Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Kwa kweli hapana
Namuogopa sana wa viroba walikoswa koswa kama lingeenda kwa hawa hawayani
Yaani mimi ni samaki na mbuzi tu
Sent from my SM using Tapatalk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweli hapana
walizuia ili waweke uspecial na classes watu wa cjini wasiweze kumpata nguruwe kwa kuwa alikuwa analiwa watu wazito tu ....
ANAITWA MDUDU HANDSOME!!Huyo anaitwa Mkuu wa Meza.Kila Jumapili unikosi pale Migombani Bar Survey nikimtafuna taaartibu na Coca ya Baridi.
Iwe na pilipili na pepsi kubwa ya bariiiidi.![]()
Unaongelea hii!!
[HASHTAG]#God[/HASHTAG]! heal Lissu the Hero#
Aiseewalizuia ili waweke uspecial na classes watu wa cjini wasiweze kumpata nguruwe kwa kuwa alikuwa analiwa watu wazito tu ....
Siogop ndiyoHuogopi kula nyama ya mnyama asiecheua na asiye na kwato?
Leo jumapili ngoja niwahi mswano
Kunaitwa waswanuLeo jumapili ngoja niwahi mswano
Halafu ndio inaongoza kuliwa duniani.😂😂😂Nguruwe noma! Jiulze kwanini kilo ya nyama ya ng'ombe 6000 halafu chairfire 12000, jaribu uvumbue ni i kinaipa bei, ni utamu tuu sio kingne
Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
Mkuu nyama ichemshe iive halafu irost magonjwa yote kuleee Raha Kuna kwako, pia tupeleke muswada hii irasmishwe hata maukumbini iwemo, mana ya ng'ombe inatuvimbisha miguu na shinikizo la juu la damu+uzito mkubwa, ya mbuzi inapga na kuua joint 🎸jaman ktk kitu amabvho hakitaingia mwilin mwangu ni hiki chakula !yaan nimeharibu asbh yangu !pyeee !yaan ni zaid ya kharamu !nguruwe ana magonjwa meng sana ! dah thts y sipendag deep kiss
Mbaazi Kukosa Maua Unasingizia Jua![emoji56][emoji15][emoji12]jaman ktk kitu amabvho hakitaingia mwilin mwangu ni hiki chakula !yaan nimeharibu asbh yangu !pyeee !yaan ni zaid ya kharamu !nguruwe ana magonjwa meng sana ! dah thts y sipendag deep kiss