Kitivo cha sheria udsm hakunaga 1st class, why?

Kitivo cha sheria udsm hakunaga 1st class, why?

Tatizo wanafunzi wa nyakati hizi ni WAVIVU SANA, hawataki kutaabika, hawasomi lkn wanatamani kufaulu!!! matokeo yake wengi wao wanatumia njia za mikato ilimradi tu amalize apate digirii yake ya kupata ajira.

Ndio maana leo hii tuna wasomi wengi vilaza.

Leo hii hatuoni tofauti kati ya mtu mwenye masters, PHD. yote hayo yanasababishwa na RUSHWA ya ngono, Udanganyifu n.k.
wewe ni mjinga halafu hujui shule.
 
Hapana ata migiro ,Tenga walipata
kwahiyo ni wa kuhesabu, Dr Tenga (huyo namkubali, na waliofundishwa naye land wote wanamkubali), majamba, mingiro , kabudi...miaka yote chuo kina walimu na kinafundisha iweje watu hata kumi waliowahi kupata first class hawafiki? inakuja akilini kweli? halafu hao waliopata first class, mbona akili zao za kawaida sana. utamweka hao uliowataja wabishane na tundu lisu ambaye hajawahi kupata first class? mfano tu pamoja na kwamba tundu lisu namdharau kwa kuwa kibaraka wa wazungu na mashoga.
 
kwahiyo ni wa kuhesabu, Dr Tenga (huyo namkubali, na waliofundishwa naye land wote wanamkubali), majamba, mingiro , kabudi...miaka yote chuo kina walimu na kinafundisha iweje watu hata kumi waliowahi kupata first class hawafiki? inakuja akilini kweli? halafu hao waliopata first class, mbona akili zao za kawaida sana. utamweka hao uliowataja wabishane na tundu lisu ambaye hajawahi kupata first class? mfano tu pamoja na kwamba tundu lisu namdharau kwa kuwa kibaraka wa wazungu na mashoga.
Imehoji vzr lkn hapo kwa tundu lissu umepuyanga kwanza nikuulize una practice law
 
Una hoja ya msingi lkn kupima uelewa wa sheria kwa kuangalia uvuvuzela hpna aisee fanya research utaona kwenye field huyo jamaa yko hamna kitu
 
Kuna uzi mmoja niliona mtu ana uliza nani bingwa kati ya kibatara v lissu yaani wanaamini wakili akiwa anaonekana kwenye tv au maarufu basi ni mzuri that is totally wrong
 
Kuna uzi mmoja niliona mtu ana uliza nani bingwa kati ya kibatara v lissu yaani wanaamini wakili akiwa anaonekana kwenye tv au maarufu basi ni mzuri that is totally wrong
Tundu Lisu nimeshindana naye sana Mahakamani, ni kichwa kinachofikiri haraka sana na kupata jibu, ana uwezo mkubwa kunizidi hata mimi, hilo nakiri. kibatala kwangu hata huwa sihesabu kama kuna mtu.
 
Kwa hiyo mkuu kama alikuwa anatoa hoja kushinda wewe ndio unajenolise kuwa anaweza kuwa top good lawyer na kumfananisha kuwashinda uliowataja
 
Tundu Lisu nimeshindana naye sana Mahakamani, ni kichwa kinachofikiri haraka sana na kupata jibu, ana uwezo mkubwa kunizidi hata mimi, hilo nakiri. kibatala kwangu hata huwa sihesabu kama kuna mtu.
Hata huyo uliyemtaja angeingia kwenye anga zako nawewe ungemkimbiza ndio maana harisi ya practice
 
Hata huyo uliyemtaja angeingia kwenye anga zako nawewe ungemkimbiza ndio maana harisi ya practice
kibatala nime appear naye mara nyingi sana mahakamani. sisemi hearsay, ninamjua. Tundu Lisu nimeshindana naye lakini IQ yake hata kama anaongea kitu cha uongo atkaupoteza. unajua kuna kusoma na kufanyia kazi elimu, ila pia kuna kusoma na kipawa ulichozaliwa nacho, ukichanganya kisomo na kipawa hasa cha kujielewa na ukawa na IQ ya kuchanganya haraka na kupata jibu haraka, unakuwa tofauti. Tundu Lisu IQ yake ipo juu sana hata ukiongea naye uwe makini atakuaibisha ukifanya mchezo. huyo uliyemtaja mwingine zao la mzumbe, sitaki kumchambua hapa, ila ni mwanasiasa mzuri na mtu anayetumia hasira kuargue bila point za maana za kisheria. hata kwenye kesi ya mbowe mmebugi sana kuwapa watu wasioeleweka, na mtashindwa.
 
kibatala nime appear naye mara nyingi sana mahakamani. sisemi hearsay, ninamjua. Tundu Lisu nimeshindana naye lakini IQ yake hata kama anaongea kitu cha uongo atkaupoteza. unajua kuna kusoma na kufanyia kazi elimu, ila pia kuna kusoma na kipawa ulichozaliwa nacho, ukichanganya kisomo na kipawa hasa cha kujielewa na ukawa na IQ ya kuchanganya haraka na kupata jibu haraka, unakuwa tofauti. Tundu Lisu IQ yake ipo juu sana hata ukiongea naye uwe makini atakuaibisha ukifanya mchezo. huyo uliyemtaja mwingine zao la mzumbe, sitaki kumchambua hapa, ila ni mwanasiasa mzuri na mtu anayetumia hasira kuargue bila point za maana za kisheria. hata kwenye kesi ya mbowe mmebugi sana kuwapa watu wasioeleweka, na mtashindwa.
Ok vzr lkn kwenye Legal practice kuna vitu vingi kikubwa know the law and how to use it tundu lissu alipigwa knock out moja na Msando hata sahau labda tu niseme kwenye sheria ni kama mchezo wa mpira ukizubaa unapigwa kuna mawakili nguli mfano lamwai,fimbo lkn walikuwa wanabuluzwa tu hivyo kuongea sana na kutetea hoja kama umewahiwa kwenye sehemu utapigwa tu
 
