote Mimi wewe na wengineHuyo Mungu wako sio kila mtu anamuamini.
Ishi maisha yako
Hiyo dini yako ya kishetani ndo itakupeleka mbinguni!!!??? Kwanza lini nimekwambia nataka kwenda Mbinguni!!!??Pesa itakupeleka mbinguni?
Huyo mungu wako aliyekukataza usile nguruwe sio kila mtu anamuamini.sio mungu wangu pekeyangu nimungu wetu sote Mimi wewe na wengine
Hii sio kitimoto ni nyama ya ng'ombe. Naona ulitaka hilo tangazo la "inayochinjwa na Wakristo". Nakumbuka hii issue ilitokeaga Geita kama sio Mwanza, Wislamu walipotangaza kuwa wao ndio wmehalalishwa kuchinja tu, mtu mwingine akichinja ni haramu, ndipo Wakristo wakasusa kununua nyama kwenye bucha za Waislam.Katika jamii iliyostaarabika kwanini tusiheshimu Imani za wengine? Mabucha holela kila sehemu. Why?
Mbona wakati wa Mfungo huwa inakosa wateja? Anyway ngoja nimtafute mwanangu Abdi tukaipige kidogo