Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Sawa, kananeni tuHao ni waislamu na si waumini wa kiislamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa, kananeni tuHao ni waislamu na si waumini wa kiislamu
wewe ndo unatakiwa uheshimu imani za watu.Watu wanakula kitmoto kabla mwarabu hajakuletea hiyo dini na jahazi.Katika jamii iliyostaarabika kwanini tusiheshimu Imani za wengine? Mabucha holela kila sehemu. Why?
Braza Juma how far???nguruwe Ni Haramu
[emoji2][emoji2][emoji2] hazikutoshi ewe shehe ubwabwa!nguruwe Ni Haramu
Elimu Elimu ElimuWewe ni kati ya wale Waislam waovu! Nina marafiki zangu wengi waislam, ila hawana akili na mtazamo kama huu wa kwako.
Yaani kama Allah ndio aliyewahimiza kutokuwa na urafiki na binadamu wengine isipokuwa Waislam wenzenu ilihali huyo Binadamu hajakukoseeni chochote...huyo Allah ana kichaa kweli. Unamchukiaje Mtu ambaye hajakukosea chochote?Hao marafiki zako sio waislam. Labda waislam jina wala nguruwe, astaghfirullah
Wewe huoni kitendo cha wao kuwa na urafiki na wewe wamekiuka maagizo ya Quran hapo juu?
Anayepaswa kuanza kutumia akili ni ninyi waruwaru wa MwamediTumia akili kufikiri
Mmeshindwa kujitawala wenyewe ndio Mtaweza kuwatawala Wakristo? Management yenyewe katika misikiti yenu wenyewe ni ZERO, Elimu ZEROMpende msipende laZima tuje tuwatawale, kama sio nyie hata wajukuu zenu.
Sheikh Juma huwa anakula kimya kimya siku zote kasoro za mfungu wa RamadhanJuma baada ya mfungo ulitoa thread umemiss kitimoto naikumbuka vema [emoji16]
Hebu kapitie na Ilmu dunia kidogo Sheikh ujue hata kuandika vizuri, usiwe kama Mwamedi wa Meccakitimoto haraaam haifai mungu kakataza lakini ubishi wabinadamu wanampinga Hadi mungu utaskia jitu linasema kitimoto tamu kuliko nyama yoyote ilimladitu ambishie mungu uzuli inajulikana ukila kitimoto ukifa nimotoni Haina kuuliza kwahio endeleeni
Akiwa MadinaUnateseka ukiwa wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23]Kitimoto ni nyama tamu Sana hazijawahi tokea tunawakaribisha wote ambao hawajawahi kuonja waonje kupata utamu wake karibuni sana
Na Muislam yeyote akila kitimoto hasa Roast anaanza kupata akili na maarifa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwenye vita kama hii unatakiwa ukae kimya, ila nakumbuka wakati tunasoma tulikuwa tunakula na akina yahaya na Husna, na wanapiga fresh tu bila tatizo, mbeya huko vitimoto vinakofugwa