Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitabu kinajipinga!!Marko 7:15-23, Mstari wa 19 naomba uusome kwa kurudia rudia.
Marko 7:19 kwa sababu hakimwingii moyoni, ila tumboni tu; kisha chatoka kwenda chooni? Kwa kusema hivi alivitakasa vyakula vyote.
Hasa hayo maneno ya mwishoni.
Hakijipingi ni suala la majira na wakati.Kitabu kinajipinga!!
Sikuja kuitangua taurati,Bali kuitimiliza...hapo haijatimilizwa Bali imetenguliwaHakijipingi ni suala la majira na wakati.
Jamaa Wana MoU na BarazaItalia ndo wanasupply mvinyo kwa mapipa hapa nchini? Ukoloni mambo leo
Soma Waebrania 8:7-13, Utaelewa.Sikuja kuitangua taurati,Bali kuitimiliza...hapo haijatimilizwa Bali imetenguliwa
Acha ujinga,Mambo ya walawi imeharamisha nguruwe,pombe nk ambavyo Paulo kahalalishaSoma Waebrania 8:7-13, Utaelewa.
Sasa ujinga wangu Mimi ni upi Mzee mwenzangu??. Naomba nieleweshe nilipokosea Mzee.Acha ujinga,Mambo ya walawi imeharamisha nguruwe,pombe nk ambavyo Paulo kahalalisha
Watukufu ndugu zangu. Inakuaje Kitimoto kipande bei ghafla hivi? Yaani nilikipania mwezi mzima sijala.
Kutoka 14,000/kg TZS mpaka 21,000/kg. Imebd nilipe tu Sina namna. Ila namna hii sio fair.
***Nakula huku Nina hofu sana
View attachment 2211443
Sheikh Juma naona umemisi sana white meat.Watukufu ndugu zangu. Inakuaje Kitimoto kipande bei ghafla hivi? Yaani nilikipania mwezi mzima sijala.
Kutoka 14,000/kg TZS mpaka 21,000/kg. Imebd nilipe tu Sina namna. Ila namna hii sio fair.
***Nakula huku Nina hofu sana
View attachment 2211443
Ubongo wa kikafiri,Nyama Ya Mudi Haigusiki Kwa Bei
Kwanini imeongezeka ghaflaDemand imeomgezeka ghafla