Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAHAHAKwa mara ya kwanza nakomenti kwenye uzi wako.. Nina mengi sana ya kuchangia but nahisi nimeshasahau nilichokuwa nataka kucoment.
JAMAA NAONA UNATAKA TAABUUnataka ugomvi na waislamu
vp leo hatuli kitimoto mkuu?
Sawa mkuu tuko pamoja sanaKwa mara ya kwanza nakomenti kwenye uzi wako.. Nina mengi sana ya kuchangia but nahisi nimeshasahau nilichokuwa nataka kucoment.
poa mkuu sio mbaya
Amna noma mzee ila mbona hilo jina lako ni gumu sanapoa mkuu sio mbaya
Ahahhaaaa mzee mwenyewe kwan hujawahi kumla huyu mduduNa uzuri wao wanakula kila kitu kuna watu makatili wanafuga huyu mdudu ukiingia 18 zao unakuwa mboga yao
Labda ndio maana mnasema mtamu
Sent from my SM using Tapatalk
hahaha
Kwahiyo ndugu zetu walimzuia kwa kuwa ni mtamuNakumbuka milipokuwa advance tulikuwa tumeketi sehemu na kujadili utamu wa huyu mdudu hakika ulimwengu hakuna kiumbe mtamu kama huyu nguruwe bhasi tukaeñdelea na mjada kwa nn wenzetu hawatumii huyu mdudu nakumbuka jamaa alitusimulia kuwa huko maccer wakoenda kuhiji hwa ndugu zetu kitimoto ilionekana kuwa nyama tamu kupita zote hivo wale wakuu wakatangaza kuwa hakuna mtu yeyote kula nguruwe ila inasemekana analiwa na wakubwa
sijui ni kweli???
Hahahaaaaa et unakula udongo kwahiyo ulijuwa unakula mbuz katolik kumbe siyoDah nmesoma hii thread huku natafuna kitu taratibu, navuta image ya kitimoto, kumbe nakula udongo..... 🙁
kwa nini mkuu