Ok vzr lkn kwenye Legal practice kuna vitu vingi kikubwa know the law and how to use it tundu lissu alipigwa knock out moja na Msando hata sahau labda tu niseme kwenye sheria ni kama mchezo wa mpira ukizubaa unapigwa kuna mawakili nguli mfano lamwai,fimbo lkn walikuwa wanabuluzwa tu hivyo kuongea sana na kutetea hoja kama umewahiwa kwenye sehemu utapigwa tu
ukiwa wakili mzuri haimaanishi kwamba hautashindwa kesi. kuna wakati unaletewa kesi unajua kabisa hii naenda kushindwa, lakini unaenda kuwakilisha hivyo hivyo, hivyo ukishindwa haimaanishi hauna uwezo. mimi nasemea mkiwekwa mtu kati one to one, upo na lisu, unatakiwa ujiandae sana jana yake la sivyo atakuaibisha kwasababu zaidi ya kuwa mwanasheria, pia ana kipawa cha kujibizana.
 
ukiwa wakili mzuri haimaanishi kwamba hautashindwa kesi. kuna wakati unaletewa kesi unajua kabisa hii naenda kushindwa, lakini unaenda kuwakilisha hivyo hivyo, hivyo ukishindwa haimaanishi hauna uwezo. mimi nasemea mkiwekwa mtu kati one to one, upo na lisu, unatakiwa ujiandae sana jana yake la sivyo atakuaibisha kwasababu zaidi ya kuwa mwanasheria, pia ana kipawa cha kujibizana.
Ok
 
Yani sio UDSM tu hii hali hipo mpaka Mzumbe Main kuna prof mmoja anaitwa binamungu Yule mzee ana roho mbaya sana sana sio yeye tu ata malecture wote wao furaha yao ni kubana tu sijui wanafaidika nini? Roho mbaya sana
 
Yani sio UDSM tu hii hali hipo mpaka Mzumbe Main kuna prof mmoja anaitwa binamungu Yule mzee ana roho mbaya sana sana sio yeye tu ata malecture wote wao furaha yao ni kubana tu sijui wanafaidika nini? Roho mbaya sana
akili zao huwa zinawatuma kwamba wakibana na kupunguza wanafunzi ndio wamechuja,kumbe wameshindwa kufundisha na hawastahili hata kuendelea kuwa waalimu. na vijana wanapambana wanamaliza vyuo wanakuja kukutananao mtaani wanawapa makwenzi kama kawaida. wengine hadi wanaajiriwa na wanafunzi wao, wao hawafanikiwi zaidi ya mishahara kwasababu ya roho mbaya, wanapata laana. ndo maan autakuta hata nywele hawajachana hahahaha.
 
akili zao huwa zinawatuma kwamba wakibana na kupunguza wanafunzi ndio wamechuja,kumbe wameshindwa kufundisha na hawastahili hata kuendelea kuwa waalimu. na vijana wanapambana wanamaliza vyuo wanakuja kukutananao mtaani wanawapa makwenzi kama kawaida. wengine hadi wanaajiriwa na wanafunzi wao, wao hawafanikiwi zaidi ya mishahara kwasababu ya roho mbaya, wanapata laana. ndo maan autakuta hata nywele hawajachana hahahaha.
Mkuu nikikwambia mimi ni muhanga kabisa wa huyo prof alichonifanyia sitakuja kumsahau sijui raha yake ni nn? Afu ni mtu mzima roho mbaya sasa yy mm mfano nikitoboa anaumia nn?
 
ni ujinga wa kiwango cha lami kwa tutor/lecturer/doctor au professor wa udsm kufanya hila na roho mbaya za kufelisha wanafunzi kwa kisingizio chochote kile, wakati chuo chako unachofanyia kazi hakipo kwenye orodha ya vikuu 10 bora vya afrika.

chuo kinazidiwa mpaka na nairobi university kitaaluma.
IMG_20211201_214247.jpg
 
Udsm pana ujinga mwingi sana.. nakumbuka pale udbs tulikuwa na mwalimu mmoja alitoa assignment kwenye kozi yake.. swali lilikuwa la ajabu haujui uanzie wapi uishie wapi?

Tulihangaika lile swali darasa zima hakuna hata mwenye idea, mm nikapata idea ya kuligoogle lile swali, nikakuta mahali lilishasolviwa na majibu yake lazima ulipie kwa credit card. Imagine mtu analeta swali ambalo kivyovyote hata yeye angechemka tu.
Ikabidi tufanye mchakato tuchangishane tununue ile solution.
Sasa maajabu yake pamoja na kuhamisha yale majibu, bado marks zikaja 3/10, 5/10... Yan group tulilopata marks nyingi zikawa 6/10.[emoji1] Aliona aibu kutupa marks zote..sasa kwa mwendo huo 1st class itatoka wap?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]hyo ilikua ni zaidi ya roho mbaya!
 
Back
Top Bottom